11 September 2023, 12:46

Wananchi Mufindi wapewa elimu umiliki ardhi

Afisa mipango miji mkuu kutoka Wizara ya Ardhi Fabian Mtaka akizungumza na wananchi wa kijiji cha Idetero kata ya Mbalamaziwa wilayani Mufindi.Na Bestina Nyangaro Kuwa na hatimiliki za ardhi kutasaidia kupunguza migogoro ya ardhi Na Bestina Nyangaro-Mufindi Idara ya Ardhi…

On air
Play internet radio

Recent posts

19 April 2024, 20:04

Ni Muungano wa usafi

Na Jackson Machowa-Mufindi Kuelekea maadhimisho ya miaka 60 ya Muungano Tanganyika na Zanzibar yatakayoadhimishwa April 26 wakurugenzi wa halmashauri za Mji wa Mafinga na Wilaya ya Mufindi wamewaongoza watumishi wa halmashauri hizo kufanya usafi katika hospitali ya wilaya ya Mufindi…

17 April 2024, 19:40

Wananchi 350 waanza kutumia nishati safi ya kupikia

Na Bestina NyangaroOfisi ya mbunge Jimbo la Mafinga Mjini kwa kushirikiana na Wizara ya Nishati, imegawa mitungi 350 ya gesi ambayo imeambatana na elimu (Mafunzo) ya nishati safi ya kupikia kwa lengo la kuwezesha upatikanaji wa nishati hiyo. Zoezi hilo…

16 April 2024, 10:17

Jukwaa la Wadau wa Parachichi

Na Jackson Machowa-Mufindi Wakulima wa zao la parachichi wilayani Mufindi kwa kushirikiana na wadau mbalimbali katika mnyororo wa thamani ya zao hilo wameungana na kuunda jukwaa la pamoja la zao hilo ili kupaza sauti itakayosaidia kutafuta ufumbuzi wa changamoto mbalimbali…

9 April 2024, 10:33

DC Mufindi aandaa futari

Na Marko Msafili- Mufindi Wakati waumini wa dini ya Kiislamu kote ulimwenguni wakiendelea na mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan, waumini wa dini ya Kiislamu wilayani Mufindi wameshiriki futar iliyoandaliwa na Mkuu wa Wilaya hiyo Mhe. Dkt. Linda Salekwa. Hafla…

9 April 2024, 10:09

Wahamiaji haramu 16 mbaroni wakisafirishwa kwa STL

Na Jackson Machowa-MufindiJeshi la polisi kwa kushirikiana na idara ya uhamiaji mkoani Iringa linawashikilia wahamiaji haramu 16 raia wa Ethiopia kwa kosa la kuingia nchini bila kibali kinyume cha sheria.Wahamiaji hao wamekamatwa Jumamosi ya tarehe 6 April 2024 katika eneo…

21 March 2024, 18:33

Mbunge Chumi akabidhi ambulance Ifingo

Na Bestina Nyangaro/Mafinga Mbunge wa Jimbo la Mafinga mjini Mh. Cosato David Chumi amekabidhi gari la kubebea wagonjwa (ambulance) katika kituo cha afya Ifingo kata ya Kinyanambo. Hafla ya kukabidhi gari hilo imefanyika leo machi 21 2024, kwa lengo la…

12 March 2024, 08:25

RC Serukamba: Kijiji kwa kijiji

Na Marko Msafili/IringaMarchi 10, 2024 yamefanyika Makabidhiano ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Iringa kati ya Mkuu wa sasa wa Mkoa huo Mhe. Pater Serukamba na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa huo Halima Dendego ambaye amehamishiwa kuwa Mkuu wa Mkoani…

12 October 2023, 21:53

Wilaya tatu mkoani Iringa zapewa elimu matumizi takwimu za sensa 2022

Na Bestina Nyangaro-Mafinga Halmashauri za Mufindi, Mafinga mji na Kilolo zimepatiwa mafunzo ya matumizi ya takwimu za matokeo ya sensa ya Sita iliyofanyika mwezi Agosti mwaka 2022. Mafunzo hayo yametolewa hii leo katika ukumbi wa CCM Halmashauri ya mji Mafinga,…

11 October 2023, 12:34

Tani 124.1 za mbaazi zauzwa kwa mfumo wa stakabadhi ghalani

Mfumo wa stakabadhi ghalani umewezesha kuuza mbaazi shilingi 1,710 kwa kilo huku wakulima wakifurahia mfumo huo na kuridhia bei. Na Jackson Machoa/ Morogoro Jumla ya tani 124.1 za zao la mbaazi zenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 212 zimeuzwa…

11 October 2023, 11:19

Aboud Ziarani Iringa

Na KEFA SIKA/MUFINDI. Mlezi wa Chama cha Mapinduzi CCM Mkoa wa Iringa Ndugu Mohamed Aboud Mohamed amewataka wananchi Wilayani Mufindi kufanya kazi kwa bidii kwani Serikali inaendelea kusikiliza na kutatua changamoto za wananchi. Mhe. Aboud ameyasema hayo katika ziara ya…

Kuhusu Mufindi FM 107.3

MUFINDI FM MAFINGA 107.3
Mufindi FM Redio 107.3 Mafinga ni Redio iliyo Chini ya Kampuni ya Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi Mkoani iringa inayojulikana Kwa Jina la Mufindi Media Cooperation Company LTD. Mufindi FM Redio Ilianzishwa Mwaka 2021, Redio Isikilizwa Katika Mikoa ya Iringa na Njombe, Pamoja na Baadhi ya Wilaya Katika Mikoa ya Morogoro, Mbeya na Ruvuma.