Dodoma FM
Dodoma FM
27 August 2021, 13:37
Na; Selemani Kodima. Uongozi wa Kijiji cha Izava Kata ya Izava Wilayani Chamwino umesema upo katika mkakati wa kutafutia ufumbuzi suala la ukarabati wa kisima cha maji ili kuwaondolewa wananchi changamoto ya huduma hiyo. Akizungumza na Taswira ya Habari Mwenyekiti…
27 August 2021, 13:24
Na ;Fred Cheti . Inaelezwa kuwa zaidi ya watoto 130 hupoteza maisha kila siku kutokana na lishe Duni hii ni kwa mujibu wa ripoti ya mwaka 2020 kutoka shirika la SEMA TANZANIA linalojihusisha na usimamizi wa haki za watotoPia inaeleza…
27 August 2021, 12:54
Na; Benard Filbert. Jamii inakumbushwa kupinga ukatili wa kijinsia kwa watoto wakike hali itakayosaidia kumuandaa mama mwenye malezi bora kwa familia yake hapo baadae. Hayo yameelezwa na Bi. Stellah Matelu kutoka shirika lisilo la kiserikali la Action For Community Care…
27 August 2021, 12:40
Na;Yussuph Hans. Jamii imetakiwa kuwasaidia Wasichana waliokatisha Masomo yao kutokana na Mimba za Utotoni ili waweze kujisimamia kiuchumi. Hayo yamebainishwa na Katibu Mtendaji wa Asasi ya SAIKO Center Silvia Srriwa wakati akizungumza na kituo hiki ambapo amesema kuwa Wasichana wanaopata…
27 August 2021, 10:58
Na; Mariam Matundu. Waziri wa afya maendeleo ya jamii jinsia wazee na watoto Dkt. Doroth Gwajima amekemea wazazi wanaochangia uwepo wa watoto wa mitaani na wanaoishi kwenye maingira magumu kwa kuwa wameshindwa kuwajibika ipasavyo katika malezi ya familia zao. Hayo…
26 August 2021, 14:02
Na;Yussuph Hans. Wakazi Mkoani Dodoma wamepongeza agizo la Waziri Wa Afya, Dkt Dorothy Gwajima kuwataka Afisa Ustawi wa Jamii kuwatambua na kuwasaidia Wagonjwa waliopo Nyumbani pasi na kupatiwa Matibabu. Akizungumza na Taswira ya habari Mmoja wa Wakazi hao Monica Stan…
26 August 2021, 13:44
Na;Mindi Joseph . Mradi wa kituo cha kufua umeme Zuzu umetajwa kufikia asilimia 98 huku ukitarajiwa kufunguliwa Rasmi Septemba 30 mwaka huu. Mradi huo utakuwa na uwezo wa kusambaza umeme ndani ya Nchi pamoja na Nchi jirani.Katika Mkoa wa Dodoma…
26 August 2021, 13:00
Na; Benard Filbert. Licha ya Serikali kupitia Halmashauri mbalimbali Nchini kutoa mikopo kwa makundi mbalimbali imeelezwa kuwa moja ya changamoto kubwa ni baadhi ya vijana kushindwa kurudisha mikopo hiyo. Hayo yameelezwa na afisa maendeleo Jiji la Dodoma Bw. Daniel Manyama…
25 August 2021, 13:17
Na; Benard Filbert. Halmashauri ya jiji la Dodoma inaendelea kuhamasisha wananchi kujitokeza kupata Chanjo ya uviko 19 kwa hiyari lengo ikiwa kukabiliana na ugonjwa huo. Hayo yameelezwa na afisa afya wa jiji la Dodoma Abdala Mahiya wakati akizungumza na taswira…
25 August 2021, 13:08
Na ; Fred Cheti. Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassani amelitaka jeshi la polisi nchini kutimiza majukumu yake imepasavyo kwa kutenda haki kwa jamii na kuepuka kutumia nguvu yake kuwakandakiza wananchi. Mhe. Samia ametoa wito…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-