1 June 2024, 10:48 am

Halmashauri nne zaridhia mradi wa kuzuia ulemavu Kagera

Huduma za utengamao zinazotolewa kwa wenye ulemavu limekuwa hitaji kubwa kwa kundi hili ikizingatiwa kuwa mashirika yenye uwezo wa kutoa huduma hizi ni machache na yamekuwa na bajeti finyu. Kwa hali hiyo shirika lisilokuwa la kiserikali la Community Based Inclusive…

On air
Play internet radio

Recent posts

26 July 2024, 9:19 pm

Mwenyekiti ALAT Taifa ahimizi usimamizi wa miradi ya maendeleo

Kamati tendaji ya Jumuiya ya tawala za mitaa Tanzania ALAT wamekutana wiki hii kujadiliana juu ya mambo mbalimbali ikiwemo kutoa maelekezo kwa mamlaka za serikali za mitaa juu ya usimamizi wa miradi ya maendeleo katika maeneo yao Na mwandishi wetu…

26 July 2024, 2:48 pm

RC Kagera asisitiza kuwaenzi mashujaa kwa kudumisha amani

Kila ifikapo Julai 25, Tanzania huadhimisha kumbukizi ya mashujaa waliopigania uhuru wa taifa hili ambapo kwa mwaka 2024 maadhimisho haya yamefanyika jijini Dodoma kitaifa yakiongozwa na Amiri Jeshi mkuu na Rais wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan Theophilida Felician. Mkoa…

24 July 2024, 1:04 pm

CCM Missenyi yakemea utekaji wa watoto, yaitisha maombi

Kila mwaka wa uchaguzi kumekuwa na ongezeko la vitendo vya uhalifu ikiwemo mauaji ya makundi mbalimbali ya watu hali inayohusisishwa na ushirikina unaoaminika kufanywa na baadhi ya watu wenye nia ya kuwania nafasi mbalimbali za uongozi. Hali hii huamsha ari…

23 July 2024, 6:14 pm

EWURA CCC Kagera yapokea malalamiko 287, wananchi 9168 wafikiwa

Kutokana na changamoto zinazowakumba watumiaji wa huduma za nishati na maji nchini, Baraza la ushauri la watumiaji wa huduma hizo limekuwa na desturi ya kuwafikia na kuwashauri juu ya kutoa malalamiko yao pale wanapotendewa kinyume na matarajio Na Theophilida Felician.…

19 July 2024, 6:18 pm

MNEC Karim Amri aunga mkono ligi ya Bashungwa kwa mipira 50

Amesema hayo Julai 18, 2024 wakati akichangia mipira 20 kati ya 50 aliyoikusudia kwa ajili ya kuhakikisha ligi hiyo inafanikiwa kama ilivyopangwa na kuongeza kuwa Bashungwa ameanzisha ligi kwa wakati mwafaka ambapo kupitia kwa waratibu wa ligi na chama cha…

13 July 2024, 10:30 am

Changamoto za shule ya msingi Kitengule kutatuliwa

Na Eliud Henry Changamoto mbalimbali kwa shule za msingi na sekondari nchini zimekuwa kikwazo cha ufaulu na maendeleo ya watoto hasa linapokuja suala la miundombinu mibovu au chakavu na mabweni kwa wenye mahitaji maalum Shule ya msingi Kitengule inayohudumia watoto…

13 July 2024, 9:47 am

Miche milioni 3 ya kahawa kugawiwa bure Karagwe

Uchumi wa Karagwe unaendelea kukua kutokana na hamasa ya serikali kwa wananchi juu ya kuongeza nguvu ya upandaji wa miche bora ya kahawa na kuitunza. Na Shabani Ngarama Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Karagwe mkoani Kagera bw. Wallace Mashanda…

13 July 2024, 8:36 am

Wachungaji wapiga ramli, washirikina waonywa Kagera

Baadhi ya viongozi wa dini nchini ni miongoni mwa kundi la wahalifu wanaokamatwa katika maeneo mbalimbali kutokana na chunguzi zinazofanywa na jeshi la polisi. Miongoni mwa viongozi hao ni baadhi ya walimu wa madrasa wanaokamatwa wakituhumiwa kwa makosa ya ulawiti…

12 July 2024, 3:30 pm

WEO Kanyigo asusiwa kikao kwa kufukuza wanahabari

Wandishi wa habari nchini wanaendelea kukumbana na vikwazo kazini kila uchao licha ya matamko yanayotolewa na viongozi wa kitaifa katika majukwaa mbalimbali. Ni hivi karibuni tu Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiwa katika kilele cha siku ya uhuru wa vyombo vya…

8 July 2024, 7:38 pm

Waziri Bashungwa awaita wawekezaji kuja Karagwe

Sekta ya uwekezaji hutegemea mazingira ya eneo husika na uhitaji wa soko la bidhaa zitakazopatikana kutokana na uwekezaji husika. Kwa wilaya ya Karagwe mazingira ya uwekezaji yako vizuri licha ya changamoto ndogo ya miundombinu ya maji na barabara ambazo mbunge…