Siasa
5 February 2024, 4:14 pm
DC Mpanda: Waliofyekewa mahindi walipwe
“Chama Cha Mapinduzi hakipo tayari kuona baadhi ya wananchi wakidhurumiwa haki zao.Picha na Deud Daud Na Festo Kinyogoto Mjumbe wa halamashauri kuu ya CCM taifa, katibu wa itikadi na Uenezi Chama cha Mapinduzi PAUL MAKONDA Amemuagiza mkuu wa wilaya ya…
5 February 2024, 3:49 pm
Makonda: Watendaji wazembe serikalini wanakiangusha chama
“Chama cha mapinduzi hakipo tayari kuona Wananchi wakiendelea kuteseka na kero zinzowakabili huku watendaji wa serikali wakitumia mianya hiyo kujinufaisha wenyewe bila kujali wananchi.Picha na Deus Daud Na Festo Kinyogoto Mjumbe wa halamashauri kuu ya CCM taifa, katibu itikadi uenezi…
5 February 2024, 12:23 pm
Ccm yawaonya wasiofata taratibu
Chama cha mapinduzi mkoa wa Kilimanjaro kimewataka baadhi ya wanachama ambao wamekuwa wakikiuka taratibu za chama kwa kuomba kura kwa wananchi kabla ya uchaguzi kuacha mara moja. Na Elizabeth Mafie Chama cha Mapinduzi (CCM ) mkoa wa Kilimanjaro kimetoa onyo…
30 January 2024, 5:51 pm
Zaidi ya kiasi cha shilingi Billion 60, 672,404,687.00 kimependekezwa kwa mwaka…
Halmashauri imejizatiti kukusanya zaidi ya kiasi cha shilingi bilioni 60.672 ili kuendelea kukamilisha miradi yote ya kipaombele na kuwaondolea changamoto wakazi wa Rungwe Kikao maalumu cha Baraza la Madiwani kimeketi leo tarehe 30.01.2024 lengo kuu likiwa ni kupitia na kupitisha…
29 January 2024, 3:06 pm
Kamati ya Siasa CCM Bunda Stoo yaipongeza serikali miradi ya elimu na afya
Mwenyekiti wa ccm kata ya bunda stoo Charlse Mwita Chacha ameiomba serikali kupitia wataalamu wake kuchukua hatua madhubuti kukamilisha miradi Bunda stoo. Na Adelinus Banenwa Mwenyekiti wa ccm kata ya bunda stoo Charlse Mwita Chacha ameiomba serikali kupitia wataalamu wake…
24 January 2024, 9:55 am
Makonda kuhutubia Manyara
wananchi Manyara wajiandaa kumpokea Makonda Na Mzidalfa Zaid Katibu wa siasa uenezi na mafunzo Ccm Taifa Paul Makonda leo anatarajia kufanya ziara ya kikazi Mkoani Manyara ambapo atapokelewa na viongozi mbali pamoja na wananchi wa maeneo tofauti ya mkoa wa…
16 January 2024, 12:16 pm
Watendaji watakiwa kukaa ofisini Nyasura
Wito umetolewa kwa watendaji wa serikali za mitaa kata ya Nyasura kukaa ofisini ili kutimiza adhma ya kuwahudumia wananchi. Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa watendaji wa serikali za mitaa kata ya Nyasura kukaa ofisini ili kutimiza adhma ya kuwahudumia…
16 January 2024, 11:59 am
Diwani Nyasura awapa nyenzo za kazi mabalozi Nyasura
Diwani wa kata ya Nyasura na mwenyekiti wa kamati ya maendeleo ya kata Mhe Magigi Samweli Kiboko ametoa madaftari 33 na kalamu kwa mabalozi wote wa CCM katika kata hiyo ikiwa ni sehemu ya kuwawezesha viongozi hao kufanya kazi yao…
11 January 2024, 10:34 am
MAKONDA KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI MANYARA
Wananchi mkoani manyara watakiwa kujitokeza kumlaki makonda na kuelezea changamoto zao Na Mzidalfa zaid Katibu wa siasa itikadi uenezi na mafunzo taifa Paul Makonda anatarajia kufanya ziara ya kikazi Mkoani Manyara akitokea Mkoani Arusha, ambapo wananchi Mkoani Manyara wametakiwa kujitokeza…
8 January 2024, 16:02
Swebe: Nipo tayari, CHADEMA nitume popote nitakwenda
Baada ya kushinda kwa kishindo katika uchaguzi wa ndani wa chama cha demokrasia na amaendeleo wilaya ya Kyela mwenyekiti mpya wa chama hicho Victoria Swebe amesema yuko tayari kukipigania chama hicho ili kitwae jimbo katika uchaguzi ujao. Na James Mwakyembe…