Radio Tadio

Siasa

28 September 2023, 12:49 am

Wanahabari wapewa siri ya kuwawezesha kuhoji

Kupitia matokeo ya Sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022 mwanahabari unaweza kuhoji ili kuisaidia jamii Na Edward Lucas Kamisaa wa Sensa ya watu na makazi, Spika msaafu Mhe.Anna Makinda amewaasa waandishi wa habari kuhakikisha kuwa wanasoma taarifa ya…

26 September 2023, 12:15

Kada CHADEMA alia na serikali ugumu wa maisha

CHADEMA kata ya Kandete Busokelo kinafanya mkutano huo ikiwa ni maandalizi ya kumpokea Mwenyekiti wa Taifa Freeman Mbowe na safu yake wanaotarajiwa kuwa na mikutano katika wilaya ya Rungwe. Na Josea Sinkala Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kata ya…

September 25, 2023, 8:41 am

CCM Makete yafanya uchaguzi wa vijana chipukizi

katika kuwaandaa vijana wazalendo na viongozi wa baadaye chama cha Mapinduzi CCM Makete kimefanya uchaguzi wa viongozi wa vijana hao huku nafasi ya mweneyekiti ikichukuliwa na Michael Kened Chaula . na :Rose Njilile Jumuiya ya Vijana Makete mkoani Njombe kupitia…

14 September 2023, 09:50

Ziara ya Mbunge Mufindi Kaskazini Kata ya Kibengu

Mbunge wa Mufindi Kaskazini Mh. Exaud Kigahe (wa kwanza kushoto pichani) akiwa ziarani katika kata ya Kibengu wilayani Mufindi Jana. Picha na Kelvin Mickdady Na Kelvin Mickdady-Mufindi Mbunge wa Jimbo la Mufindi Kaskazini ambaye pia ni Naibu waziri wa Viwanda…

13 September 2023, 1:23 pm

Wananchi waomba serikali iendelee kuwapatia elimu ya katiba

Wanasheria wanayo nafasi kubwa ya kuendelea kutoa elimu kwa wananchi juu ya katiba ya nchi ili kuwaongezea uelewa wananchi waweze kutambua haki na wajibu wao. Na Khadija Ayoub. Wananchi Jijini Dodoma wameiomba Serikali kuendelea kutoa elimu juu ya katiba ya…

11 September 2023, 12:00 pm

CHADEMA: Wananchi washughulikie viongozi wazembe

Kuelekea uchaguzi mdogo wa serikali za mitaa 2024 vyama vya upinzani wameeleza mbinu watakazozitumia kuking’oa chama tawala madarakani. Na Cleef Mlelwa- Makambako Wananchi wa halmashauri ya mji wa Makambako wametakiwa kuwaondoa madarakani viongozi wote wa kisiasa ambao wameshindwa kutatua changamoto…