Kitulo FM
Kitulo FM
5 March 2023, 2:51 pm
Mkuu wa Mkoa wa Njombe Mhe. Anthony Mtaka akiangalia mifuko ya Mchanga kwenye moja ya ghala la Mbolea
4 March 2023, 8:31 pm
Mtaalamu wa Afya na Mazingira akitoa maelezo namna ya kutumia choo cha Kisasa
4 March 2023, 7:55 pm
Wanafunzi wahitimu wakiimba Wimbo wa kuwaga wanafunzi wenzao wanabaki kuendelea na Masomo
3 March 2023, 2:51 pm
Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Makete William Makufwe akiangalia Magunia ya Viazi geti la Mfumbi
3 March 2023, 2:47 pm
oezi la kupokea ngano likifanyika nje ya Makao makuu ya Halmashauri ya Wilaya ya Makete
3 March 2023, 2:42 pm
Afisa Lishe Wilaya ya Makete Bi. Jackline Nanauka kulia akiwa kwenye zoezi la upimaji wa urefu kwa Umri kwa watoto waliochini ya miaka mitano Kijiji cha Ivalalila
2 March 2023, 12:48 pm
Elimu kuhusu Mikopo yatolewa kwa wananchi wa Tarafa ya Ikuwo
16 February 2023, 1:52 pm
miradi ya zaidi ya bilioni 1.5
6 February 2023, 3:07 pm
Madereva wa daladala #Njombe mjini, wamesitisha huduma ya usafirishaji kwa kipindi kisichojulikana baada ya madereva wa bajaji kuruhusiwa kusafirisha abiria katika maeneo yote ndani ya Halmashauri ya mji wa Njombe. Katibu Tawala wilaya ya Njombe Emmanuel George akizungumza na Madereva Daladala Njombe Wamesema kuwa…
29 January 2023, 8:42 am
Mkuu wa Wilaya ya Makete Mhe. Juma Sweda amesema kiwango cha wanafunzi Tarafa ya Ikuwo kuripoti shule ni hafifu Ameagiza Afisa Tarafa, watendaji wa kata kufanya msako maalumu kuhakikisha wanafunzi ambao hawajaripoti kidato cha kwanza mpaka sasa wanaripoti shule na…
Kitulo Fm radio ni kituo cha kijamii kinachozalisha maudhui yenye hadhi ya kujenga jamii ya kitulo