Shirika la World Vission mradi wa Missenyi ADP wilayani Missenyi, limekabidhi zaidi ya shilingi million 65 za matundu 16 ya vyoo vya wanafuzi katika shule za misingi Gabulanga, Rwazi na Kilimilile.
Na mwandishi wetu Edson LameckWorld Vision – Misenyi