Karagwe FM

Recent posts

2 December 2023, 10:58 pm

TUWAKA Saccos kukusanya zaidi TSh. mil. 507 mwaka 2024

TUWAKA SACCOS LTD (Tufaane Walimu Karagwe na Kyerwa) ni ushirika wa akiba na mikopo unaojengwa na walimu wote wa Karagwe na Kyerwa pamoja na wafanyakazi walioko chini ya Mkurugenzi wa Halmashauri Na Ospicia Didace Kyerwa Mrajisi msaidizi wa vyama vya…

20 November 2023, 8:10 pm

Opareshen peperusha bendera ilivyofana Kata Kayanga – Karagwe

Ziara ya oparesheni peperusha bendendera imelenga kuhamasisha masuala ya utawala bora, kuhamasisha kusajiliwa kwa njia ya elektronik, kuhamasisha uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu 2025 pamoja na kutembelea miradi mbalimbali ya maendeleo. Na Ospicia Didace Viongozi wa Chama…

8 November 2023, 8:10 pm

Wakulima Kagera watakiwa kupanda miti ya matunda kwa wingi

Na Jovinus Ezekiel Serikali mkoani Kagera imepongeza jitihada zinazoendelea kutekelezwa na taasisi ya KADERES inayohudumia wakulima katika wilaya mbalimbali za mkoa huo kwa kuanzisha mafunzo ya kilimo na uzalishaji wa miche ya miti rafiki kwa mazingira kwa ajili ya kuendeleza…

27 October 2023, 10:04 pm

Anatropia Theonest aendelea kutatua changamoto za wananchi

Na Jovinus Ezekiel Jumla ya mifuko 40 ya saruji imetolewa na mbunge wa viti maalum mkoani Kagera Anatropia Theonest kwa lengo la kuwezesha ujenzi wa miradi ya zahanati ya Milambi na shule  shikizi ya msingi Omukiyonza inayotekelezwa katika kata ya…

27 October 2023, 9:14 pm

Bashungwa: Serikali inaendelea kuboresha maslahi ya walimu

Na Jovinus Ezekiel Waziri wa ujenzi na mbunge wa jimbo la Karagwe Innocent Bashungwa amewahakikishia walimu wa wilaya ya  Karagwe kuwafikishia changamoto zinazowakabili ikewemo madeni ya walimu na kikokotoo cha malipo ya  msitaafu kutokuwa rafiki kwa serikali ili ziweze kupatiwa…

22 September 2023, 5:45 pm

Vyombo vya habari Kagera kuchochea miradi ya maendeleo

Mradi wa bomba la mafuta ni miongoni mwa miradi ya kimkakati inayotekelezwa na serikali unaohusisha nchi mbili kwa  maana ya Tanzania na Uganda hivyo waandishi wa habari hawana budi kueleza wananchi habari sahihi na kwa wakati juu ya mwenendo wa…

20 September 2023, 6:59 pm

Jukwaa la Uwezeshaji wanawake Kiuchumi Tanzania laja na Fursa lukuki

Mwenyekiti wa Jukwaa la wanawake  wilaya ya Karagwe Leah John amewataka wanawake kutumia fursa za makongamano mbalimbali ili kubadilishana maarifa na kuinuana kiuchumi bila kujali viwango vya vipato vyao. Na. Ospicia Didace Mwenyekiti wa Jukwaa la wanawake  wilaya ya Karagwe…

KARAGWE FM PROFILE

UTANGULIZI.
Radio Karagwe ni Radio ya kijamii iliyoanzishwa na shirika lisilokuwa la kiserikali lijulikanalo kama Karagwe Media Association (KAMEA).Ilianza kurusha matangazo yake Desemba 11.2007 kupitia masafa ya 91.4 MHz kwa ufadhili wa shirika la nchini Denmark (ULD80 Karagwe Venor) waliowezesha mafunzo kwa watumishi na upatikanaji wa vifaa.

DIRA.
Kuziba pengo la mawasiliano kwa wananchi wa Karagwe ambao kwa wakati huo hawakuwa na uwezo wa kusikiliza radio za Tanzania kutokana na jiongrafia ya eneo.

MAENEO REDIO INAKOSIKIKA
Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na ULD80 June mwaka 2012 Radio Karagwe ina zaidi ya wasikilizaji milioni 1.2.(KM 200 KUTOKA MAKAO MAKUU).Inasikika katika maeneo mbalimbali ya mkoa wa Kagera,katika wilaya za Karagwe, Kyerwa, Missenyi, Muleba na Bukoba Vijijini. Inasikika katika maeneo machache wilaya za Ngara, Biharamulo na Bukoba manispaa. Pia inasikika maeneo ya nchi jirani za Uganda, Burundi na Rwanda.

MAWASILIANO.
S.L.P 316,KARAGWE KAGERA TZ
E-mail : radiokaragwe@gmail.com
Phone: +255 754 677 708 / +255 689 471 171