Recent posts
1 May 2024, 8:40 pm
Bei ya nguruwe yasababisha kifo
Nchi sita kati ya kumi zenye idadi kubwa kabisa ya watu kujiua duniani ziko Afrika, na kiwango cha kujiua katika bara hilo ni zaidi ya moja ya tano ikilinganishwa na maeneo mengine, WHO imesema wiki hii. Na Devid Geofrey: Mtu…
29 April 2024, 9:39 pm
Dr.Samia aombwa kusimama na watoto wa kike
Haikuwa rahisi kwa vijana wa kike kupenya na kufaulu vizuri katika taaluma kama walivyo vijana wa kiume hapa nchini Tanzania na watu wengi waliamini hivyo huko nyuma. Jambo hili pia lilisababisha wanafunzi wa kike kusita kuchagua kusoma masomo ya sayansi.…
25 April 2024, 10:25 pm
Wanawake walia na mzigo wa kuhudumia familia bila malipo
Baadhi ya wanawake wanaohudumia familia zao bila malipo wakiwa katika kongamano. Picha kwa msaada wa mtandao Serikali ya Tanzania yakumbushwa kusimamia utekelezaji wa Sera ya Maendeleo ya wanawake na Jinsia ya mwaka 2000 ili kuwapunguzia wanawake mzigo wa kazi za…
25 April 2024, 10:13 pm
Wakulima wa Kahawa Kyerwa wakombolewa na Juhudi AMCOS
JUHUDI AMCOS Ushirika wa Kilimo na Masoko umewapatia wakulima bei nzuri ya kihistoria.Wakulima sasa wanafaidika na zao la Kahawa wilayani Kyerwa Mkoani Kagera. Na.Edisoni Tumaini Galeba Ushirika wa JUHUDU ulioanzishwa rasmi mwaka 2012 na kuruhusiwa na Serikali kusimama wenyewe mwaka…
25 April 2024, 12:58 pm
SAWAKA, HelpAge Ujerumani kuboresha lishe Karagwe
Kundi la wazee ni miongoni mwa makundi yaliyopo katika hatari ya kushambuliwa na magonjwa kutokana na kiwango cha kinga yao ya mwili kuwa chini. Shirika la Saidia Wazee Kagera (SAWAKA) kwa kushirikiana na HelpAge Ujerumani wameamua kuja na mpango wa…
23 April 2024, 9:23 pm
Askofu Bagonza ataja kundi la wabakaji Karagwe
Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Karagwe Mch.Dk Benson Bagonza. Picha na Eliud Henry Kumekuwa na wimbi kubwa la vitendo vya ubakaji wa watoto wilayani Karagwe mkoani Kagera ambapo ndani ya kipindi kifupi kwa mujibu…
23 April 2024, 1:53 pm
Maadhimisho miaka 60 ya Muungano yaanza Missenyi
Mkuu wa wilaya ya Missenyi kanali mstaafu Hamisi Mayamba Maiga (aliyevaa suti meza kuu) Picha na Respicius John Shamrashamra za kuadhimisha miaka 60 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar zimeanza rasmi kote nchini kwa namna tofauti ambapo baadhi ya maeneo…
22 April 2024, 5:00 pm
Madiwani Missenyi walalamikia kasi ndogo ujenzi wa VETA
Baadhi ya madiwani (kamati ya fedha, uchumi na mipango) halmashauri ya Missenyi wakiwa na mkurugenzi wa halmashauri hiyo John Paul Wanga (mwenye notebook na karatasi kulia). Picha na Respicius John Baraza la madiwani wa halmashauri ya wilaya ya Missenyi mkoani…
22 April 2024, 8:43 am
Wananchi wapewa mbinu za kukomesha uhalifu
Jamii bila uhalifu inawezekana ikiwa ushirikiano na utoaji wa taarifa kwa wakati kwa jeshi la polisi vitapewa kipaumbele. Na Eliud Henry: Wananchi wilayani Karagwe wametakiwa kuacha tabia ya kujichukulia sheria mkononi na kuripoti vitendo vya kihalifu ili kudumisha amani katika…
21 April 2024, 5:21 pm
CCM Kagera: Rweikiza ametekeleza ilani kwa kishindo
Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Kagera Nazir Karamagi. Picha na Abdullatif Yunus Chama chochote cha siasa huandaa ilani kama dira ya kutekeleza vipaumbele vya mahitaji ya wapiga kura pindi kinaposhika dola baada ya uchaguzi mkuu wa viongozi.Chama cha mapinduzi CCM…