Mufindi FM

Recent posts

10 October 2023, 19:16

Wamiliki viwanda Mufindi watakiwa kusimamia maslahi ya wafanyakazi

Na Kefa Sika/Mafinga Mkuu wa wilaya ya Mufindi Dkt. Linda Salekwa amewataka wamiliki na wasimamizi wa viwanda wilayani Mufindi kusimamia taratibu na sheria za ufanyaji kazi ili kuwasaidia wananchi. Salekwa ameyasema hayo katika ziara ya viwandani mjini Mafinga kuwa kila…

10 October 2023, 09:04

Malinyi kunufaika na klinik tembezi

Na Jackson Machoa/Morogoro Mkuu wa wilaya ya Malinyi mkoani Morogoro Mh. Sebastian Waryuba amezindua mradi wa klinik tembezi wenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 210 uliofadhiliwa na nchi ya Uswiz kupitia shirika lisilo la kiserikali la Solider Med ili…

6 October 2023, 10:55

Mitungi ya gesi inayotolewa inaambatana na utoaji elimu?

Mitungi ya gesi ambayo inatolewa na wabunge inalenga kupunguza athari za mabadiliko ya tabia ya nchi lakini inahitajika elimu ili kufikia lengo. Na Marko Msafili/Mufindi Kufuatia uwepo wa jitihada zinazofanywa na serikali katika kukabiliana na mabadiliko ya tabia ya nchi…

30 September 2023, 20:01

Kuna hatari gani kulala na petroli au gesi?

Na Marko Msafili/Mafinga Jamii imeaswa kuacha tabia ya kulala na Viminika ikiwemo mafuta au Vitu vinavyotumia nishati hiyo pamoja na kutambua namna sahihi ya kusimamia katika maeneo wanayoishi.Rai hiyo imetolewa na Mkaguzi Msaidizi wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Wilayani…

30 September 2023, 19:30

Vyama vya ushirika mwarobaini wa masoko kwa wakulima

Na Isaya Kigodi/Mafinga Ili kuendana na mahitaji ya soko, Wakulima wilayani Mufindi wametakiwa kujiunga na vyama vya ushirika jambo ambalo litawarahisishia kulifikia soko. Hayo yamesemwa na Afisa ushirika Halmashauri ya wilaya ya Mufindi Bi. Pili Mwaipaja wakati akizungumza na Mufindi…

30 September 2023, 18:59

Kalinga: Wanafunzi 5 wasiojiweza kushikwa mkono

Na Gift Mario/Mufindi Kaimu Meneja mawasiliano na masoko TBA Ndugu Fredrick Kalinga, amechangia mifuko 30 ya saruji kwa ajili ya kufanikisha ujenzi wa matundu 14 ya vyoo katika shule ya msingi Igulusi kata ya Ifwagi wilayani Mufindi. Katika hotuba yake…

27 September 2023, 20:07

TADIO yawanoa wanahabari Mufindi FM

Waandishi wa habari Mufindi FM wakiwa katika mafunzo ya urushaji maudhui mtandao kupitia radio.Picha na Kelvin Mickdady Na Isaya Kigodi -Mufindi Mtandao Wa Radio Jamii nchini( TADIO) umetoa mafunzo ya Ndani kwa waandishi Wa habari Wa kituo Cha jamii Mufindi…

26 September 2023, 10:29

Vitabu 4,559 vya sayansi kusambazwa wilayani Malinyi

Wakuu wa shule za sekondari wilayani Malinyi katika picha ya pamoja baada ya kukabidhiwa vitabu na kaimu mkurugenzi mtendaji wilaya bwana Gasto Silayo kwenye hafula iliyofanyika katika viwanja vya shule ya msingi nawigo. Picha na Jackson Machoa. Vitabu hivyo vitasaidia…

21 September 2023, 18:46

TAEEs yatoa mafunzo kwa bodi za maji 15 Mufindi

Na Kelvin Mickdady -MufindiFM Bodi za kusimamia vyanzo na usafi wa maji wilayani Mufindi zimetakiwa kuboresha mfumo wa ufanyaji kazi ili kuongeza mapato ya serikali kupitia bodi hizo.Hayo yamesemwa na mwenyekiti wa halmshauri ya wilaya ya Mufindi Mhe. Festo Mgina…

21 September 2023, 17:19

Wakulima Mufindi kunufaika na kipima udongo

Wataalam kutoka shirika la Care na WWF Alliance pamoja na wakulima wilayani Mufindi wakiwa katika moja ya shamba darasa. Picha na Care. Na Jumanne Bulali Kifaa cha kupimia udongo kinatarajiwa kuwa na tija kwa wakulima wengi wilayani Mufindi kwani wataweza…

Kuhusu Mufindi FM 107.3

MUFINDI FM MAFINGA 107.3
Mufindi FM Redio 107.3 Mafinga ni Redio iliyo Chini ya Kampuni ya Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi Mkoani iringa inayojulikana Kwa Jina la Mufindi Media Cooperation Company LTD. Mufindi FM Redio Ilianzishwa Mwaka 2021, Redio Isikilizwa Katika Mikoa ya Iringa na Njombe, Pamoja na Baadhi ya Wilaya Katika Mikoa ya Morogoro, Mbeya na Ruvuma.