2 May 2026, 10:05

Waajiri wasiolipa watumishi kwa wakati Kagera kukiona

Malalamiko ya wafanyakazi nchini juu ya mazingira duni ya kazi imekuwa kilio chao kila wanapoadhimisha siku ya wafanyakazi duniani hasa wakiiomba serikali kuchukua hatua kwa waajiri. Mkuu wa Mkoa wa Kagera Kanali Yahya Ramadhan Kido amewaagiza waajiri katika sekta binafsi…

Offline
Play internet radio

Recent posts

2 May 2026, 10:05

Waajiri wasiolipa watumishi kwa wakati Kagera kukiona

Malalamiko ya wafanyakazi nchini juu ya mazingira duni ya kazi imekuwa kilio chao kila wanapoadhimisha siku ya wafanyakazi duniani hasa wakiiomba serikali kuchukua hatua kwa waajiri. Mkuu wa Mkoa wa Kagera Kanali Yahya Ramadhan Kido amewaagiza waajiri katika sekta binafsi…

1 May 2026, 15:22

Afisa ushirika Karagwe ahimiza ushirikiano Buhamila Amcos

Akwilina: Tumalize migogoro yetu wenyewe, tusimkaribishe mtu mwingine kujua hata kama tuna changamoto. Na Jovinus Ezekiel, Karagwe Wanachama wa chama cha ushirika Buhamila Amcos kilichopo katika kata ya Rugera wilayani Karagwe mkoani Kagera wametakiwa kuungana pamoja kuendeleza ushirika huo ili…

1 May 2026, 10:40

Missenyi DC yakusanya mil 338.6 msimu wa kahawa uliopita

Mkuu wa wilaya ya Missenyi Kanali mstaafu Hamis Mayamba Maiga. Picha na Resicius John Mapato ya halmashauri ya wilaya ya Missenyi mkoani Kagera hukusanywa kutokana na vyanzo mbalimbali vya mapato ambapo kwa mujibu wa taarifa ya mkaguzi wa vyama vya…

4 March 2026, 20:00

Halmashauri ya Missenyi yapitisha bajeti ya shilingi bilioni 56.8

Baraza la madiwani la halmashauri ya wilaya ya Missenyi mkoani Kagera limeridhia kukusanya na kutumia kiasi cha zaidi ya shilingi bilioni 56.8 kwa mwaka wa fedha ujao. Na Respicius John, Missenyi Baraza la madiwani la halmashauri ya wilaya missenyi limepitisha…

3 March 2026, 20:11

DC Maiga ahamasisha wananchi kujiunga na bima ya afya kwa wote

Wilaya ya Missenyi imekabidhi kadi za bima ya afya kwa wote kwa makundi maalum yaliyoandikishwa kupata bima hiyo bila malipo Na Respicius John, Missenyi Mkuu wa wilaya ya Missenyi kanali mstaafu Hamis Mayamba Maiga amezindua rasmi zoezi la usajili na…

10 February 2026, 16:10

Ukatili majumbani wachangia mimba za utotoni Karagwe

“Tunaposema unyanyasaji wa kijinsia tuna maana ya Matendo au matukio anayoweza kufanyiwa mtu yeyote kwa makusudi kwa lengo la kumuumiza” Na Shabani Ngarama, Karagwe Jamii wilayani Karagwe imetakiwa kuachana na migogoro ya kifamilia ili kupunguza wimbi la watoto wa kike…

3 December 2025, 00:57

Longino ashinda kwa 100% uenyekiti halmashauri ya Karagwe

Halmashauri ya wilaya ya Karagwe mkoa wa Kagera imepata mwenyekiti mpya Bw. Longino Rwenduru baada ya kupigiwa kura 32 za ndiyo kati ya kura 32 zilizopigwa na madiwani wa halmashauri hiyo akirithi mikoba ya mwenyekiti wa muda mrefu Wallace Mashanda…

3 December 2025, 00:18

0.7% ya watu 70,000 wakutwa na VVU Karagwe

Juhudi za kupambana na maambukizi ya Virusi vya UKIMWI na unyanyapaa zimeendelea kukumbwa na changamoto ya mwitikio mdogo wa wananchi kupima afya zao na matumizi hafifu ya dawa kinga kwa wanaokutwa na maambukizi Na Ester Albert, Karagwe Jamii wilayani Karagwe…

22 October 2025, 21:31

Mgombea udiwani ACT Wazalendo ashusha ahadi nzito Mabale Missenyi

Baadhi ya wagombea wa nafasi mbalimbali za kisiasa mkoani Kagera wameendelea na kampeni zao kwa ajili ya kunadi sera zao katika wiki hii ya lala salama Na Theophilida Felician, Missenyi Zikiwa zimesalia siku chache wananchi kutimiza haki na wajibu wao…

13 October 2025, 11:38

ACT Wazalendo Kyaka wahimiza amani wakati wa uchaguzi mkuu

Wananchi wa kata ya Kyaka wilayani Misseyi mkoa wa Kagera wametakiwa kudumisha amani ili kulisaidia jeshi la polisi kulinda raia na mali zao hasa wakati huu taifa linapojiandaa na uchaguzi mkuu Na Theophilida Felician Kagera. Chama cha ACT WAZALENDO jimbo…

KARAGWE FM PROFILE

UTANGULIZI.
Radio Karagwe ni Radio ya kijamii iliyoanzishwa na shirika lisilokuwa la kiserikali lijulikanalo kama Karagwe Media Association (KAMEA).Ilianza kurusha matangazo yake Desemba 11.2007 kupitia masafa ya 91.4 MHz kwa ufadhili wa shirika la nchini Denmark (ULD80 Karagwe Venor) waliowezesha mafunzo kwa watumishi na upatikanaji wa vifaa.

DIRA.
Kuziba pengo la mawasiliano kwa wananchi wa Karagwe ambao kwa wakati huo hawakuwa na uwezo wa kusikiliza radio za Tanzania kutokana na jiongrafia ya eneo.

MAENEO REDIO INAKOSIKIKA
Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na ULD80 June mwaka 2012 Radio Karagwe ina zaidi ya wasikilizaji milioni 1.2.(KM 200 KUTOKA MAKAO MAKUU).Inasikika katika maeneo mbalimbali ya mkoa wa Kagera,katika wilaya za Karagwe, Kyerwa, Missenyi, Muleba na Bukoba Vijijini. Inasikika katika maeneo machache wilaya za Ngara, Biharamulo na Bukoba manispaa. Pia inasikika maeneo ya nchi jirani za Uganda, Burundi na Rwanda.

MAWASILIANO.
S.L.P 316,KARAGWE KAGERA TZ
E-mail : radiokaragwe@gmail.com
Phone: +255 754 677 708 / +255 689 471 171