Recent posts
19 August 2021, 13:21
Serikali yaombwa kutoa elimu dhidi ya vitendo vya ukatili wa jinsia kwa jamii
Na; Benard Filbert. Baadhi ya wakazi Jijini Dodoma wameiomba Serikali kuhakikisha wanatoa elimu katika jamii kuhusu vitendo vya ukatili wa kijinsia na ubakaji ili kusaidia kukomesha tatizo hilo. Wamesema hayo wakati wakizungumza na taswira ya habari wakati wakielezea nini kifanyike…
19 August 2021, 13:06
Wakazi wa Dodoma watakiwa kuzingatia elimu ya kisiki hai.
Na;Yussuph Hans. Wakulima na wafugaji Mkoani Dodoma wameshauriwa kuzingatia elimu ya kisiki hai itakayowasaidia kuwa na kilimo bora pamoja na malisho ya kutosha kwa wanyama. Ushauri huo umetolewa na Mratibu wa Mradi wa kisiki hai Wilaya ya mpwapwa Olipa chipwaza…
19 August 2021, 12:52
Wakazi wa Chitabuli watakiwa kujiandaa kupokea mradi wa ujenzi wa daraja na bara…
Na; Selemani Kodima. Wakazi wa kijiji cha Chitabuli Kata ya Membe Wilayani Chamwino wametakiwa kujiandaa kupokea mradi wa ujenzi wa daraja pamoja na barabara inayounganisha Kijiji hicho na Kijiji cha Membe. Akizungumza na Taswira ya Habari Diwani wa Kata ya…
18 August 2021, 14:02
Wakazi wa Msanga walalamikia uchakavu wa barabara unao sababishwa na magari maku…
Na; Victor Chigwada. Wananchi wa Kata ya Msanga Wilayani Chamwino Mkoani Dodoma wamelalamikia uchakavua wa barabara unao sababishwa na magari makubwa yanayobeba madini ya mchanga katika kijiji cha msanga. Baadhi ya wananchi hao wakizungumza na taswira ya habari wamesema licha…
18 August 2021, 13:46
Kukamilika kwa daraja la kiselu kutasaidi kukuza uchumi wa Sunya, Gairo na Kongw…
Na; Selemani Kodima. Kukamilika kwa ujenzi wa daraja la kiselu wilayani kiteto kunatajwa kusaidia kuchochea uchumi wa wakazi wa kata ya Sunya pamoja na wafanyabiashara wa maeneo ya Gairo na Kongwa. Akizungumza na Dodoma FM Diwani wa kata ya Sunya…
18 August 2021, 13:19
Tume ya haki za binadamu kushirikiana na LHCR
Na; Alfred Bulahya. Tume ya haki za Binadamu na Utawala Bora imesaini mkataba wa makubaliano mengine ya kushirikiana kufanya kazi na kituo Cha sheria na haki za Binadamu LHCR Kwa ajili ya kulinda, kutetea na kustawisha haki za makundi maalumu…
18 August 2021, 13:04
Wadau waomba waandishi wa habari kuongeza weledi katika masuala ya jinsia
Na; Mariam Matundu. Wadau wa masuala ya jinsia wameomba waandishi wa habari Nchini kuongeza weledi katika masuala ya jinsia ili kuondoa mitazamo hasi hasa kwa viongozi wanawake pale wanapofanya nao mahojiano . Wakizungumza na taswira ya habari wadau hao wamesema…
17 August 2021, 12:29
Immelezwa kuwa wanawake wengi nchini hawazingatii unyonyeshaji wa watoto ipasavy…
Na;Mindi Joseph . Imeelezwa kuwa ni asilimia 58% ya wamama nchini ndio wananyonyesha watoto wao kikamilifu huku Watoto wengi wakikosa maziwa ya mama ipasavyo. Akizungumza na Taswira ya habari Ruth Mkopi Afisa tafiti mwandamizi Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania…
17 August 2021, 12:11
Wakazi wa Mkoka waiomba serikali iwaboreshee upatikanaji wa huduma ya Afya
Na; Victor Chigwada. Wananchi wa Kata ya Mkoka Wilaya ya Kongwa wameiomba Serikali kuwasaidia kukamilisha upatikanaji wa huduma za afya katika kituo cha afya ili kupunguza adha kwa wananchi Baadhi ya wananchi hao wakizungumza na taswira ya habari wamesema kuwa…
17 August 2021, 11:33
Jamii yaaswa kuacha tabia ya kujichukulia sheria mkononi
Na; Alfred Bulahya. Imeelezwa kuwa watoto wasiopungua 10 wameuawa kutokana na kupigwa na kuchomwa moto ndani ya jiji la Dodoma katika kipindi cha miaka mitano iliyopita kitendo ambacho kinatajwa kuwa ni ukiukwaji wa haki za binadamu. Hayo yamebainishwa leo na…