Recent posts
3 June 2021, 13:36
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza uchaguzi mdogo wa ubunge katika jimbo…
Na; TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI. Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza Uchaguzi Mdogo wa Ubunge katika Jimbo la Konde na Udiwani katika Kata Sita za Tanzania Bara utakaofanyika tarehe 18 Julai mwaka 2021. Akitangaza uchaguzi huo, Mkurugenzi wa…
3 June 2021, 12:35
Maafisa mazingira wametakiwa kuhakikisha sheria ya mazingira inazingatiwa
Na; Mariam Matundu. WAZIRI wa nchi,Ofisi ya Makamu wa Rais,Muungano na Mazingira Selemani Jafo amewataka maafisa Mazingira katika Mamlaka za Serikali za Mitaa kuhakikisha Sheria ya Mazingira ya Mwaka 2004 inasimamiwa katika maeneo yao. Hayo yamesemwa leo Jijini Dodoma na…
3 June 2021, 12:11
Wafugaji wilayani Chemba walia na changamoto ya kukosa soko la kuuzia mifugo yao
Na;Victor Chigwada. Wakulima na wafugaji wa Kata ya Farkwa katika Wilaya ya Chemba Mkoani Dodoma wameiomba Serikali kuwatatulia changamoto ya soko la mazao pamoja na majosho ili wafanye shughuli zao kwa tija. Wakizungumza na taswira ya habari wananchi hao wamesema…
3 June 2021, 11:44
Wananchi wametakiwa kuwa na utaratibu wa kufuatilia elimu ya katiba
Na; Shani Nicolous. Wito umetolewa kwa wananchi nchini kufuatilia elimu zinazotolewa juu ya katiba ya nchi ili kuwawezesha kutambua haki na sheria mbalimbali. Wito huo umetolewa na Bw. William Mtwazi kutoka katika kituo cha sheria na haki za binadamu LHRC…
2 June 2021, 11:12
Serikali kuandaa mikakati mbalimbali ili kupambana na biashara ya dawa za kulevy…
Na;Yussuph Hans. Serikali imesema haitofumbia macho suala la baadhi ya viongozi wanaofichua siri na mipango ya Serikali katika udhibiti wa Dawa za kulevya Nchini. Hayo yamebainishwa Bungeni na Waziri wa Nchi, Sera, Bunge, Ajira, Vijana na wenye ulemavu Mh.Jenista Mhagama…
2 June 2021, 10:55
Vikundi vya ukusanyaji taka vimetakiwa kufuata utaratibu ili kupunguza kero ya m…
Na; Sani Nicolous. Wito umetolewa kwa vikundi vya kukusanya taka katika maeneo mbalimbali jijini Dodoma kuzingatia utaratibu waukusanyaji taka uliowekwa na viongozi ili kupunguza kero zilizopo mtaani. Akizungumza na Dodoma fm Afisa mazingira Bw. Dickson Kimaro amesema kuwa utaratibu ukifuatwa…
2 June 2021, 09:55
Serikali yaweka mkakati wa kumaliza vikwazo vya biashara na Kenya
Na; Mariam Matundu. Serikali kupitia wizara ya viwanda na biashara imeweka mikakati ya kuhakikisha inamaliza vikwazo vya kibiashara kati ya nchi ya Kenya na Tanzania ili kuimarisha biashara kati ya nchi hizo mbili. Hivi karibuni kumekuwa na mikutano kati ya…
2 June 2021, 09:27
Wakazi wa chitelela wakabiliwa na changamoto ya uhaba wa maji
Na; Victor Chigwada. Wananchi wa mtaa wa chitelela Kata ya Nzuguni Jijini Dodoma wameendelea kukabiliwa na changamoto ya kukosa huduma ya maji safi na salama kwa muda mrefu. Wakizungumza na taswira ya habari baadhi ya wananchi wa eneo hilo wamedai…
2 June 2021, 06:42
Rais Samia Suluhu Hassan jana alifanya ziara na kukagua ujenzi wa Barabara ya…
Na; Mariam Kasawa. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akizungumza na wananchi wa Kwa Azizi Ali mara baada ya kufanya ziara ya kushtukiza kukagua mradi wa ujenzi wa Barabara ya Mabasi ya Mwendokasi katika barabara…
1 June 2021, 14:10
Serikali imeongeza bajeti ya fedha kwaaji ya wakala wa barabara za mjini na viji…
Na;Yussuph Hans. Serikali imeongeza bajeti kwa Wakala wa Barabara za Mjini na Vijijini TARURA kwa mwaka wa fedha 2021/22 kwa ajili ya matengenezo ya Barabara maeneo mbalimbali Nchini. Hayo yamebainishwa leo bungeni na Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za…