Karagwe FM

Recent posts

22 October 2025, 21:31

Mgombea udiwani ACT Wazalendo ashusha ahadi nzito Mabale Missenyi

Baadhi ya wagombea wa nafasi mbalimbali za kisiasa mkoani Kagera wameendelea na kampeni zao kwa ajili ya kunadi sera zao katika wiki hii ya lala salama Na Theophilida Felician, Missenyi Zikiwa zimesalia siku chache wananchi kutimiza haki na wajibu wao…

13 October 2025, 11:38

ACT Wazalendo Kyaka wahimiza amani wakati wa uchaguzi mkuu

Wananchi wa kata ya Kyaka wilayani Misseyi mkoa wa Kagera wametakiwa kudumisha amani ili kulisaidia jeshi la polisi kulinda raia na mali zao hasa wakati huu taifa linapojiandaa na uchaguzi mkuu Na Theophilida Felician Kagera. Chama cha ACT WAZALENDO jimbo…

6 October 2025, 11:26

Wazazi watakiwa kuendeleza malezi kwa wahitimu kidato cha nne

Malezi kwa vijana wanaohitimu kidato cha nne ni jukumu la wazazi na walezi sambamba na jamii inayowazunguka wakizingatia kulinda mila na desturi Na Ospicia Didace, Karagwe Wazazi na walezi wilayani Karagwe wameaswa kuwatunza watoto wao hata baada ya kuhitimu ngazi…

5 October 2025, 19:36

Mgombea udiwani ACT Wazalendo aahidi zahanati Mabale-Missenyi

Kati ya changamoto zilizoko katika kata ya Mabale, Mgombea udiwani ameshtushwa na hali ya kituo kilichojengwa kwa miti na kukandikwa kwa udongo kutumika kama zahanati ya kijiji cha Kibeo wilaya ya Missenyi mkoani Kagera Na Theophilida Felician, Bukoba. Mgombea udiwani…

3 October 2025, 18:41

CHAUMMA waahidi mazingira bora soko la Kashai

Mgombea udiwani anayedai kusukumwa na uchakavu wa miundombinu ya soko la Kashai na kwamba anaweza kutatua changamoto hizo kwa kuwa naye ni mhanga. Na Theophilida Felician, Bukoba Mgombea udiwani kata ya Kashai manispaa ya Bukoba mkoani Kagera kupitia chama cha…

2 October 2025, 18:09

Wazee Missenyi waiomba serikali kuwalipia vipimo na matibabu

Imekuwa desturi kwa wazee kote nchini kulalamikia uduni wa huduma za afya kila inapofika Oktoba mosi na kuiomba serikali kuwapa unafuu wa maisha kwa kuwapatia penseheni na matibabu bila malipo. Na Respicius John, Missenyi, Kagera Wazee wilayani Missenyi mkoani Kagera…

2 October 2025, 15:15

Wazee walia na huduma duni za afya Bukoba

Wazee katika maeneo mbalimbali nchini wameitumia siku ya wazee duniani kupaza sauti zao kwa serikali wakilalamikia mambo kadha kubwa likitawala suala la huduma duni za afya Na Theophilida Felician, Bukoba. Tarehe 1 Oktoba kila mwaka ni siku ya wazee duniani…

1 October 2025, 08:10

Mgombea ubunge ACT Wazalendo aahidi viwanda kata zote Karagwe

“Mwaarobaini wa soko la kahawa jimbo la Karagwe ni kufuta vyama vya ushirika na kuongeza thamani ya zao hilo kwa kujenga viwanda kila kata”…Anasema Mhina Na Shabani Ngarama, Karagwe, Kagera Mgombe ubunge jimbo la Karagwe Bw. Rwegasira Hemed Mhina ameahidi…

26 September 2025, 11:37

CBIDO yatoa msaada wa mashine ya mionzi Missenyi

Shirika la CBIDO lenye makao makuu yake wilayani Karagwe limeendelea na mradi wake wa Pamoja unaolenga kuzuia ulemavu na kutoa huduma za utengamao kwa watu wenye ulemavu kwa kata za Kyaka na Kilimilile Wilayani Missenyi mkoani Kagera na mara hii…

19 September 2025, 15:39

Polisi Kagera kumsaka muuaji wa Shadida wa Mabale Missenyi

Kamanda wa polisi mkoani Kagera Blasius Chatanda ameedelea kuwataka wananchi kuacha kujichukulia sheria mkononi na kwamba wote wanaofanya uhalifu watakamatwa na kuchukuliwa hatua za kisheria. Amesema hayo Septemba 18. 2025 wakati akizungumzia tukio la mauaji ya hivi karibuni katika mji…

KARAGWE FM PROFILE

UTANGULIZI.
Radio Karagwe ni Radio ya kijamii iliyoanzishwa na shirika lisilokuwa la kiserikali lijulikanalo kama Karagwe Media Association (KAMEA).Ilianza kurusha matangazo yake Desemba 11.2007 kupitia masafa ya 91.4 MHz kwa ufadhili wa shirika la nchini Denmark (ULD80 Karagwe Venor) waliowezesha mafunzo kwa watumishi na upatikanaji wa vifaa.

DIRA.
Kuziba pengo la mawasiliano kwa wananchi wa Karagwe ambao kwa wakati huo hawakuwa na uwezo wa kusikiliza radio za Tanzania kutokana na jiongrafia ya eneo.

MAENEO REDIO INAKOSIKIKA
Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na ULD80 June mwaka 2012 Radio Karagwe ina zaidi ya wasikilizaji milioni 1.2.(KM 200 KUTOKA MAKAO MAKUU).Inasikika katika maeneo mbalimbali ya mkoa wa Kagera,katika wilaya za Karagwe, Kyerwa, Missenyi, Muleba na Bukoba Vijijini. Inasikika katika maeneo machache wilaya za Ngara, Biharamulo na Bukoba manispaa. Pia inasikika maeneo ya nchi jirani za Uganda, Burundi na Rwanda.

MAWASILIANO.
S.L.P 316,KARAGWE KAGERA TZ
E-mail : radiokaragwe@gmail.com
Phone: +255 754 677 708 / +255 689 471 171