On air
Play internet radio

Recent posts

24 August 2026, 12:10 pm

DC Salekwa: NGO’s zilenge miradi yenye tija kwa wananchi

Mkuu wa wilaya ya Mufindi Mhe. Dkt. Linda Salekwa akizungumza na washiriki katika jukwaa la mwaka la mashirika yasiyo ya kiserikali (NACONGO) lililofanyika ukumbi wa Mbalamaziwa wilayani humo. Picha na Hafidh Ally. “Nitoe rai kwenu naomba tunapoandika maandiko ya kuomba…

22 July 2026, 10:35 am

Bei elekezi mbolea ya ruzuku yatangazwa, wananchi waomba iongezwe

Mbunge wa jimbo la Mafinga Mjini Mhe. Dickson Lutevele Villa akizungumza na wananchi wa kijiji cha Ugute kilichopo katika kaya ya Isalavanu ikiwa ni mwendelezo wa ziara yake ya kata kwa kata, kijiji kwa kijiji ndani ya jimbo hilo. Picha…

24 June 2026, 2:21 pm

TFS yaongeza nguvu kupambana na moto, zaidi ya 400 wahojiwa Sao Hill

Msaidizi wa Mhifadhi mkuu wa shamba la miti la Sao hill ambaye pia ni Msimamizi wa kitengo cha uendelezaji rasilimali Misitu na Nyuki, Ndgu. PCO Said Singano akizungumza na baadhi ya vijana waliojitokeza kwenye usaili, uliofanyika katika viwanja vilivyopo makao…

17 June 2026, 8:32 pm

Vijana 7 waangamia kwa uhalifu Ihefu

Diwani wa kata ya Mdabulo Mhe. Marko Shayo akizungumza na wananchi wa kijiji cha Ihefu kilichopo katika kata hiyo, wakati wa mkutano wa hadhara uliohusisha usikilizaji wa kero mbalimbali. Picha na Marko Msafiri. Kwa mujibu wa taarifa ni kwamba, vijana…

16 June 2026, 8:12 pm

DC Mufindi ahimiza malezi bora

Mkuu wa Wilaya ya Mufindi Mhe. Dkt. Linda Salekwa akihutubia katika maadhimisho ya siku ya Mtoto wa Afrika yaliyofanyika kiwilaya katika shule ya msingi Imehe. Picha na Kelvin Ayoub. Chimbuko la siku hiyo ya mtoto wa Afrika ni mauaji ya…

14 May 2026, 10:43 am

Zaidi ya majiko 1700 ya nishati safi yauzwa kwa ruzuku mufindi

Pichani ni Mkuu wa wilaya ya Mufindi Mhe. Dkt. Linda Salekwa, Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri ya wilaya hiyo Ndg. Mashaka Mfaume na Mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya Green Way Bi. Sabitina Makweta wakati wa uzinduzi wa mnada wa uuzaji wa…

12 May 2026, 8:35 pm

Migogoro ya ndoa si kuchana vyeti

Pichani ni msaidizi wa masuala ya kisheria kutoka shirika la Legal Right Enlightment Organisation, Jimmy Mgovano akiwa katika mahojiano maalumu na kituo cha redio cha Mufindi Fm.Picha na Mwanaidi Ngatala. Ndoa ni muungano wa hiari wa kisheria, kijamii, na mara…

4 May 2026, 8:07 pm

PM Nchemba akemea unyang’anyi kero ya barabara ikitawala

“Kwenye vyanzo vyangu nimeambiwa upo utaratibu na wengine ni wa serikali, wengine ni wa sekta binafsi, vijana wetu wanafanya kazi na malipo yao hawapewi, ila magari wanabadilisha kila siku, lakini hela za kuwalipa wanyonge hawana “Dkt. Mwigulu Na Marko Msafiri…

Kuhusu Mufindi FM 107.3

MUFINDI FM MAFINGA 107.3
Mufindi FM Redio 107.3 Mafinga ni Redio iliyo Chini ya Kampuni ya Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi Mkoani iringa inayojulikana Kwa Jina la Mufindi Media Cooperation Company LTD. Mufindi FM Redio Ilianzishwa Mwaka 2021, Redio Isikilizwa Katika Mikoa ya Iringa na Njombe, Pamoja na Baadhi ya Wilaya Katika Mikoa ya Morogoro, Mbeya na Ruvuma.