Recent posts
2 December 2023, 10:58 pm
TUWAKA Saccos kukusanya zaidi TSh. mil. 507 mwaka 2024
TUWAKA SACCOS LTD (Tufaane Walimu Karagwe na Kyerwa) ni ushirika wa akiba na mikopo unaojengwa na walimu wote wa Karagwe na Kyerwa pamoja na wafanyakazi walioko chini ya Mkurugenzi wa Halmashauri Na Ospicia Didace Kyerwa Mrajisi msaidizi wa vyama vya…
25 November 2023, 8:47 pm
Mrajis wa vyama vya ushirika azindua miradi yenye thamani ya mil. 890 Karagwe
Na Eliud Henry Karagwe Mrajis na Mtendaji Mkuu Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC), Dkt. Benson Ndiege, amezindua miradi ya Shilingi 899,123,987 iliyotekelezwa kwa fedha za ruzuku ya jamii zilizotokana na mauzo ya Kahawa Maalum kwa msimu wa mwaka…
20 November 2023, 8:10 pm
Opareshen peperusha bendera ilivyofana Kata Kayanga – Karagwe
Ziara ya oparesheni peperusha bendendera imelenga kuhamasisha masuala ya utawala bora, kuhamasisha kusajiliwa kwa njia ya elektronik, kuhamasisha uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu 2025 pamoja na kutembelea miradi mbalimbali ya maendeleo. Na Ospicia Didace Viongozi wa Chama…
14 November 2023, 12:56 pm
Ulaji wa vyakula vya mafuta na wanga bila mazoezi ni chanzo cha magonjwa yasiyoa…
Magonjwa yasiyokuwa ya kuambukizwa ni magonjwa anayoweza kuyapata mtu yeyote bila kuambukiza watu wengine Na: Shabani Ngarama, Karagwe Imeelezwa kuwa chanzo kikubwa cha magonjwa yasiyoambukiza kwa wananchi wa wilaya ya Karagwe ni ulaji mbaya wa vyakula vya mafuta na wanga,…
8 November 2023, 8:10 pm
Wakulima Kagera watakiwa kupanda miti ya matunda kwa wingi
Na Jovinus Ezekiel Serikali mkoani Kagera imepongeza jitihada zinazoendelea kutekelezwa na taasisi ya KADERES inayohudumia wakulima katika wilaya mbalimbali za mkoa huo kwa kuanzisha mafunzo ya kilimo na uzalishaji wa miche ya miti rafiki kwa mazingira kwa ajili ya kuendeleza…
30 October 2023, 9:11 pm
KKKT Dayosisi ya Karagwe inashirikiana vyema na Serikali Kutoa huduma za kijamii
Zaidi ya shilingi milion 27 zimekusanywa katika harambee ya ujenzi wa kanisa la Kiinjili la Kilutheli Tanzania Dayosisi ya Karagwe, mtaa wa Nyabwegira usharika wa Nyabwegira uliopo katika Jimbo la Lukajange. Na Jovinus Ezekiel Karagwe Serikali wilayani Karagwe imepongeza jitihada…
27 October 2023, 10:04 pm
Anatropia Theonest aendelea kutatua changamoto za wananchi
Na Jovinus Ezekiel Jumla ya mifuko 40 ya saruji imetolewa na mbunge wa viti maalum mkoani Kagera Anatropia Theonest kwa lengo la kuwezesha ujenzi wa miradi ya zahanati ya Milambi na shule shikizi ya msingi Omukiyonza inayotekelezwa katika kata ya…
27 October 2023, 9:14 pm
Bashungwa: Serikali inaendelea kuboresha maslahi ya walimu
Na Jovinus Ezekiel Waziri wa ujenzi na mbunge wa jimbo la Karagwe Innocent Bashungwa amewahakikishia walimu wa wilaya ya Karagwe kuwafikishia changamoto zinazowakabili ikewemo madeni ya walimu na kikokotoo cha malipo ya msitaafu kutokuwa rafiki kwa serikali ili ziweze kupatiwa…
22 September 2023, 5:45 pm
Vyombo vya habari Kagera kuchochea miradi ya maendeleo
Mradi wa bomba la mafuta ni miongoni mwa miradi ya kimkakati inayotekelezwa na serikali unaohusisha nchi mbili kwa maana ya Tanzania na Uganda hivyo waandishi wa habari hawana budi kueleza wananchi habari sahihi na kwa wakati juu ya mwenendo wa…
20 September 2023, 6:59 pm
Jukwaa la Uwezeshaji wanawake Kiuchumi Tanzania laja na Fursa lukuki
Mwenyekiti wa Jukwaa la wanawake wilaya ya Karagwe Leah John amewataka wanawake kutumia fursa za makongamano mbalimbali ili kubadilishana maarifa na kuinuana kiuchumi bila kujali viwango vya vipato vyao. Na. Ospicia Didace Mwenyekiti wa Jukwaa la wanawake wilaya ya Karagwe…