Dodoma FM

Recent posts

19 November 2023, 11:18 am

CCM yakerwa kusuasua  miradi ya Maji Dodoma

Ikumbukwe kwamba  mwezi June mwaka huu, Katibu Mkuu wa chama cha mapinduzi Comredi Daniel Chongolo alifanya ziara Mkoani Dodoma na kuagiza kukamilishwa haraka kwa mradi wa maji wa kata ya chali na Ibihwa lakini mpaka sasa miradi yote imesimama kutokana…

19 November 2023, 10:53 am

Asilimia 11 ya akina mama nchini hujifungua kabla ya wakati kila mwaka

Siku ya watoto waliozaliwa kabla ya wakati ilianzishwa kwa nia ya kuelimisha kuhusu kujifungua watoto ambao bado hawajakomaa. Na Mindi Joseph. Maadhimisho ya siku ya watoto wanozaliwa kabla ya wakati yalifanyika Nov 17 katika hospital ya benjamini mkapa yakiwa yamebeba…

15 November 2023, 5:31 pm

Ifahamu Miswada mitatu iliyo wasilishwa bungeni wiki iliyopita

Yapo mambo mazuri waliyobaini baada ya Miswada hiyo kuwasilishwa Bungeni ikiwa ni pamoja na vyama vya Siasa kuwa na Sera ya mambo ya Ujumuishwaji ya Kijinsia na Makundi Maalum,Vyama vya Siasa kuwa na Mipango ya kuimarisha ushiriki wa wanawake,Vijana na…

15 November 2023, 5:07 pm

RUWASA na CBWSO Kondoa kupunguza vyombo vya maji kutoka 44 hadi 10

Mkutano huo utasaidia kuboresha upatikana wa huduma ya maji wilayani humo. Na Nizar Mafita. Wakala Wa Maji Safi Na Usafi Wa Mazingigra  Vijijini  Wilaya Ya Kondoa Kwa Kushirikiana Na Ruwasa   Mkoa Wa Doddoma Pamaoja Na Vyombo Vya Watoa Huduma Ya…

15 November 2023, 3:34 pm

Shule ya msingi Chilanjilizi yalia na uhaba wa walimu wakike

Shule zenye wanafunzi mchanganyiko ni vyema kuwa na walimu wa jinsia zote kwani Watoto wa kike shuleni  wanahitaji uangalizi ili kuwapa ujasiri na uwezo wa kueleza matatizo yanayowakuta wasichana wawapo shuleni. Na Victor Chigwada                 Wananchi wa Kata ya Ngomai wilayani…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger