Recent posts
1 September 2021, 12:11
Dawati la jinsia Dodoma lasema hakuna tukio la ndoa za utotoni lililo ripotiwa t…
Na;Mariam Matundu. Imeelezwa kuwa kwa kipindi cha miezi nane tangu januari mpaka Agost mwaka huu 2021 hakuna tukio la ndoa za utotoni lililo ripotiwa dawati la jinsia na watoto Wilaya ya Dodoma Mjini . Hayo yamesemwa na mkaguzi msaidizi wa…
31 August 2021, 12:31
Wahandisi 17 wachukuliwa hatua mbalimbali za kisheria kwa kukiuka maadili na tar…
Na; Mariam Matundu. Wahandisi 17 wamechukuliwa hatua mbalimbali za kisheria kwa kukiuka maadili na taratibu za taaluma yao kwa kipindi cha mwaka wa fedha 2020/2021. Hayo yamesemwa jijini Dodoma na Msajili wa Bodi ya Usajili ya Wahandisi (ERB), Mhandisi Patrick…
31 August 2021, 12:13
Kamati ya Bunge ya haki maadili na madaraka ya Bunge yatoa ripoti Bungeni kuhus…
Na;Yussuph Hans. Kamati ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge imetoa Ripoti yake leo Bungeni Dodoma kuhusu shauri la Mbunge wa Kawe Askofu Josephat Gwajima Bunge na kutoa adhabu ya kutohudhuria mikutano miwili mfululizo ya Bunge. Akisoma taarifa…
31 August 2021, 11:56
Mnada wa Dabalo wakabiliwa na ukosefu wa matundu ya vyoo
Na; Beanrd Filbert. Ukosefu wa matundu ya vyoo katika mnada wa Dabalo kata ya Dabalo wilayani Chamwino imetajwa kuwa changamoto kwa wafanyabiashara hali inayoweza kuhatarisha afya zao. Hayo yameelezwa na Diwani wa kata ya Dabalo Bwana Isihaka Rajab wakati akizungumza…
31 August 2021, 11:35
Ugonjwa wa uviko 19 watajwa kuathiri nguvu za kiume
Na; Selemani Kodima. Imeelezwa kuwa athari mojawapo anayoipata Mtu aliyepata Virusi vya Ugonjwa wa Uviko-19 ni pamoja na upungufu wa nguvu za kiume. Hili linajiri baada ya Hivi karibuni ripoti ya utafiti kutoka Chuo Kikuu cha Miami nchini Marekani kueleza…
30 August 2021, 13:50
Uzalishaji wa maji taka umekuwa sababu ya kuharibu mazingira
Na;Yussuph hans, Uzalishaji uliokithiri wa majitaka umekuwa sababu kubwa ya kuharibika kwa mazingira pamoja na chanzo cha maradhi mbalimbali ya mlipuko katika jamii. Wakizungumza na taswira ya habari baadhi ya Wakazi Mkoani Dodoma wamesema kuwa jamii imekuwa na ufahamu kuhusu madhara ya…
30 August 2021, 13:38
Wananchi waaswa kuacha tabia ya kutelekeza wagonjwa hospitali
Na; Mariam Kasawa. Watu wanaotelekeza wagonjwa hospitali kwa sababu ya kutokumudu gharama za matibabu wameshauriwa kutokufanya hivyo na badala yake wafike katika ofisi za ustawi wa jamii katika hospitali aliyolazwa mgonjwa ili kupata msaada. Afisa ustawi wa jamii hospitali ya…
30 August 2021, 13:23
Uzalishaji wa sukari nchini utatoa fursa kwa wakulima wa miwa na ajira kwa vijan…
Na;Mindi Joseph. Waziri wa Kilimo Prof. Adolf Mkenda amesema hatatoa kibali cha kuingiza sukari nchini kufuatia kuua ajira kwa watazania na kudidimiza uzalishaji wa miwa kwa wakulima Nchini. Akizungumza leo Jijini Dodoma katika uzinduzi wa matokeo ya sensa ya kilimo…
27 August 2021, 13:37
Kata ya Izava yasema ipo katika hatua za kutafuta ufumbuzi wa kisima kilicho har…
Na; Selemani Kodima. Uongozi wa Kijiji cha Izava Kata ya Izava Wilayani Chamwino umesema upo katika mkakati wa kutafutia ufumbuzi suala la ukarabati wa kisima cha maji ili kuwaondolewa wananchi changamoto ya huduma hiyo. Akizungumza na Taswira ya Habari Mwenyekiti…
27 August 2021, 13:24
Zaidi ya asilimia 42 ya watoto Nchini wenye miaka 0 hadi 5 wamedumaa kutokana na…
Na ;Fred Cheti . Inaelezwa kuwa zaidi ya watoto 130 hupoteza maisha kila siku kutokana na lishe Duni hii ni kwa mujibu wa ripoti ya mwaka 2020 kutoka shirika la SEMA TANZANIA linalojihusisha na usimamizi wa haki za watotoPia inaeleza…