Recent posts
December 30, 2022, 6:39 am
Afariki Dunia kwa kusombwa na Maji Makete
Bibi anayekadiriwa kuwa na miaka zaidi ya 80 afariki kwa kusombwa na Maji kijiji cha Lupalilo Wilaya ya Makete akijaribu kuvuka mto juu ya daraja dogo katika mto Idetele unaotenganisha Kijiji cha Lupalilo na Ilevelo. Baadhi ya wanandugu wamesema…
December 29, 2022, 7:54 am
Milioni 170 kujenga Daraja Kijiji cha Makwaranga-Makete
Serikali imeanza ujenzi wa Daraja la Zege litakalounganisha Kijiji cha Ipelele na Makwaranga Kata ya Ipelele Wilaya ya Makete lenye thamani ya zaidi ya Milioni 170. Daraja hilo litawafanya wananchi wa vijiji hivyo kutumia barabara ya Ipelele-Makwaranga yenye urefu wa…
December 29, 2022, 7:45 am
Barabara ya Lami Km 36 kujengwa Makete
Barabara ya Makete-Mbeya kufunguka kwa lami Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Prof. Makame Mbarawa amesema Serikali itaendelea na ujenzi wa barabara za lami katika mikoa ya nyanda za juu kusini ili kuunganisha vema ukanda huo na bandari ya Mtwara na hivyo kurahisisha shughuli za…
December 11, 2022, 8:27 am
Wananchi waondolewa hofu baada ya kuwepo kwa taarifa za kuweka sumu kwenye kisi…
Mhandisi Sanga akiwa Kijiji cha Ng’onde Kata ya Mlondwe Mhandisi Sanga akiwa Kijiji cha Ng’onde Kata ya Mlondwe Katibu Mkuu Wizara ya Maji Mhandisi Anthony Sanga amewatoa hofu wananchi wa Mlondwe baada ya kuwepo taarifa za mtu kuweka sumu kwenye…
December 9, 2022, 3:00 pm
makete yapiga hatua kila sesta miaka 61 ya uhuru 2022
Mkuu wa Wilaya ya Makete Mhe. Juma Sweda amesema maadhimisho ya miaka 61 ya Uhuru wa Tanganyika ni msingi wa uhuru uliopatikana mara baada ya kutoka kwenye machungu makubwa ya utawala wa wakoloni ambao Taifa lilipitia. Ameyasema hayo leo akiwa…
December 5, 2022, 2:19 pm
Wazee Makete waishukuru Serikali kuelekea sherehe za Uhuru Disemba 9, 2022
Wazee maarufu Wilaya ya Makete wameishukuru Serikali kwa kuwajali katika huduma za kiafya na shughuli mbalimbali za kimaendeleo tangu nchi ipate uhuru wake mwaka 1961. Wakizungumza na Kitulo FM Disemba 5, 2022 katika mdahalo ulioandaliwa na Kituo hiki ukiwahusisha wazee…
December 2, 2022, 8:46 pm
Waziri wa Viwanda anena kuhusu uwekezaji wa Malengo
Dar es Salaam, Novemba 30, 2022: Jukwaa la kwanza kuwahi kutokea Tanzania la Uwekezaji wa Malengo ya Maendeleo Endelevu (SDGs) limefanyika leo Jijini Dar es Salaam na limeratibiwa na UNDP na Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) kwa ushirikiano na Serikali…
November 10, 2021, 3:40 pm
Wahamiaji haramu wakamatwa Makete
Wahamiaji haramu 18 kutoka nchini Ethiopia wamekamatwa eneo la kusajanilo kata ya Iwawa wilayani Makete Mkoani Njombe John Hindi ni kamishna msaidizi mwandamizi wa uhamiaji Mkoa wa Njombe amesema wahamiaji hao walikuwa wanaelekea nchi jirani ya Malawi Aidha amewataka wananchi…
November 9, 2021, 2:17 pm
Ahukumiwa Miaka 30 Jela
Frank sanga (23) mkazi wa iniho Wilayani Makete Mkoani Njombe amehukumiwa kutumikia kifungo cha miaka 30 jela kwa kosa la kumbaka mtoto mwenye umri wa miaka (13) (jina limehifadhiwa) wa kijiji cha Iniho Imeelezwa kuwa mnamo tarehe 7 oktoba,2021 katika…
October 27, 2021, 10:33 am
WANAFUNZI WAPATA VYETI
Wanafunzi 70 Kidato cha nne Iwawa Sekondari watunukiwa vyeti vya utambuzi wa ushiriki wao kwenye Club ya Wasaidizi wa Kisheria shuleni (Paralegal School Club) Wanafunzi hao kwa miaka miwili wamekuwa wakipata mafunzo kutoka kwa Wasaidizi wa Kisheria Kata ya Iwawa…