Recent posts
5 July 2021, 12:31
Wakazi wa kata ya Iduo waiomba serikali kufanya marekebisho ya barabara
Na; Beanard Filbert. Wakazi wa kata ya Iduo Wilayani Kongwa wameiomba Serikali kuhakikisha wanafanya marekebisho ya miundombinu ya barabara katika Kata hiyo ili kuepusha usumbufu ambao wamekuwa wakikutana nao hususani katika msimu wa mvua. Hayo yameelezwa na wakazi hao wakati…
5 July 2021, 11:32
Jamii imeshauriwa kutumia vyakula mchanganyiko ili kupunguza magonjwa yasiyo na…
Na; Shani Nicolous. Jamii imeshauriwa kutumia vyakula mchanganyiko vya kujenga mwili ili kupunguza magonjwa yasiyokuwa na ulazima pamoja na madhara mengine ambayo yanatokana na uzito wakupindukia. Akizungmza na Dodoma FM Dr. Mathew kutoka Poly Clinic Jijini Dodoma amesema kuwa kumekuwa…
5 July 2021, 10:54
Wanafunzi wa vyuo watakiwa kujiandaa kisaikolojia kukabilia na changamoto ya aj…
Na;Yussuph Hans. Mjadala kuhusu tatizo la ajira Nchini limekuwa likichukua sura mpya na hii ni kutokana na ukubwa wa tatizo hilo ambalo linaendelea kuumiza vichwa vya watungaji wa sera na wadau wengine. Hali hii imepelekea baadhi ya wasomi na wachambuzi…
5 July 2021, 09:49
Wakazi wa Mlebe walia na changamoto ya upungufu wa madawa na wahudumu wa Afya
Na; Victor Chigwada. Wananchi wa kijiji cha Mlebe Kata ya Msamalo wanakabiliwa na uhaba wa wahudumu wa afya katika zahanati yao hali inayodhoofisha utoaji wa huduma za matibabu hasa kwa akina mama wajawazito. Baadhi ya wananchi hao wakizungumza na taswira…
2 July 2021, 14:15
Wakuu wa idara na taasisi watakiwa kuhakikisha wanalipa fidia kabla ya kutwaa Ar…
Na;Yussuph Hans. Marufuku imetolewa kwa wakuu wa idara, taasisi pamoja na wakurugenzi kuhakikisha wanalipa fidia kwa wananchi kabla ya kutwaa ardhi yao ikiwa ni pamoja na kuwepo kwa maridhio baina ya pande zote mbili. Akizungumza katika kikao cha uzinduzi wa…
2 July 2021, 11:53
Wakazi wa Miganga walalamikia kukatika kwa maji mara kwa mara
Na; Benard Filbert. Kukatika kwa maji kila mara katika mtaa wa miganga kata ya Mkonze mkoani Dodoma imetajwa kuwa kero kwa wakazi wa mtaa huo hali inayowalazimu kutumia maji ya visima ambayo sio salama kiafya. Hayo yameelezwa na wakazi wa…
2 July 2021, 11:19
Uhamasishaji mdogo wapelekea watu wenye ulemavu kuto nufaika na mikopo ya ha…
Na; Mariam Matundu. Imeelezwa kuwa kukosekana kwa taarifa na uhamasishaji kwa watu wenye ulemavu kujiunga katika vikundi ni moja ya sababu inayo pelekea kundi hilo kutopata mikopo kwa wingi inayotolewa na halmashauri. Hayo yamesemwa namwenyekiti wa chama cha watu wenye ulemavu wilaya ya Kondoa bwana Abedi Dutu ambapo amesema uhamasishaji kwa watu wenye ulemavu wanaoishi maeneo ya vijijini kuomba mikopo upo chini hivyo wengi wao hukosa fursa…
1 July 2021, 14:22
Watanzania wametakiwa kuwa na utamaduni wa kuipa kipaumbele lugha ya kiswahili
Na; Yussuph Hans. Moja ya lugha iliyoenea katika Mataifa ya Afrika ni Kiswahili kutokana jitihada mbalimbali zinazofanyika katika kukuza Lugha hiyo na haina budi kila Mtanzania kujivunia Lugha ya Kiswahili. Hayo yamesemwa na Kaimu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili Tanzania…
1 July 2021, 12:48
Mwitikio mdogo wa Elimu katika kata ya Farkwa wapelekea wanafunzi kushindwa kuji…
Na; Victor Chigwada. Mwitikio mdogo wa elimu katika kata ya Farkwa Wilayani Chemba ni changamoto inayopelekea wanafunzi kushindwa kujiunga na masomo ya sekondari kwa shinikizo la wazazi. Baadhi ya wazazi hao wakizungumza na taswira ya habari wamesema ni kweli suala…
1 July 2021, 11:07
Matumizi makubwa ya nishati ya mkaa na kuni yatajwa kuwa chanzo kikuu cha uharib…
Na;Mindi Joseph . Matumizi ya kuni na Mkaa huchangia miti mingi kukatwa na kusababisha uharibifu wa mazingira. Kwa mujibu wa ripoti ya Hali ya Upatikanaji wa Nishati iliyotolewa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu mwaka 2016 inaonyesha kuwa asilimia 88.2…