Mufindi FM
Mufindi FM
6 June 2024, 10:12 am

Na Jumanne Bulali
Mufindi
Emmanuel Mikael Mwepelwa mwenye umuri wa miaka 10, Mwanafunzi wa shule ya msingi Njojo kata ya Nyololo wilayani Mufindi mkoani Iringa, amesadikika kufariki dunia kwa kujinyonga, sababu zikiwa hazijulikani hadi sasa.
Kwa Undani Wa Habarii Tuungane Na Mwandishi Wetu Jumanne Bulali.
Ripoti ya Jumanne Bulali