Recent posts
23 December 2023, 16:35
Wadau wa elimu wazungumzia mgawanyiko wa adhabu shuleni
Ni ufunguzi wa mradi wa kuondoa ukatili dhidi ya watoto walioko shuleni ambao unaratibiwa na mtandao wa Elimu TEMNET . Na seleman Kodima. Wadau wa Elimu wamesema kuwa ipo haja ya uwepo wa mgawanyiko wa adhabu kulingana na makosa yanayotendwa…
21 December 2023, 17:47
Tatizo la afya ya ngozi latajwa kuchangia muwasho wa jicho
Dkt. Salumu amesema matatizo ya ngozi pamoja na matumizi ya sabuni za aina tofauti husababisha mtu kupatwa na tatizo hilo. Na Aisha Alim. Tatizo la macho kupatwa na muwasho linataja kusababishwa na mambo mbalimbali ikiwemo tatizo la afya ya ngozi…
21 December 2023, 17:23
Serikali kuanza ujenzi wa barabara ya Mpwampwa kwa kiwango cha lami
Hii ni kufatia hoja ya Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa Goerge Fuime kubiua hoja ya ujenzi wa barabara hiyo katika kikao cha bodi ya barabara kilichofanyika leo Jijini Dodoma. Na Arafa Waziri.Hatimae kilio cha Wakazi wa Wilaya ya…
21 December 2023, 16:52
Jeshi la polisi laanza uchunguzi madai ya raia kunyanyaswa na maaskari
SACP Misime amewaomba wananchi wenye ushahidi kulingana na malalamiko yalivyowasilishwa na walalamikaji katika mitandao ya kijamii asisite kujitokeza ili uchunguzi huo ukamilike mapema na hatua zingine za kisheria zifuate. Na Mariam Kasawa.Jeshi la polisi limesema kuwa limeanza kufanyia uchunguzi malalamiko…
21 December 2023, 16:23
Mila, desturi zachangia kumnyima mwanamke haki ya kumiliki mali
Mila na desturi zimetajwa kuchangia kumnyima mwanamke haki ya kumiliki mali hali inayomrudisha nyuma kimaendeleo na kuchochea vitendo vya ukatili wa kijinsia . Na Mariam Matundu.Mariam Matundu amezungumza na mwanasheria kutoka Chama Chama Wanasheria Wanawake TAWLA Neema Ahmed ana anaanza…
20 December 2023, 16:43
Mrundikano wa taka soko la samaki Bonanza wahatarisha afya za wananchi
kwa mujibu wa wafanyabiashara wa soko hili wanadai ni muda mrefu tangu kuanza ujenzi wa soko hili na iwapo litakamilika linatarajiwa kupunguza athari mbalimbali wanazopitia wafanyabiashara hao. Na Thadei TeshaWafanyabiashara wa soko la Bonanza Jijini Dodoma wameulalamikia uongozi wa Jiji…
20 December 2023, 15:16
Chinuguli waomba kuongezewa Nguzo za umeme
Licha ya shughuli za ufungwaji wa nyaya za umeme kuendelea katika kijiji hicho lakini huduma haionekani kuwa rafiki kwa wananchi. Na Victor Chigwada . Wananchi wa Kata ya Chinuguli Wilaya ya Chamwino wameiomba Serikali kuwaongzea idadi ya nguzo za…
20 December 2023, 14:31
Jiji la Dodoma kutoa milioni 20 katika kituo jumuishi
Kongamano hilo la wadau wa Elimu jumuishi katika Mkoa wa Dodoma limewakutanisha watu mbalimbali wakiwemo maafisa elimu kata ,wazazi ,viongozi wa dini pamoja na wafadhili wa baadhi ya Miradi katika vituo jumuishi vilivyopo jijini hapa huku kauli mbiu katika kongamano…
20 December 2023, 13:46
Waganga wa wilaya watakiwa kutumia vema magari ya yaliyo tolewa na serikali
Ikumbukwe Dodoma ina jumla ya Vituo vya afya 545 ambapo hospitali ni 16,Vituo vya afya 63,zahanati 438 na kliniki maalum 26 . Na Mariam Kasawa. Waganga wakuu wa wilaya wametakiwa kutumia Vyema magari yaliyotolewa na Serikali kwa ajili ya kwenda…
19 December 2023, 06:41
Wafanyabiashara wakiri biashara kuwa ngumu msimu huu wa sikukuu
Watu wanashauriwa kufanya maandalizi mapema ya mahitaji kwa ajili ya kipindi cha sikuku ili kuepuka uwepo wa changamoto mbalimbali ikiwemo bidhaa kupanda bei. Na Aisha Alim. Wafanyabiashara wa nguo pamoja na mapambo ya christmas katika eneo la one way Jijini…