4 April 2025, 8:21 pm

I.P.I yajizatiti kulinda amani kwenye uchaguzi

Wakati joto la uchaguzi mkuu likiendelea kupanda nchini wananchi wametakiwa kuungana pamoja kudumisha na kulinda amani wakati wa uchaguzi huo Na Theophilida Felician. Taasisi ya umoja wa amani kwanza nchini I.P.I imeeleza kuwa katika kuelekea kipindi cha uchaguzi mkuu wa…

On air
Play internet radio

Recent posts

7 April 2025, 6:28 pm

Askofu Munguza akemea rushwa na udini wakati wa uchaguzi mkuu

Kila unapokaribia wakati wa uchaguzi huibuka hofu ya mambo mbalimbali yanayoweza kuvuruga uchaguzi ikiwemo ukabila, udini na vitendo vya rushwa Na Theophilida Felician. Askofu mkuu wa makanisa ya Restoration of Power Ministry Prof. Wilson George Munguza amewaasa viongozi wa dini…

5 April 2025, 5:53 pm

DED Missenyi apiga stop wenyeviti wa vijiji na vitongoji kutumia mihuri

Kumekepo malalamiko ya muda mrefu ya wananchi kutozwa fedha na wenyeviti wa vijiji na vitongoji ili wawasainie nyaraka na kuwagongea mhuri wa serikali kote nchini Na Respicius John, Missenyi Kagera Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Missenyi mkoa wa…

4 April 2025, 8:21 pm

I.P.I yajizatiti kulinda amani kwenye uchaguzi

Wakati joto la uchaguzi mkuu likiendelea kupanda nchini wananchi wametakiwa kuungana pamoja kudumisha na kulinda amani wakati wa uchaguzi huo Na Theophilida Felician. Taasisi ya umoja wa amani kwanza nchini I.P.I imeeleza kuwa katika kuelekea kipindi cha uchaguzi mkuu wa…

31 March 2025, 9:17 pm

DC Maiga afanikisha milioni 28 za ujenzi wa kanisa la TAG Bunazi

Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG) Bunazi Bonde la Baraka wilayani Missenyi limeendesha harambee kwa lengo la kukusanya shilingi milioni 100 za awali kwa ajili ya ujenzi wa kanisa linalotarajiwa kugharimu zaidi ya shilingi milioni 900 Na Respicius John,…

8 March 2025, 6:02 pm

Watumia gesi Kagera washauriwa kupima uzito wa mitungi kabla ya kununua

Kutokana na ongezeko la malalamiko ya wananchi wanaotumia nishati ya gesi mkoani Kagera kuishiwa gesi ndani ya muda mfupi watumiaji wote wa gesi wameaswa kuwa makini na mitungi wanayonunua kwa kuhakiki uzito kabla ya kufanya manunuzi Theophilida Felician. Watumiaji wa…

1 March 2025, 9:42 am

Kyerwa yajivunia ongezeko la sekondari za kidato cha tano na sita

Ofisi za uthibiti ubora wa elimu katika halmashauri za wilaya mkoani Kagera zimeendelea na ufuatiliaji wa miradi ya elimu na kuishukuru serikali kwa jinsi inavyoendelea kusajili na kusimamia shule za msingi na sekondari Na Ezra Lugakila Afisa uthibiti ubora wa…

24 February 2025, 7:04 pm

Buhaya Tegeka watoa shilingi milioni 1.5 kwa watoto Missenyi

Kikundi cha mtandao wa WhatsApp kijulikanacho kama Buhaya Tegeka wilayani Missenyi mkoani Kagera kimetoa mfano wa kunufaisha jamii kuliko kujinufaisha chenyewe kwa kuchangia vitu kadhaa vya mahitaji ya watoto Na, Respicius John, Missenyi-Kagera Kikundi cha mtandao wa Whatsapp cha Buhaya…

18 February 2025, 8:06 pm

Vibanda 10 vya wafanyabiashara vyateketea kwa moto Bunazi Missenyi

Wafanyabiashara na wajasiriamali nchini wameendelea kukumbwa na hasara za mara kwa mara kutokana na moto unaoripuka katika maeneo yao ya kazi kutokana na uhaba wa miundombinu rafiki ya uzimaji moto pindi unapotokea Na Respicius John Wafanyabiashara katika mji mdogo wa…

17 February 2025, 7:44 am

Wazazi wa watoto ambao hawajaripoti shule kusakwa Karagwe

Na: Jovinus Ezekiel Uongozi wa kata ya Kihanga wilayani Karagwe mkoani Kagera umeazimia kuanza kutekeleza mpango wa kuwasaka wazazi na walezi ambao watoto wao hawajaripoti shuleni tangu shule zifunguliwe katika kipindi cha mwezi Januari mwaka huu. Akizungumza katika mkutano wa…

9 February 2025, 6:09 pm

CHADEMA Bukoba mjini walionya jeshi la polisi kuelekea uchaguzi mkuu 2025

Chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA jimbo la Bukoba mjini kimeendelea kulalamikia mwenendo wa siasa hapa nchini na mara hii wakilionya jeshi la polisi kutofanya upendeleo kwenye uchaguzi mkuu ujao Na Theophilida Felician, Bukoba Chama cha Demokrasia na maendeleo Chadema…

KARAGWE FM PROFILE

UTANGULIZI.
Radio Karagwe ni Radio ya kijamii iliyoanzishwa na shirika lisilokuwa la kiserikali lijulikanalo kama Karagwe Media Association (KAMEA).Ilianza kurusha matangazo yake Desemba 11.2007 kupitia masafa ya 91.4 MHz kwa ufadhili wa shirika la nchini Denmark (ULD80 Karagwe Venor) waliowezesha mafunzo kwa watumishi na upatikanaji wa vifaa.

DIRA.
Kuziba pengo la mawasiliano kwa wananchi wa Karagwe ambao kwa wakati huo hawakuwa na uwezo wa kusikiliza radio za Tanzania kutokana na jiongrafia ya eneo.

MAENEO REDIO INAKOSIKIKA
Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na ULD80 June mwaka 2012 Radio Karagwe ina zaidi ya wasikilizaji milioni 1.2.(KM 200 KUTOKA MAKAO MAKUU).Inasikika katika maeneo mbalimbali ya mkoa wa Kagera,katika wilaya za Karagwe, Kyerwa, Missenyi, Muleba na Bukoba Vijijini. Inasikika katika maeneo machache wilaya za Ngara, Biharamulo na Bukoba manispaa. Pia inasikika maeneo ya nchi jirani za Uganda, Burundi na Rwanda.

MAWASILIANO.
S.L.P 316,KARAGWE KAGERA TZ
E-mail : radiokaragwe@gmail.com
Phone: +255 754 677 708 / +255 689 471 171