Recent posts
3 September 2021, 13:03
Wizara ya Afya imesema inaendelea kuboresha suala la upatikanaji wa vyeti njia y…
Na;Yussuph Hans. Wizara ya Afya Maendeleo ya jamii Jinsia Wazee na Watoto imesema inaendelea kuboresha suala la upatikanaji wa vyeti Kwa njia ya TEHAMA kwa waliopatiwa chanjo ya UVIKO-19 ambapo Hadi Sasa imewapatia Mafunzo watoa huduma zaidi ya 1994. Hayo yamebainishwa Jijini…
3 September 2021, 12:50
Wakazi wa mkoa wa Dar es salaam waliopo katika migogoro ya ndoa, mirathi na tala…
Na;Mariam Matundu. Inaelezwa kuwa Mkoa wa Dar es Salaam ni miongoni mwa Mikoa iliyogubikwa na mkinzano wa masuala ya kijamii ambapo tangu mwaka 2017 mashauri 7000 ya mirathi na mashauri 2000 ya migogoro ya ndoa yamefunguliwa. Wananchi wa Mkoa wa…
3 September 2021, 12:32
Wakazi wa Mloda watatuliwa kero ya maji iliyo dumu kwa muda mrefu
Na; Selemani Kodima. Uongozi wa kijiji cha Mloda Wilayani Chamwino umesema maisha ya wakazi wa kijiji hicho yameanza kubadilika baada ya kutatuliwa changamoto ya kisima cha maji ambayo imewatesa kwa muda mrefu. Akizungumza na Taswira ya Habari Mwenyekiti wa Kijiji…
2 September 2021, 14:24
Fedha za makato mbalimbali zatarajia kujenga madarasa zaidi ya 500 kwa shule za…
Chanzo: Dawati Rais wa Jamhuri yamuungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan amesema Serikali inatarajia kujenga madarasa zaidi ya 500 kwa shule za msingi na sekondari Nchi nzima kupitia makato katika tozo mbalimbali. Rais Samia ametoa kauli hiyo leo alipokuwa…
2 September 2021, 13:53
Serikali imesema itaendelea kutoa elimu kwa wananchi juu ya namna ya kujikinga n…
Na ; Fred Cheti. Serikali imesema kuwa itaendelea kutoa elimu kwa wananchi juu ya namna ya kujikinga na ugonjwa wa Uviko 19 pamoja na kuimarisha utoaji wa huduma za afya katika maeneo yote Nchini ili kukabiliana na ugonjwa huo. Kauli…
2 September 2021, 13:42
Chanjo ya UVIKO 19 inamuepusha mtu alie chanjwa dhidi ya homa kali na madhara ya…
Na;Yussuph Hans. Inaelezwa kuwa moja ya sababu kubwa ya kupata chanjo ya UVIKO-19 ni kumuepusha mtu aliyechanjwa dhidi ya homa kali, pamoja na madhara yake pindi akiambukizwa virusi vya Korona. Hayo yamebainishwa na Mtaalamu kutoka kikosi kazi cha kitaifa cha…
2 September 2021, 08:22
Walio sababisha maradhi ya chanjo kwa mifugo wasakwa
Na. Edward Kondela Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Mashimba Ndaki ameagiza kutafutwa mara moja kwa wataalamu wa mifugo waliotoa chanjo ya mifugo katika Kijiji cha Mlazo Kilichopo Wilaya ya Chamwino Mkoani Dodoma, na kusababisha baadhi ya mifugo kufa na…
1 September 2021, 13:06
Wakazi wa Jiji la Dodoma waipongeza Serikali kwa kufanya marekebisho sheria ya t…
Na;Yussuph Hans. Wakazi Mkoani Dodoma wamepongeza hatua ya Serikali kufanyia marekebisho sheria mpya ya tozo za miamala huku wakiomba serikali kuendelea kuangalia namna ya kupata fedha za kuboresha huduma za kijamii Nchini. Wakizungumza na taswira ya habari kwa nyakati tofauti…
1 September 2021, 12:55
Kata ya Masanga yaiomba serikali kuwasaidia kuongeza vyumba vya madarasa
Na; Victor Chigwada. Licha ya jitihada za wananchi wa Kata ya Msanga Wilayani Chamwino katika kukabiliana na changamoto ya uhaba wa vyumba vya madarasa wameiomba Serikali kuwaongezea nguvu ya ujenzi wa madarasa pamoja na walimu Baadhi ya wananchi hao wakizungumza…
1 September 2021, 12:44
EWURA yatangaza kupanda kwa bei ya mafuta
Na;Mindi Joseph . Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza kupanda kwa bei za mafuta kutokana na kubadilika kwa bei katika Soko la Dunia na gharama za uagizaji. Bei ya mafuta kupanda itaanza kutumika kuanzia leo…