
Recent posts

7 April 2025, 6:28 pm
Askofu Munguza akemea rushwa na udini wakati wa uchaguzi mkuu
Kila unapokaribia wakati wa uchaguzi huibuka hofu ya mambo mbalimbali yanayoweza kuvuruga uchaguzi ikiwemo ukabila, udini na vitendo vya rushwa Na Theophilida Felician. Askofu mkuu wa makanisa ya Restoration of Power Ministry Prof. Wilson George Munguza amewaasa viongozi wa dini…

5 April 2025, 5:53 pm
DED Missenyi apiga stop wenyeviti wa vijiji na vitongoji kutumia mihuri
Kumekepo malalamiko ya muda mrefu ya wananchi kutozwa fedha na wenyeviti wa vijiji na vitongoji ili wawasainie nyaraka na kuwagongea mhuri wa serikali kote nchini Na Respicius John, Missenyi Kagera Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Missenyi mkoa wa…

4 April 2025, 8:21 pm
I.P.I yajizatiti kulinda amani kwenye uchaguzi
Wakati joto la uchaguzi mkuu likiendelea kupanda nchini wananchi wametakiwa kuungana pamoja kudumisha na kulinda amani wakati wa uchaguzi huo Na Theophilida Felician. Taasisi ya umoja wa amani kwanza nchini I.P.I imeeleza kuwa katika kuelekea kipindi cha uchaguzi mkuu wa…

31 March 2025, 9:17 pm
DC Maiga afanikisha milioni 28 za ujenzi wa kanisa la TAG Bunazi
Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG) Bunazi Bonde la Baraka wilayani Missenyi limeendesha harambee kwa lengo la kukusanya shilingi milioni 100 za awali kwa ajili ya ujenzi wa kanisa linalotarajiwa kugharimu zaidi ya shilingi milioni 900 Na Respicius John,…

8 March 2025, 6:02 pm
Watumia gesi Kagera washauriwa kupima uzito wa mitungi kabla ya kununua
Kutokana na ongezeko la malalamiko ya wananchi wanaotumia nishati ya gesi mkoani Kagera kuishiwa gesi ndani ya muda mfupi watumiaji wote wa gesi wameaswa kuwa makini na mitungi wanayonunua kwa kuhakiki uzito kabla ya kufanya manunuzi Theophilida Felician. Watumiaji wa…

1 March 2025, 9:42 am
Kyerwa yajivunia ongezeko la sekondari za kidato cha tano na sita
Ofisi za uthibiti ubora wa elimu katika halmashauri za wilaya mkoani Kagera zimeendelea na ufuatiliaji wa miradi ya elimu na kuishukuru serikali kwa jinsi inavyoendelea kusajili na kusimamia shule za msingi na sekondari Na Ezra Lugakila Afisa uthibiti ubora wa…

24 February 2025, 7:04 pm
Buhaya Tegeka watoa shilingi milioni 1.5 kwa watoto Missenyi
Kikundi cha mtandao wa WhatsApp kijulikanacho kama Buhaya Tegeka wilayani Missenyi mkoani Kagera kimetoa mfano wa kunufaisha jamii kuliko kujinufaisha chenyewe kwa kuchangia vitu kadhaa vya mahitaji ya watoto Na, Respicius John, Missenyi-Kagera Kikundi cha mtandao wa Whatsapp cha Buhaya…

18 February 2025, 8:06 pm
Vibanda 10 vya wafanyabiashara vyateketea kwa moto Bunazi Missenyi
Wafanyabiashara na wajasiriamali nchini wameendelea kukumbwa na hasara za mara kwa mara kutokana na moto unaoripuka katika maeneo yao ya kazi kutokana na uhaba wa miundombinu rafiki ya uzimaji moto pindi unapotokea Na Respicius John Wafanyabiashara katika mji mdogo wa…

17 February 2025, 7:44 am
Wazazi wa watoto ambao hawajaripoti shule kusakwa Karagwe
Na: Jovinus Ezekiel Uongozi wa kata ya Kihanga wilayani Karagwe mkoani Kagera umeazimia kuanza kutekeleza mpango wa kuwasaka wazazi na walezi ambao watoto wao hawajaripoti shuleni tangu shule zifunguliwe katika kipindi cha mwezi Januari mwaka huu. Akizungumza katika mkutano wa…

9 February 2025, 6:09 pm
CHADEMA Bukoba mjini walionya jeshi la polisi kuelekea uchaguzi mkuu 2025
Chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA jimbo la Bukoba mjini kimeendelea kulalamikia mwenendo wa siasa hapa nchini na mara hii wakilionya jeshi la polisi kutofanya upendeleo kwenye uchaguzi mkuu ujao Na Theophilida Felician, Bukoba Chama cha Demokrasia na maendeleo Chadema…