Dodoma FM

Recent posts

7 September 2021, 2:32 pm

Serikali yapiga marufuku watoto wadogo kutumikishwa kuchunga mifugo

Na;Yussuph Hans. Serikali Nchini imepiga marufuku Watoto wadogo kutumikishwa kuchunga mifugo kwani wanahitajika kwenda Shule pamoja na kwamba hawamudu kundi kubwa la Mifugo. Hayo yamebanishwa leo na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Kassim Majaliwa katika Mkutano…

6 September 2021, 11:38 am

Jamii yatakiwa kuwapa wanawake kipaumbele cha kumiliki rasilimali

Na;Yussuph Hans. Imeelezwa kuwa Wanawake wamekuwa na Mchango mkubwa katika familia, Jamii ikiwapa kipaumbele cha kumiliki Rasilimali. Hayo yamebainishwa na Afisa Maendeleo ya Vijana Halmashauri ya Jiji la Dodoma Bw Mfungo Manyama wakati akizungumza na kituo hiki ambapo amesema ni…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger