Recent posts
6 July 2023, 8:51 pm
Wananchi Karagwe wamshukuru Rais Dkt. Samia kwa miradi ya maendeleo
Baadhi ya wananchi wa wilaya ya Karagwe mkoani Kagera wameishukuru serikali kwa kutekeleza miradi ya maendeleo katika maeneo yao. Na Ospicia Ddace Wananchi wa wilaya Karagwe wameishukuru na kuipongeza serikali ya Mheshimiwa Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa miradi mikubwa…
4 July 2023, 2:27 pm
BAKWATA Karagwe waitaka serikali kushughulikia suala la wanafunzi kukosa ibada s…
4 July 2023, 1:04 pm
28 wapigwa msasa kwa ajili ya Uokoaji
Jumla ya Askari 28 wa Jeshi la zimamoto na Uokoaji kutoka mikoa mbalimbali Nchini Tanzania wameshiriki mafunzo ya pamoja ili kujiongezea ujuzi utakaowasaidia wakati wa uokoaji yanapotokea majanga. Akifungua mafunzo hayo Nov 21 mwaka huu,Kamishina msaidizi mwandamizi Zabrune Levson Muhumha,Kamanda…
4 July 2023, 11:38 am
Jela miaka 30 kwa ubakaji wa mtoto
Mahakama ya wilaya ya Missenyi mkoani Kagera, imemhukumu kifungo cha miaka 30 jela Mahmoud Idi (54) mkulima mkazi wa kijiji cha Kigarama kata ya Kanyigo wilayani humo kwa kuthibitika pasipo na shaka kuwa alimbaka mtoto wa miaka minane kijijini hapo…
4 July 2023, 11:18 am
Karagwe: DC aridhishwa utekelezaji wa miradi ya elimu
Mkuu wa wilaya ya Karagwe Julius Laiser akiwa katika shule ya msingi Kambarage iliyopata fedha za mradi wa boost: Picha na Eliud Henry Mkuu wa wilaya ya Karagwe Julius Laiser amekagua na kuridhishwa na ujenzi wa vyumba vya madarasa chini…
3 July 2023, 12:44 pm
Karagwe: Wanaodaiwa kununua ardhi kinyemela watakiwa kuwasilisha nyaraka kwa DC
Serikali wilayani Karagwe imetoa siku saba kwa wananchi walionunua ardhi ya kijiji cha Kahanga kata ya Nyakasimbi wilayani humo kinyume cha sheria kuwasilisha vielelezo vitakavyowezesha kubaini wahusika waliowauzia ardhi hiyo. Na Eliud Henry Wakizungumuza katika mkutano wa hadhara ulioitishwa na…
10 June 2023, 10:53 am
Livingstone Byekwaso:Tokomezeni kwa vitendo unyanyapaa kwa wahanga wa marburg
Katibu mkuu wa shirika la Karagwe Media Association (KAMEA) linalomiliki Radio Karagwe mkoani Kagera Bw. Livingstone Byekwaso amewaasa wandishi wa habari mkoani hapa na wasanii wa fani mbalimbali kutekeleza kwa vitendo mipango yao ya kupambana na vitendo vya unyanyapaa na…
2 June 2023, 10:32 pm
Katibu CCM Karagwe: Leeni watoto kimaadili
Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilaya Karagwe Bw. Anathory Nshange amewataka wazazi na walezi kulea watoto wao katika maadili ya kitanzania na kiimani Bw. Nshange ameyasema hayo wakati akiongea kwenye mahafali ya tano ya chuo cha Karaduce wilayani Karagwe…
2 June 2023, 10:17 pm
Homa ya marburg Kagera yatokomezwa
Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ameutangazia ulimwengu kuwa Kagera na Tanzania ni salama dhidi ya ugonjwa wa marburg na kwamba hakuna tena ugonjwa huo. Pamoja na hayo waziri Ummy pia amewashukuru watumishi wa wizara ya afya pamoja na mashirika ya…
4 December 2022, 3:03 pm
Uwepo wa Paka Dhahabu katika hifadhi asilia ya msitu wa Minziro, Tanzania
Msitu wa Minziro ni msitu mnene wenye bionuai ya kepee unaopatikana Tanzania. Msitu huu unaomilikiwa na Wakala wa Misitu Tanzania (TFS) upo katika Wilaya ya Missenyi Mkoani Kagera. Makao makuu ya Ofisi ya Hifadhi ya Asilia ya Minziro yapo Bunazi.…