Recent posts
14 September 2021, 14:10
Jamii imetakiwa kuacha dhana potofu ya kufikiria mwanamke hawezi kuongoza baadhi…
Na; Benard Filbert. Kufuatia Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kumteua Dokta Stergomena Tax kuwa waziri wa ulinzi na jeshi la Kujenga Taifa jamii imetakiwa kuondoa dhana potofu iliyopo kwenye jamii kuwa mwanamke hawezi kuongoza wizara…
14 September 2021, 13:58
Imeelezwa kuwa usawa wa kijinsia katika uongozi mbalimbali hapa Nchini unawezeka…
Na; Mariam Matundu. Imeelezwa kuwa usawa wa kijinsia katika nafasi mbalimbali za uongozi hapa nchini unawezekana kwa kuwa Rais Samia Suluhu Hassani anaonesha nia ya dhati katika kufikia hilo kutokana na teuzi mbalimbali anazozifanya. Hayo yameelezwa na mratibu wa mradi…
14 September 2021, 03:13
MAGAZETI YA LEO 14 SEPTEMBER 2021
13 September 2021, 13:35
Wilaya ya Kongwa yaja na mkakati wa kulima mashamba yote ya shule za sekondari n…
Na; Beanard Filbert. Mkuu wa wilaya ya Kongwa Remidius Emannuel amesema wilaya hiyo imeweka mkakati wa kulima mashamba yote ya shule za msingi na sekondari katika wilaya hiyo lengo ikiwa wanafunzi wote kupata chakula shuleni na kudhibiti tatizo la lishe…
13 September 2021, 13:21
Watoto wanaoishi na kufanya kazi mtaani wametajwa kuwa katika hatari ya kufanyiw…
Na;Mariam Matundu. Watoto wanaoishi na kufanya kazi mtaani wametajwa kuwa katika hatari ya kufanyiwa vitendo vya ukatili ikwemo kubakwa na kulawitiwa pamoja na kutumikishwa katika magenge yakihalifu. Hayo yamesemwa na katibu mkuu wizara ya afya maendeleo ya jamii jinsia wazee…
13 September 2021, 12:57
Rais Samia awataka mawaziri wapya kwenda kufanya kazi kwa bidii
Na; Fred Cheti. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu amewataka mawaziri wapya aliowateua siku ya jana kwenda kufanya kazi kwa bidii ili kuleta mabadiliko katika wizara walizochaguliwa na kwa watanzania kwa ujumla. Rais Samia ameyasema hayo…
13 September 2021, 11:55
Jamii yaaswa kuepuka matumizi ya sigara wakati huu wa mapambano dhidi ya uviko 1…
Na; Shani Nicolous. Wito umetolewa kwa jamii kuepuka uvutaji wa sigara hususani wakati wa mapambano dhidi ya UVIKO 19. Akizungumza na Taswira ya habari Dr. Missani Yango kutoka hospitali ya mkoa amesema kuwa sigara ina mchango mkubwa katika kueneza ugonjwa…
13 September 2021, 08:30
Rais Samia afanya uteuzi wa nafasi mbalimbali
13 September 2021, 06:08
MAGAZETI YA LEO 13 SEPTEMBER 2021
12 September 2021, 09:51