Mufindi FM

Recent posts

15 September 2023, 18:20

TAKUKURU yaokoa shilingi Milionii 2.4 za Vikoba

Naibu Mkuu wa TAKUKURU mkoa wa Iringa Bahati Haule akikabidhi pesa taslimu Sh. Mil 2.4 zilizoleheshwa kupitia TAKUKURU rafiki kata ya Bumilayinga wilayani Mufindi. Picha na Gift Mario Na Gift Mario Tasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa Wilayani Mufindi…

15 September 2023, 12:36

Kushika simu ya mpenzi wako ni kosa kisheria

Kupekua simu ya mwenza au mpenzi imetajwa kuwa sababu ya mahusiano mengi kuvunjika bila kujua kama ni kosa kwa mujibu wa sheria. Na John Selijo – Mufindi l FM Wanaondoa na wapenzi wameshauriwa kuacha kupekua na kukagua simu za wenza…

14 September 2023, 09:50

Ziara ya Mbunge Mufindi Kaskazini Kata ya Kibengu

Mbunge wa Mufindi Kaskazini Mh. Exaud Kigahe (wa kwanza kushoto pichani) akiwa ziarani katika kata ya Kibengu wilayani Mufindi Jana. Picha na Kelvin Mickdady Na Kelvin Mickdady-Mufindi Mbunge wa Jimbo la Mufindi Kaskazini ambaye pia ni Naibu waziri wa Viwanda…

12 September 2023, 15:23

CCM kuendelea kuisimamia serikali utekelezaji miradi

Na Kelvin Mickdady Mwenyekiti Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Mufindi Ndugu. George Kavenuke amesema chama kitaendelea kuisimamia serikali katika kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo. Kavenuke ameyasema hayo akiwa kwenye hafla ya kukabidhi majengo ya zahanati na nyumba ya mganga…

12 September 2023, 11:55

Sekta ya Maendeleo Mufindi yapewa kongole

Lengo letu ni kusaidia sekta zote kama tulivyoanza na sekta ya Afya na shughuli mbalimbali za maendeleo Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Mufindi Festo Mgina akipokea Cheti cha Pongezi kutoka kwa mkuu wa taasisi ya Vijana ( Youth Agency…

12 September 2023, 06:41

Mkali Wa ‘Draft’ Mufindi Asakwa

Baadhi ya washiriki wakichuana kumpata mshindi wa mchezo wa bao, katika uwanja wa mashujaa uliyo Mafinga mjini. Picha na Kelvin Mickdady Na Kelvin Mickdady -Mafinga. Mashindano ya Bao (Draft) Mufindi Yamefunguliwa Hii Leo katika Uwanja wa Mashujaa kwa hatua za…

11 September 2023, 12:46

Wananchi Mufindi wapewa elimu umiliki ardhi

Afisa mipango miji mkuu kutoka Wizara ya Ardhi Fabian Mtaka akizungumza na wananchi wa kijiji cha Idetero kata ya Mbalamaziwa wilayani Mufindi.Na Bestina Nyangaro Kuwa na hatimiliki za ardhi kutasaidia kupunguza migogoro ya ardhi Na Bestina Nyangaro-Mufindi Idara ya Ardhi…

Kuhusu Mufindi FM 107.3

MUFINDI FM MAFINGA 107.3
Mufindi FM Redio 107.3 Mafinga ni Redio iliyo Chini ya Kampuni ya Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi Mkoani iringa inayojulikana Kwa Jina la Mufindi Media Cooperation Company LTD. Mufindi FM Redio Ilianzishwa Mwaka 2021, Redio Isikilizwa Katika Mikoa ya Iringa na Njombe, Pamoja na Baadhi ya Wilaya Katika Mikoa ya Morogoro, Mbeya na Ruvuma.