Recent posts
11 January 2024, 18:58
Washiriki 1,707 wajiandikisha kushiriki utoaji maoni
Baada ya hapo, kamati hiyo itachambua maoni hayo yaliyopokewa. Na Seleman Kodima.Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria, Joseph Mhagama amesema jumla ya washiriki 1,707 wamejiandikisha kwenye ushiriki wa utoaji maoni. Pia, taasisi za kidini,…
11 January 2024, 18:34
Mitaro inayopitisha maji yakwamisha shughuli za wakazi wa Ihumwa A
Ni miaka miwili sasa Wananchi wa Mtaa wa Ihumwa A jijini Dodoma wanalalamikia mchangamoto hiyo licha ya juhudi kubwa iliyofanywa mwaka jana na kampuni ya Ujenzi wa Reli ya Kisasa ya Yap Markez kuchimba mtaro huo. Na Victor Chigwada.Wakazi wa…
10 January 2024, 00:04
Ajira katika umri Mdogo zinavyo kwamisha ndoto za mabinti
Kama mwajiri atatoa madai kwamba hakufahamu kwamba mtu aliyemuajiri ni mtoto wakati wa kumpa ajira au kudai kupewa taarifa zisizo sahihi watakua na wajibu wa kuthibitisha kua ilikua sahihi kwa wao au mtu mwingine yeyote mwenye akili timamu kuamini kwamba…
9 January 2024, 23:38
Wananchi wahimizwa kushiriki uchaguzi wa serikali za mitaa
Uchaguzi wa viongozi mbalimbali wa serikali za mitaa unatarajia kufanyika mwaka huu huku wananchi wakiendelea kusisitizwa suala la kushiriki katika kuchagua viongozi sahihi. Na Thadei Tesha. Mkuu wa wilaya ya Dodoma mh. Jabir Shekimweri amewataka wananchi jijini Dodoma kushiriki kikamilifu…
9 January 2024, 21:01
Ndugai akerwa na wanafunzi wanaojifelisha darasa la saba
March 14 mwaka 2023 Halmashauri ya wilaya ya Kongwa kupitia kwa mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya hiyo white zuber ilitangaza kuanza kuwanunulia mahitaji yote ya msingi wanafunzi wenye wazazi wasiojiweza kiuchumi watakaofaulu na kuchaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza. Na…
9 January 2024, 08:10
WEO, VEO watakiwa kuhakikisha watoto wote wanawasili shuleni
Mkuu wa mkoa ametembelea baadhi ya shule ikiwemo shule mpya ya sekondari miyuji pamoja na shule ya msingi Chikoye iliyopo msalato jijini Dodoma. Na Thadei Tesha. Mkuu wa mkoa wa Dodoma Mh Rosemery Senyamule amewaagiza watendaji wa kata na mitaa…
8 January 2024, 21:18
Jamii yaendelea kusisitizwa kuwapatia watoto lishe bora
Wazazi wanashauriwa juu ya mambo ya kuzingatia katika kuandaa mchanganyiko wa lishe bora unaofaa kwa mtoto. Na Thadei Tesha.Jamii imeendelea kusisitizwa kuwapatia watoto lishe bora na kuacha kuwapa chakula kimazoea kwa lengo la kumsaidia mtoto kuwa na afya njema. Leo…
8 January 2024, 20:47
Wanafunzi kidato cha kwanza kupokelewa shuleni bila kujali mapungufu ya mahitaji…
Mzazi anaweza kumpeleka mtoto hata kama hajakamilisha mahitaji yote ili aweze kuanza masomo wakati taratibu za kukamilisha mahitaji hayo zikiendelea. Na Fred Cheti.Wito umetolewa kwa wazazi na walezi kuhakikisha wanawapeleka shule wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza bila ya…
6 January 2024, 18:02
Wakazi wa Loje watoa shukrani ujenzi wa Daraja
Wananchi hao wanasema kukosekana kwa daraja pia kulihatarisha hali ya usalama wao hasa kipindi cha mvua. Na Victor Chigwada.Wananchi wa Kata ya Loje Wilaya ya Chamwino wametoa Shukrani kwa Serikali kwa Juhudi kubwa ya Ujenzi wa Daraja linalounganisha Kijiji cha…
6 January 2024, 16:07
Wazazi watakiwa kuhakikisha watoto wanaripoti shuleni Januari 8
Senyamule amekagua ujenzi wa shule ya Sekondari ya Michese unaotekelezwa katika kata ya Mkonze eneo la Michese na kuagiza kukamilika kwa ujenzi huo ili ifikapo tarehe 08 Januari wanafunzi waweze kukaa kwenye madarasa yenye ubora. Na Seleman Kodima.Mkuu wa Mkoa…