Recent posts
26 June 2021, 15:07
Mkutano wa wadau kuchangia maoni uboreshaji wa mitaala ya elimu Nchini wafanyika…
Na,Mindi Joseph . Serikali imesmea ni vyema kusitisha mabadiliko yoyote kwenye mitaala ya Ngazi ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari iliyopo sasa Nchini mpaka mchakato wa wadau kuchangia maoni ili kuwa na Mtaala ambao ni shirikishi na jumuishi utakapokamilika.…
25 June 2021, 14:07
Iyumbu waishukuru serikali kwa kusimamia ipasavyo migogoro ya Ardhi
Na; Victor Chigwada. Wananchi wa Kata ya Iyumbu jijini Dodoma wameishukuru Serikali kwa kusimamia ipasavyo utatuzi wa migogoro ya ardhi. Baadhi ya wanachi hao wakizungumza na taswira ya habari wamesema tangu Diwani wa Kaya yao alipoingia madarakani ameshirikiana na wananchi…
25 June 2021, 13:49
Rais Samia Suluhu amewataka viongozi wa dini Nchini kuendeleza mapambano dhidi y…
Na; FRED CHETI. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassani leo June 25 amewataka viongozi wa dini nchini kuendeleza mapambano dhidi ya janga la Corona. Akizungumza wakati akihutubia baraza la Maaskofu wa jimbo katoliki Tanzania jijini…
25 June 2021, 13:35
Asasi za kiraia zapongezwa mapambano dhidi ya dawa za kulevya
Na; Benard Filbert. Kamishna msaidizi wa kinga na huduma za jamii kutoka mamlaka ya kudhibiti na kupambana na dawa za kulevya Bi.Moza Makumburi amezipongeza asasi mbalimbali za kiraia zinazoshirikiana na Serikali kuzuia matumizi na biashara hiyo nchini. Akizungumza na Dodoma…
25 June 2021, 13:24
Serikali kuendeleza maboresho sera ya matibabu bure kwa wazee
Na;Yussuph Hans. Serikali imesema katika kuhakikisha wazee wanapata huduma bora ya matibabu, inaendeleza zoezi la utambuzi na kuwapatia vitambulisho ambapo mpaka kufikia Machi 2020/2021 Asimilia 87 ya makadirio ya Wazee wote nchini wamepatiwa Vitambulisho hivyo. Hayo yamebainishwa leo Bungeni Jijini…
25 June 2021, 13:13
Wizara ya Elimu Tanzania kupitia taasisi ya (TET) yaandaa mkutano wa kupokea ma…
Na; Rabiamen Shoo. Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kupitia Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) imeandaa mkutano wa kupokea maoni kutoka kwa wadau wa elimu kuhusu uboreshwaji wa Mitaala ya Ngazi ya Elimu ya Awali,Msingi na Sekondari. Mkutano huo unatarajiwa…
24 June 2021, 13:44
Wizara ya Afya yazindua mpango mkakati wa miaka mitano utakao gharimu shilingi t…
Na;Mindi Joseph. Wizara ya Afya,Maendeleo ya jamii jinsia,wazee na Watoto kwa kushirikiana na wadau wa Maendeleo,imezindua mpango mkakati wa miaka mitano utakaogharimu Tsh.Trilioni 9.4 kila mwaka. Akizungumza katika uzinduzi mkakati huo leo Juni, 24,2021 Waziri wa Afya, Maendeleo ya jamii…
24 June 2021, 10:53
Mlowa bwawani yatarajia kutoa elimu kwa wananchi wake juu ya kujikinga na virusi…
Na; Benard Filbert. Uongozi wa kata ya Mlowa bwawani hii leo unataraji kukutana na wananchi wa eneo hilo ili kuwapatia elimu pamoja na kuwahimizi kuchukua tahadhari dhidi ya virusi vinavyo sababisha homa ya mapafu. Hayo yameelezwa na diwani wa kata…
24 June 2021, 10:24
Kata ya majeleko yakabiliwa na changamoto ya upatikanaji wa maji safi na salama
Na; Victor Chigwada. Wakazi wa Kata ya Majeleko Wilayani Chamwino wameiomba Serikali kuwapelekea huduma ya maji safi na salama. Wakizungumza na taswira ya habari wakazi hao wamesema wanakabiliwa na tatizo la maji kwa muda mrefu sasa hali inayo walazimu akina…
24 June 2021, 09:38
EWURA yatoa msaada wa mashuka 431 katika vituo vinne jijini Dodoma
Na; Mindi Joseph . Katika kuhitimisha wiki ya utumishi wa umma mamlaka ya udhibiti wa huduma za nishati na maji (EWURA) imetoa msaada wa mashuka 431 kwa vituo vinne vya afya jijini Dodoma kwa lengo la kusaidia kuboresha huduma za…