On air
Play internet radio

Recent posts

13 March 2024, 4:39 pm

CPCT Karagwe kupambana na ukatili wa kijinsia-Makala

Akofu wa kanisa la Calvary Assembles God Tanzania – Kagera ambaye pia ni Mwenyekiti wa Umoja wa Makanisa ya Kipentekoste Tanzania CPCT Wilaya Karagwe Askofu Danian Dominic Rwabutikula ameongoza wachungaji wa makanisa hayo na kujadili namna ya kutokomeza vitendo vya…

16 February 2024, 5:45 pm

Mabweni matatu Missenyi yapokea shilingi Milioni 517.8

Halmashauri ya wilaya ya Missenyi imeweka utaratibu wa kufuatilia hali ya utekelezaji wa miradi iliyopokea fedha za serikali kila robo ambapo kwa robo ya pili ya mwaka wa fedha 2023/2024 wameridhishwa na utekelezaji wa miradi ya elimu afya na maji…

19 December 2023, 8:32 pm

(KDU) LTD Kukusanya zaidi ya Sh. Mil 86 kwa Mwaka 2024

Karagwe Na David Geofrey Kayanga Duka la Ushirika (KDU) L.T.D inakusuduia kukusanya zaidi ya shilingi milioni 86 kutoka katika  vyanzo mbalimbali vya mapato kwa mwaka 2024 na kuendeleza miradi yao. Akiwasilisha taarifa ya utekelezaji mbele ya wajumbe wa mkutano mkuu…

10 December 2023, 10:27 pm

Askofu Dkt. Bagonza atoa ujumbe mzito kwa wachungaji wapya

Na Eliud Henry Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania Dayosisi ya Karagwe Mchungaji Dkt. Benson Kalikawe Bagonza amewataka wachungaji waliobarikiwa kutofanya maamuzi wakiwa na Hasira na kuwasisitiza kusikia kile ambacho wengine hawawezi kusikia. Amesema hayo Desemba 10 mwaka…

7 December 2023, 10:21 pm

Kamati ya siasa yaridhishwa utekelezaji Ilani ya CCM Karagwe

Na Eliud Henry Karagwe Kamati ya siasa ya Chama Cha Mapinduzi CCM wilaya Karagwe imeridhishwa na utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleleo na kuagiza kurekebisha kasoro ndogondogo ili kuhakikisha irani ya chama hicho ya mwaka 2020/2025 inatekelezwa ipasavyo. Hayo yamebainika…

2 December 2023, 10:58 pm

TUWAKA Saccos kukusanya zaidi TSh. mil. 507 mwaka 2024

TUWAKA SACCOS LTD (Tufaane Walimu Karagwe na Kyerwa) ni ushirika wa akiba na mikopo unaojengwa na walimu wote wa Karagwe na Kyerwa pamoja na wafanyakazi walioko chini ya Mkurugenzi wa Halmashauri Na Ospicia Didace Kyerwa Mrajisi msaidizi wa vyama vya…

20 November 2023, 8:10 pm

Opareshen peperusha bendera ilivyofana Kata Kayanga – Karagwe

Ziara ya oparesheni peperusha bendendera imelenga kuhamasisha masuala ya utawala bora, kuhamasisha kusajiliwa kwa njia ya elektronik, kuhamasisha uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu 2025 pamoja na kutembelea miradi mbalimbali ya maendeleo. Na Ospicia Didace Viongozi wa Chama…

8 November 2023, 8:10 pm

Wakulima Kagera watakiwa kupanda miti ya matunda kwa wingi

Na Jovinus Ezekiel Serikali mkoani Kagera imepongeza jitihada zinazoendelea kutekelezwa na taasisi ya KADERES inayohudumia wakulima katika wilaya mbalimbali za mkoa huo kwa kuanzisha mafunzo ya kilimo na uzalishaji wa miche ya miti rafiki kwa mazingira kwa ajili ya kuendeleza…

KARAGWE FM PROFILE

UTANGULIZI.
Radio Karagwe ni Radio ya kijamii iliyoanzishwa na shirika lisilokuwa la kiserikali lijulikanalo kama Karagwe Media Association (KAMEA).Ilianza kurusha matangazo yake Desemba 11.2007 kupitia masafa ya 91.4 MHz kwa ufadhili wa shirika la nchini Denmark (ULD80 Karagwe Venor) waliowezesha mafunzo kwa watumishi na upatikanaji wa vifaa.

DIRA.
Kuziba pengo la mawasiliano kwa wananchi wa Karagwe ambao kwa wakati huo hawakuwa na uwezo wa kusikiliza radio za Tanzania kutokana na jiongrafia ya eneo.

MAENEO REDIO INAKOSIKIKA
Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na ULD80 June mwaka 2012 Radio Karagwe ina zaidi ya wasikilizaji milioni 1.2.(KM 200 KUTOKA MAKAO MAKUU).Inasikika katika maeneo mbalimbali ya mkoa wa Kagera,katika wilaya za Karagwe, Kyerwa, Missenyi, Muleba na Bukoba Vijijini. Inasikika katika maeneo machache wilaya za Ngara, Biharamulo na Bukoba manispaa. Pia inasikika maeneo ya nchi jirani za Uganda, Burundi na Rwanda.

MAWASILIANO.
S.L.P 316,KARAGWE KAGERA TZ
E-mail : radiokaragwe@gmail.com
Phone: +255 754 677 708 / +255 689 471 171