Recent posts
15 March 2024, 18:40
Soko kuu Majengo lafanikiwa ukusanyaji taka.
Wananchi wanahimizwa kuendelea kuweka mazingira katika hali ya usafi huku wakitakiwa kufahamu kuwa kuweka takataka chini ni kosa kisheria. Na Mariam Kasawa.Soko Kuu la majengo jijini Dodoma limefanikiwa kwa kiasi kikubwa katika zoezi la ukusanyaji yaka hali inayopelekea mazingira kuwa…
15 March 2024, 18:16
NEMC na Halmashauri ya jiji la Dodoma zaagizwa kufanya tathhmini katika milima
kwa mujibu wa sheria ya mazingira ibara ya 58 ibara ndogo ya 2 kifungu kidogo cha D Kinatoa maelekezo ya kulinda vilima vyote vya jiji la Dodoma. Na Mariam Kasawa.Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), pamoja…
9 March 2024, 17:35
Sera ya Jinsia kukuza usawa wa kijinsia
Waziri Dkt. Gwajima amewasisitiza wanawake kujiunga na vikundi vya maendeleo ili kutumia fursa za kiuchumi zinazotolewa na Serikali pamoja na wadau na kuwahimza kujitokeza kugombea nafasi mbalimnali za uongozi katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka huu. Na Mariam Matundu.…
6 March 2024, 18:54
Malipo yakwamisha urasimishaji wa ardhi Ihumwa
Zoezi hilo la urasimishaji linahusisha zaidi ya viwanja 2500 kwa upande wa mtaa wa ihumwa A ambapo inaelezwa kwa ni viwanja visivyozidi 100 ndivyo vimelipiwa. Na Victor Chigwada.Kusuasua kwa Malipo ya zoezi la Urasimishaji wa ardhi katika kata ya Ihumwa…
5 March 2024, 18:48
Chihoni waomba serikali kuwasaidia ukarabati wa madarasa
Endapo Ukarabati wa madarasa hayo utafanyika utaweka miundombinu ya shule hiyo katika hali ya usalama kwa wanafunzi katika ujifunzaji. Na Mindi Joseph. Wanachi katika Mtaa wa Chihoni kata ya Nala wameiomba serikali kuwasaidia ukarabati wa madarasa 4 ya shule ya…
5 March 2024, 18:32
Wafanyabiashara Mnada Mpya walia ugumu wa biashara
5 March 2024, 17:00
Ummy: Asilimia 9.8 ya watu nchini hawana vyoo
Waziri Ummy amezielekeza mamlaka kuhakikisha zinasimamia vyema matumizi ya vyoo kwa wasafiri wawapo safarini kwa kuhakikisha mabasi yanasimama kwenye maeneo rasmi ikiwemo stendi za mabasi . Na Mariam Kasawa. Takwimu zinaonesha kuwa asilimia 9.8 ya watu nchini hawana vyoo kabisa…
29 February 2024, 16:34
Historia ya mtaa wa Hazina wanajivunia nini?
Licha ya historia ya mtaa huu mwenyekiti anaeleza vitu ambavyo wakazi wa mtaa huu wanajivunia. Na Yussuph Hassan. Mwandishi wetu anaendelea kuzungumza na mwenyekiti wa mtaa wa Hazina na leo anaeleza vitu mbalimbali vinavyo patikana katika mkoa huu mkongwe uliopo…
29 February 2024, 16:06
Ubovu wa mitaro wapelekea maji kutuama kwa wingi Kizota
Ni mtaro ambao ulitengenezwa pasipo kuzingatia vigezo vya ujenzi. Na Mariam Kasawa. Wakazi wa Mtaa wa Relini Kata ya kizota wamelalamika kutuama kwa maji ya mvua kutokana na ubovu wa mitaro ya kutiririsha maji. Ni mtaro ambao ulitengenezwa pasipo kuzingatia…
29 February 2024, 15:48
Chipogolo walazimika kufuata baadhi ya huduma za Afya Mtera
Mh. Senyamule ametembelea kituo cha afya cha Rudi ambacho kinahudumia wananchi takribani 15,440 kutoka vijiji vitano, kituo kilipokea kiasi cha shilingi Milioni 701 kwa ajili ya ujenzi wa Maabara ambayo ipo katika hatua ya umaliziaji na Shilingi Milioni 300 kwa…