Dodoma FM

Recent posts

24 January 2022, 15:30

DUWASA kufichua waharibifu wa miundombinu ya maji

Na; Benard Filbert. Mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira jijini Dodoma DUWASA inaendelea na kampeni yake ya kufichua waharibifu wa miundombinu ya maji ili kukomesha vitendo hivyo. Hayo yanajiri kufuatia kuwepo kwa uharibifu wa baadhi ya miundombinu ya…

24 January 2022, 14:34

Mmomonyoko wa maadili waweza kusababisha athari za kisaikolojia

Na ;Thadei Tesha. Imeelezwa kuwa vitendo vya baadhi ya Watu kuweka picha za utupu mitandaoni zinaweza kuleta athari za kisaikolojia Jambo linalopelekea kuharibika kwa maadili. Taswira ya habari imefanya mahojiano na baadhi ya vijana jijini hapa kufahamu Nini chanzo cha…

20 January 2022, 16:47

Kisedete kupambana na familia zinazo ruhusu watoto kuingia mtaani

Na; Benard Filbert. Shirika la KISEDET ambalo linajighulisha na kuwahudumia watoto wanaofanya kazi mtaani wamesema mwaka huu watajikita zaidi na familia zinazoruhusu watoto kuingia mtaani ili kukomesha hali hiyo. Hayo yameelezwa na Ibrahim Mtangoo Afisa ustawi wa jamii kutoka shirika…

20 January 2022, 16:36

Taasisi zatakiwa kuwapatia vijana mbinu za kujikwamua kiuchumi.

Na; Thadei Tesha. Taasisi mbalimbali za binafsi na serikali zimetakiwa kushirikiana na viongozi wa dini ili kuwasadia vijana katika kuwapa mbinu mbalimbali za maisha ili kujikwamua kiuchumi. Taswira ya habari imefanya mahojiano na baadhi ya viongozi wa dini kutoka sehemu…

19 January 2022, 15:10

Wakazi wa Ihumwa walalamikia ukosefu wa maji safi na salama

Na; Neema Shirima. Baadhi ya wananchi wa mtaa wa Chang’ombe kata ya Ihumwa jijini Dodoma wameelezea changamoto ya ukosefu wa maji safi na salama katika eneo hilo Wamesema ukosefu wa maji safi na salama unawalazimu kutumia maji ya visima ambayo…

19 January 2022, 14:30

Ujenzi wa madarasa wasaidia kupunguza mrudikano wa wanafunzi chemba

Na ;Benard Filbert. Ujenzi wa madarasa mapya yaliyojengwa kwa fedha za uviko 19 katika kata ya chemba wilayani Chemba imesaidia kupunguza mrundikano wa wanafunzi katika shule ya sekondari Chemba Hayo yameelezwa na diwani wa kata ya Chemba bwana Gadiel Lukumai…

18 January 2022, 15:01

Jamii imetakiwa kuwapa nafasi vijana waliochana na matumiziya dawa za kulevya

Na ; Fred Cheti.                Jamii imeombwa kutoa ushirikiano wa kutosha kwa watu waliochana na matumizi ya dawa za kulevya. Ikiwemo kuwapatia nafasi katika  fursa mablimbali za kimaendeleo kuwasaidia wasiweze kurudi katika matumizi ya dawa hizo. Wakionekana kuwa na matumaini mapya…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger