Radio Tadio

Siasa

28 January 2023, 9:13 am

Mkuu Wa Wilaya ya Bahi Godwin Gondwe Ahidi Kuendeleza Mazuri

Na; Bernad Magawa.Mkuu wa wilaya ya Bahi Godwin Gondwe ameahidi kuendeleza mazuri yote yaliyofanywa na aliyekuwa Mkuu wa wilaya hiyo Mwanahamisi Munkunda na kuwaahidi wananchi wa Bahi kufanya kazi kwa uwezo wake wote ili kuhakikisha kuwa wilaya hiyo inaendelea kuwa…