Karagwe FM

Recent posts

28 September 2022, 6:53 pm

Fursa kibao za ajira zatangazwa kwaajili ya Wananchi

Wananchi wilayani Karagwe wamehimizwa kujiandaa ili waweze kunufaika kiuchumi kupitia Ujio wa mbio za Mwenge wa Uhuru utakao kesha katika uwanja wa changarawe Kayanga October 08 mwaka huu. Ni wito uliotolewa na mkuu wa wilaya Karagwe Mwalimu Julieth Binyura Sept…

2 August 2022, 3:08 pm

Makarani na Wasimamizi 409 wa Sensa Wapigwa msasa

Jumla ya watu 409 waliopita kwenye usaili wa kusimamia zoezi la sensa ambao ni makarani,wasimamizi wa maudhui na TEHAMA wameanza kupigwa msasa kwa kupewa mafunzo juu ya ukusanyaji sahihi wa takwimu za watu na makazi wakati wa sensa itakayofanyika tarehe…

11 March 2022, 8:55 am

Wakuu wa Idara wakalia kuti kavu.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Innocent Bashungwa amemuagiza Katibu Tawala wa Mkoa wa Morogoro kuwachukulia hatua  za kiutumishi wakuu wa Idara wote wa Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero waliohusika na ukiukwaji wa…

29 January 2022, 10:01 pm

Halmashauri ya Missenyi yatoa mkopo shilingi Milioni 294.8

Halmashauri ya Wilaya Missenyi imetoa mikopo isiyo na riba yenye thamani ya shilingi milioni 294.8 kwa vijana,wanawake na watu wenye ulemavu Katika tukio lakukabidhi mikopo hiyo kwa vikundi 50 vya wajasiriamali, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya Missenyi Projestus Tegamaisho amesema…

27 January 2022, 9:33 pm

WASTAAFU MILANGO YA KUSHIRIKIANA NA HALMASHAURI IPO WAZI~DED MULEBA

Na Lucia Binamungu, Muleba Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba, Ndugu Elias Kayandabila amekutana na kufanya mazungumzo na Mstaafu Ndugu Angelo Paul Rutainurwa tarehe 27.01.2022, mkazi wa Kata ya Nshamba ambaye kwa sasa anajishugulisha na masuala ya ushauri…

24 January 2022, 9:46 pm

Madiwani Missenyi waridhia kujenga uwanja wa michezo

Baraza la Madiwani Missenyi limeridhia Ujenzi wa Uwanja wa Michezo na suala hili kuweka katika mpango mkakati wa Maendeleo wa miaka mitano. Katika kikao Maalum cha Baraza la Madiwani kilichoketi Jumatatu Januari 24, 2022 kwa ajili ya kupitisha mpango Mkakati…

16 December 2021, 3:22 pm

CWT Kagera, jiungeni na Benki ya Walimu

Katibu wa chama cha Walimu Tanzania CWT Mkoa Kagera Tinda Paulini amewaasa viongozi wa chama hicho wilayani Missenyi mkoani Kagera kuwekeza katika Benki ya Walimu ili kuondokana na mikopo kandamizi inayotolewa na baadhi ya taasisi za kifedha Akifunga mafunzo kwa…

3 December 2021, 9:58 pm

Neema kuwashukia wana KCU 1990 L.T.D

Wajumbe wa bodi ya Chama Kikuu Cha Ushirika Kagera KCU 1990 LTD wamefanya mazungumzo na Mrajis wa Vyama vya Ushirika Tanzania Dr Benson Ndiege juu ya masoko ya zao la kahawa pamoja na mikakati uboreshaji wa shughuli za Ushirika zinazotekelezwa…

23 November 2021, 6:32 pm

Jeshi la Akiba laomba kupewa kipaumbele.

Wahitimu wa Mafunzo ya awali ya Jeshi la akiba Wilaya Missenyi Mkoani Kagera wameiomba serikali kuwatafutia ajira kwa kuwapa kipaumbele katika nafasi za kazi ya Ulinzi zinazotangazwa serikalini na katika taasisi binafsi Katika Risala ya wahitimu iliyosomwa na MG Renatus…

15 November 2021, 11:30 am

Miradi ya Maendeleo yatengewa Bilioni 3.3

Zaidi ya shilingi bilioni tatu zimetolewa kwaajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo wilayani Karagwe kama pesa iliyotolewa na Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kwaajili ya mapambano dhidi ya Uviko-19. Akizungumza na Redio Karagwe Fm sauti ya…

KARAGWE FM PROFILE

UTANGULIZI.
Radio Karagwe ni Radio ya kijamii iliyoanzishwa na shirika lisilokuwa la kiserikali lijulikanalo kama Karagwe Media Association (KAMEA).Ilianza kurusha matangazo yake Desemba 11.2007 kupitia masafa ya 91.4 MHz kwa ufadhili wa shirika la nchini Denmark (ULD80 Karagwe Venor) waliowezesha mafunzo kwa watumishi na upatikanaji wa vifaa.

DIRA.
Kuziba pengo la mawasiliano kwa wananchi wa Karagwe ambao kwa wakati huo hawakuwa na uwezo wa kusikiliza radio za Tanzania kutokana na jiongrafia ya eneo.

MAENEO REDIO INAKOSIKIKA
Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na ULD80 June mwaka 2012 Radio Karagwe ina zaidi ya wasikilizaji milioni 1.2.(KM 200 KUTOKA MAKAO MAKUU).Inasikika katika maeneo mbalimbali ya mkoa wa Kagera,katika wilaya za Karagwe, Kyerwa, Missenyi, Muleba na Bukoba Vijijini. Inasikika katika maeneo machache wilaya za Ngara, Biharamulo na Bukoba manispaa. Pia inasikika maeneo ya nchi jirani za Uganda, Burundi na Rwanda.

MAWASILIANO.
S.L.P 316,KARAGWE KAGERA TZ
E-mail : radiokaragwe@gmail.com
Phone: +255 754 677 708 / +255 689 471 171