8 August 2024, 9:32 pm

ACT Wazalendo yakerwa na ubadhirifu wa fedha za TASAF Kagera

Mpango wa kunusuru kaya masikini TASAF mkoa wa Kagera umeripotiwa kukumbwa na ubadhirifu wa kutokana na uwepo wa baadhi ya watumishi wasio waaminifu waliokasimiwa mamlaka ya kusimamia mpango huo. Na Theophilida Felician. Katibu mkuu wa chama cha ACT wazalendo Ado…

On air
Play internet radio

Recent posts

13 October 2024, 5:24 pm

Wenye ulemavu wajipanga kushinda uchaguzi Kagera

“Wasioona ni muhimu wajiamini katika kila jambo wanalofanya kwa kuwa wana haki sawa na watu wengine wote hivyo wanapaswa kupewa ushirikiano katika jamii.“ Na: Theophilida Felician -Kagera Kuelekea chaguzi za serikali za mitaa na uchaguzi mkuu wa 2025 nchini vyama…

13 October 2024, 4:18 pm

Kardinali Rugambwa, Dr. Bagonza wafunguka

Ushirikiano wa viongozi wa dini nchini ni muhimu kuendelezwa kwa ajili ya kuchochea upendo kwa waumini na kuleta maendeleo ya kiroho na kiuchumi. Na: Devid Geofrey – Karagwe Muadhama Protase Kardinali Rugambwa na Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la…

12 October 2024, 6:45 am

Mama auwawa na wasiojulikana akiwa kwake Karagwe

Wimbi la vitendo vya mauaji katika siku za hivi karibuni limehusishwa na kukithiri kwa matatizo ya afya ya akili, mmomonyoko wa maadili, uelewa duni wa namna ya kuishi, huku umasikini uliopitiliza nao ukitajwa kama moja ya sababu. Na: Edson Tumain…

9 October 2024, 10:18 pm

RC Kagera kula sahani moja na wahamiaji haramu

Uhamiaji haramu una athari kubwa kwenye soko la ajira mkoani Kagera.Wahamiaji wasio na nyaraka mara nyingi hufanya kazi katika sekta za kilimo, ujenzi, na ufugaji ambapo kuna mahitaji ya ajira, na waajiri huwatumia kwa gharama ndogo huku wazawa wakikoswa ajira…

7 October 2024, 10:03 pm

Kagera yabuni mbinu kukomesha ukatili kwa wazee

Baadhi ya zawadi zilizotolewa kwa wazee na Umoja wa amani kwanza. Picha na Theophilida Felician Wazee ni tunu muhimu katika Jamii; wanapaswa kupokelewa, kuheshimiwa; wanateseka katika ukiwa, wanapotengwa na kuelemewa na upweke. Na Theophilida Felician Umoja wa amani kwanza mkoani…

24 September 2024, 7:59 pm

EWURA CCC Kagera yawataka wananchi kuwasilisha malalamiko

Watumiaji wa huduma za nishati na maji mkoani Kagera wameendelea kunufaika na elimu ya namna ya kuwasilisha malalamiko yao kwenye baraza la ushauri la watumiaji wa huduma hizo EWURA CCC Na Theophilida Felician Baraza la ushauri la watumiaji wa huduma…

22 September 2024, 6:11 pm

‘Amani Kwanza’ Kagera wahofia video za kashfa dhidi ya Rais Samia

Wananchi na makundi mbalimbali ya kutetea haki za binadamu mkoani Kagera wameitaka serikali kuchukua hatua thabiti dhidi ya viashiria vyote vyenye nia ya uvunjifu wa amani vilivyoanza kujitokeza kwa kasi hapa nchini. Theophilida Felician Katika kusherehekea siku ya amani duniani…

18 September 2024, 8:16 pm

Rwamishenye wadai kuhujumiwa zawadi za ligi ya Byabato

Baadhi ya wananchi wa kata ya Rwamishenye manispaa ya Bukoba mkoani Kagera wameibuka na tuhuma dhidi ya diwani wa kata hiyo bw. Juma Sued Kagasheki wakimtuhumu kuhujumu zawadi walizostahili baada ya kuibuka na ushindi wa tatu katika mashindano ya ligi…

9 September 2024, 9:46 pm

Rushwa, kuvuja siri chanzo cha uvunjifu wa amani Kagera

Kipindi cha kuelekea chaguzi hapa nchini viongozi wa taasisi mbalimbali hujitokeza na kuiasa jamii juu ya umuhimu wa kuitunza amani ya nchi hasa kwa mikoa ya pembezoni ambayo kwa kiasi kikubwa inapakana na mataifa yenye ukosefu wa amani Na Theophilida…

28 August 2024, 8:29 pm

Vijana wajasiriamali Mutukula wajengewa jengo la biashara

Vijana wajasiriamali katika kata ya Mutukula wilayani Missenyi mkoani Kagera wamenufaika na fedha za mapato ya ndani kupitia halmashauri kwa kujengewa jengo maalum la kibiashara kwa ajili ya kujikwamua kiuchumi Na Respicius John Kamati ya fedha utawala na mipango ya…