21 February 2025, 07:10

Mufindi FM yashika namba 3 kwa kulipa kodi

na Jumane Bulali Mufindi FM Radio 107.3 imeshika nafasi ya tatu Kwa kulipa Kodi Kwa wakati na kwa usahihi Kwa upande wa Vyombo vya Habari vya Mkoa wa Iringa. Mufindi FM imepewa tunzo hiyo maalumu baada ya kutambuliwa na Mamlaka…

On air
Play internet radio

Recent posts

2 August 2025, 11:51

Wagombea CCM Mafinga wajipambanua kwa sera thabiti

Mbunge wa jimbo la Mafinga Mjini anayemaliza muda wake na mgombea anayetetea nafasi hiyo, Cosato David Chumi akinadi sera kwa wajumbe ili waendelea kumpa ridhaa ya kushirikiana naye katika kuleta maendeleo kwa wanamafinga, ikumbukwe kuwa Chumi ni miongoni mwa wagombea…

15 July 2025, 19:02

Jamii yatakiwa kuripoti ukatili bila kuogopa

Zamani matukio ya ukatili wa kijinsia na ukatili dhidi ya watoto yalikuwepo, lakini yalikuwa hayaripotiwi kwa uwazi au kwa kiwango kikubwa kama ilivyo sasa. Hali hii ilisababishwa na utamaduni wa kumaliza kindugu, uoga au aibu, kutokuwa na mifumo rafiki ya…

14 July 2025, 12:25

Wafanyabiashara Mashujaa wagusa mioyo Isupilo, Makalala

Kujitoa kwa jamii ni kitendo cha kiugwana kinachoonyesha upevu wa kimaadili na upendo wa kweli. Ni tendo ambalo lina nguvu ya kubadilisha maisha ya watu, kuvunja mnyororo wa mateso na kuleta tumaini mahali palipojaa giza. Na Marko Msafiri Katika kuadhimisha…

14 July 2025, 11:59

TOSCI yatoa uhakika mbegu bora kwa wakulima

Hapo awali wazalishaji wa mbegu walikumbana na changamoto mbalimbali zikwemo ukosefu wa elimu ya kiufundi, kutokuwa na uthibitisho rasmi, usambazaji holela na kukosa kuelewa mahitaji ya wakulima. Na Marko Msafiri Wakala wa Udhibiti wa Ubora wa Mbegu Tanzania (TOSCI) umeuhakikishia…

21 June 2025, 22:19

Mufindi DC yapewa maagizo mapya, Baraza la Madiwani likivunjwa

Pichani ni Mkuu wa mkoa wa Iringa Mhe. Peter Serukamba akiwa katika kikao cha kuvunjwa kwa baraza la madiwani halmashauri ya wilaya ya Mufindi lililofanyika jana Juni 20, 2025. Picha na Mwanaidi Ngatala. kuvunjwa kwa Mabaraza ya madiwani nchini ni…

11 June 2025, 00:23

Wadau wakutana kuteta muarobaini soko mazao

Wadau mbalimbali wakiwa picha ya pamoja wakiwemo watoa huduma, vyama vya ushirika, wafanya biashara, wasindikizaji wa mazao na maofisa wa serikali mara baada ya kuhitimisha mafunzo ya kikao biashara. Picha na Marko Msafiri. Awali, wakulima wengi walikumbana na changamoto mbalimbali…

6 June 2025, 13:46

Muhimbili yagusa maisha usokami, huduma bingwa, bobezi

Katika picha ni Madaktari bingwa wa kinywa na meno wakimufanyia matibabu mgonjwa wa meno katika kituo cha afya Usokami. Picha na Marko Msafiri. Kabla ya ujio wa Madaktari Bingwa katika kituo hicho, wananchi walilazimika kusafiri umbali mrefu hadi hospitali kubwa…

26 May 2025, 13:11

Kilimo Masoko yaja na mkakati masoko

Mafunzo hayo ni ya kuwainua wakulima kutawala katika soko la dunia kupitia uwepo wa mazingira wezeshi. Na Marko Msafiri Taasisi ya Nafaka Kilimo kupitia mradi wa Kilimo Masoko (FtMA) Kwa imewakutanisha wadau mbalimbali katika sekta ya pembejeo kwa lengo la…

21 February 2025, 07:10

Mufindi FM yashika namba 3 kwa kulipa kodi

na Jumane Bulali Mufindi FM Radio 107.3 imeshika nafasi ya tatu Kwa kulipa Kodi Kwa wakati na kwa usahihi Kwa upande wa Vyombo vya Habari vya Mkoa wa Iringa. Mufindi FM imepewa tunzo hiyo maalumu baada ya kutambuliwa na Mamlaka…

14 January 2025, 14:09

Tadio yawanoa wanahabari kuelekea uchaguzi mkuu

Na Juliana Mhavile Kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2025, Wandishi wa habari wa kituo cha redio Mufindi FM 107.3, wametakiwa kuzingatia maadili yao ya kiuandishi Katika kazi yao ya kuhabarisha umma. Hayo yamesemwa January 13, 2025 na Mhariri kutoka jukwaa…

Kuhusu Mufindi FM 107.3

MUFINDI FM MAFINGA 107.3
Mufindi FM Redio 107.3 Mafinga ni Redio iliyo Chini ya Kampuni ya Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi Mkoani iringa inayojulikana Kwa Jina la Mufindi Media Cooperation Company LTD. Mufindi FM Redio Ilianzishwa Mwaka 2021, Redio Isikilizwa Katika Mikoa ya Iringa na Njombe, Pamoja na Baadhi ya Wilaya Katika Mikoa ya Morogoro, Mbeya na Ruvuma.