Karagwe FM

Recent posts

27 October 2023, 10:04 pm

Anatropia Theonest aendelea kutatua changamoto za wananchi

Na Jovinus Ezekiel Jumla ya mifuko 40 ya saruji imetolewa na mbunge wa viti maalum mkoani Kagera Anatropia Theonest kwa lengo la kuwezesha ujenzi wa miradi ya zahanati ya Milambi na shule  shikizi ya msingi Omukiyonza inayotekelezwa katika kata ya…

27 October 2023, 9:14 pm

Bashungwa: Serikali inaendelea kuboresha maslahi ya walimu

Na Jovinus Ezekiel Waziri wa ujenzi na mbunge wa jimbo la Karagwe Innocent Bashungwa amewahakikishia walimu wa wilaya ya  Karagwe kuwafikishia changamoto zinazowakabili ikewemo madeni ya walimu na kikokotoo cha malipo ya  msitaafu kutokuwa rafiki kwa serikali ili ziweze kupatiwa…

22 September 2023, 5:45 pm

Vyombo vya habari Kagera kuchochea miradi ya maendeleo

Mradi wa bomba la mafuta ni miongoni mwa miradi ya kimkakati inayotekelezwa na serikali unaohusisha nchi mbili kwa  maana ya Tanzania na Uganda hivyo waandishi wa habari hawana budi kueleza wananchi habari sahihi na kwa wakati juu ya mwenendo wa…

20 September 2023, 6:59 pm

Jukwaa la Uwezeshaji wanawake Kiuchumi Tanzania laja na Fursa lukuki

Mwenyekiti wa Jukwaa la wanawake  wilaya ya Karagwe Leah John amewataka wanawake kutumia fursa za makongamano mbalimbali ili kubadilishana maarifa na kuinuana kiuchumi bila kujali viwango vya vipato vyao. Na. Ospicia Didace Mwenyekiti wa Jukwaa la wanawake  wilaya ya Karagwe…

19 September 2023, 3:44 pm

Kyerwa kuwafikia watoto 95,454 chanjo ya polio

Watoto  95,454  wenye umri kuanzia 0 hadi miaka 8 wilayani Kyerwa watapatiwa chanjo ya Polio kuanzia September  21-24 mwaka huu. Akizungumza na Redio Karagwe Fm  Sauti ya Wananchi September 19 mwaka huu, Mratibu wa Elimu ya Afya kwa Umma (DPH…

18 September 2023, 2:19 pm

Askofu atabaruku altare parokia ya Businde

Na: Eliud Henry Askofu wa Jimbo Katoliki Kayanga, Mhashamu Almachius Rweyongeza ametoa Sakramenti ya Kipaimara kwa vijana 163 wa Parokia ya Mtakatifu John Chrysostorm-Businde pamoja na kutabaruku altare ya parokia hiyo kwa kuzika masalia ya Mt.Yohane Paulo II kama ishara…

16 September 2023, 8:00 pm

Askofu Bagonza: Acheni kuamini vitu vinavyoharibika

Septemba 15, 2023 waumini wa kanisa la Kiinjili la kilutheri Tanzania Dayosisi ya Karagwe wamejumuika pamoja katika tamasha la nne la uimbaji la wanawake wa dayosisi hiyo ambapo vikundi 12 vya kwaya vilishiriki mashindano hayo na kwaya ya akina mama…

15 September 2023, 12:22 pm

Askofu Rweyongeza aongoza maelfu ya Mahujaji Karagwe

Kila tarehe 14 septemba waumini wa Kanisa katholiki jimbo la Kayanga wanakutana katika kituo cha hija Kalvario Kayungu kwa lengo la kusali njia ya msalaba ili kukumbuka mateso ya yesu aliyoyapata msalabani ili kuwakomboa wanadamu. Na Eliud Henry Askofu wa…

11 September 2023, 9:58 pm

Wazee wanolewa kuhusu matumizi bora ya fedha

Wazee wa kikundi cha wazee Bikolweengozi kata ya Bugandika wilayani Missenyi wameanzisha chama cha kuweka akiba ya fedha na kukopa kwa lengo la kujiinua kiuchumi. Na: Jovinus Ezekiel Missenyi Mwenyekiti wa kikundi cha wazee Bikolweengozi cha kata ya Bugandika wilayani…

11 September 2023, 12:11 pm

Zaidi ya watoto elfu 99 kupata chanjo ya polio Karagwe

Watoto 99,159 wilayani Karagwe watakuwa miongoni mwa watoto 3,250,598 wenye umri wa chini ya miaka minane watakaopata chanjo ya kinga ya polio katika kampeni ya chanjo kitaifa Septemba 21-24 mwaka huu. Na. Tumaini Anatory Kwa mujibu wa mratibu wa chanjo…

KARAGWE FM PROFILE

UTANGULIZI.
Radio Karagwe ni Radio ya kijamii iliyoanzishwa na shirika lisilokuwa la kiserikali lijulikanalo kama Karagwe Media Association (KAMEA).Ilianza kurusha matangazo yake Desemba 11.2007 kupitia masafa ya 91.4 MHz kwa ufadhili wa shirika la nchini Denmark (ULD80 Karagwe Venor) waliowezesha mafunzo kwa watumishi na upatikanaji wa vifaa.

DIRA.
Kuziba pengo la mawasiliano kwa wananchi wa Karagwe ambao kwa wakati huo hawakuwa na uwezo wa kusikiliza radio za Tanzania kutokana na jiongrafia ya eneo.

MAENEO REDIO INAKOSIKIKA
Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na ULD80 June mwaka 2012 Radio Karagwe ina zaidi ya wasikilizaji milioni 1.2.(KM 200 KUTOKA MAKAO MAKUU).Inasikika katika maeneo mbalimbali ya mkoa wa Kagera,katika wilaya za Karagwe, Kyerwa, Missenyi, Muleba na Bukoba Vijijini. Inasikika katika maeneo machache wilaya za Ngara, Biharamulo na Bukoba manispaa. Pia inasikika maeneo ya nchi jirani za Uganda, Burundi na Rwanda.

MAWASILIANO.
S.L.P 316,KARAGWE KAGERA TZ
E-mail : radiokaragwe@gmail.com
Phone: +255 754 677 708 / +255 689 471 171