

Mufindi FM
107.3 MHz
Mafinga Iringa
0658232142
mufindifm107@gmail.com
https://www.mufindifm.co.tz/?m=1
107.3 MHz
Mafinga Iringa
0658232142
mufindifm107@gmail.com
https://www.mufindifm.co.tz/?m=1
21 September 2023, 18:46
Na Kelvin Mickdady -MufindiFM Bodi za kusimamia vyanzo na usafi wa maji wilayani Mufindi zimetakiwa kuboresha mfumo wa ufanyaji kazi ili kuongeza mapato ya serikali kupitia bodi hizo.Hayo yamesemwa na mwenyekiti wa halmshauri ya wilaya ya Mufindi Mhe. Festo Mgina…
21 September 2023, 17:19
Wataalam kutoka shirika la Care na WWF Alliance pamoja na wakulima wilayani Mufindi wakiwa katika moja ya shamba darasa. Picha na Care. Na Jumanne Bulali Kifaa cha kupimia udongo kinatarajiwa kuwa na tija kwa wakulima wengi wilayani Mufindi kwani wataweza…
15 September 2023, 18:20
Naibu Mkuu wa TAKUKURU mkoa wa Iringa Bahati Haule akikabidhi pesa taslimu Sh. Mil 2.4 zilizoleheshwa kupitia TAKUKURU rafiki kata ya Bumilayinga wilayani Mufindi. Picha na Gift Mario Na Gift Mario Tasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa Wilayani Mufindi…
15 September 2023, 12:36
Kupekua simu ya mwenza au mpenzi imetajwa kuwa sababu ya mahusiano mengi kuvunjika bila kujua kama ni kosa kwa mujibu wa sheria. Na John Selijo – Mufindi l FM Wanaondoa na wapenzi wameshauriwa kuacha kupekua na kukagua simu za wenza…
14 September 2023, 09:50
Mbunge wa Mufindi Kaskazini Mh. Exaud Kigahe (wa kwanza kushoto pichani) akiwa ziarani katika kata ya Kibengu wilayani Mufindi Jana. Picha na Kelvin Mickdady Na Kelvin Mickdady-Mufindi Mbunge wa Jimbo la Mufindi Kaskazini ambaye pia ni Naibu waziri wa Viwanda…
12 September 2023, 15:23
Na Kelvin Mickdady Mwenyekiti Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Mufindi Ndugu. George Kavenuke amesema chama kitaendelea kuisimamia serikali katika kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo. Kavenuke ameyasema hayo akiwa kwenye hafla ya kukabidhi majengo ya zahanati na nyumba ya mganga…
12 September 2023, 11:55
Lengo letu ni kusaidia sekta zote kama tulivyoanza na sekta ya Afya na shughuli mbalimbali za maendeleo Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Mufindi Festo Mgina akipokea Cheti cha Pongezi kutoka kwa mkuu wa taasisi ya Vijana ( Youth Agency…
12 September 2023, 06:41
Baadhi ya washiriki wakichuana kumpata mshindi wa mchezo wa bao, katika uwanja wa mashujaa uliyo Mafinga mjini. Picha na Kelvin Mickdady Na Kelvin Mickdady -Mafinga. Mashindano ya Bao (Draft) Mufindi Yamefunguliwa Hii Leo katika Uwanja wa Mashujaa kwa hatua za…
11 September 2023, 12:46
Afisa mipango miji mkuu kutoka Wizara ya Ardhi Fabian Mtaka akizungumza na wananchi wa kijiji cha Idetero kata ya Mbalamaziwa wilayani Mufindi.Na Bestina Nyangaro Kuwa na hatimiliki za ardhi kutasaidia kupunguza migogoro ya ardhi Na Bestina Nyangaro-Mufindi Idara ya Ardhi…
MUFINDI FM MAFINGA 107.3
Mufindi FM Redio 107.3 Mafinga ni Redio iliyo Chini ya Kampuni ya Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi Mkoani iringa inayojulikana Kwa Jina la Mufindi Media Cooperation Company LTD. Mufindi FM Redio Ilianzishwa Mwaka 2021, Redio Isikilizwa Katika Mikoa ya Iringa na Njombe, Pamoja na Baadhi ya Wilaya Katika Mikoa ya Morogoro, Mbeya na Ruvuma.