Recent posts
31 January 2024, 22:08
Watoto wadaiwa kutumika biashara ya dawa za kulevya
Watoto wamekuwa wakitumiwa kusafirisha dawa hizo na kuwasababishia athari mbalimbali. Na Thadei Tesha.Kundi la watoto limetajwa kutumika kwa sehemu kubwa katika biashara haramu ya usafirishaji wa dawa za kulevya nchini. Hayo yamesemwa na kamishna Jenerali wa Mamlaka ya kudhibiti na…
31 January 2024, 21:06
Watoto wenye mahitaji maalum hawatakiwi kufichwa ndani
Shule ya msingi Dodoma Viziwi ni taasisi binafsi iliyoanzishwa mwaka 2005 ikiwa na jumla ya wanafunzi watano ambapo uandikishaji wa wanafunzi katika shule hiyo umezidi kuongezeka na katika mwaka huu 2024 imeandikisha jumla ya wanafunzi 22. Na Fed Cheti.Mkuu wa…
31 January 2024, 20:14
Jaji Mkuu aibua hoja kukabiliana na uharifu nchini
Kongamano hilo limeandaliwa na Mahakama ya Tanzania kupitia chuo cha uongozi wa Mahakama Lushoto (IJA) . Na Mindi Joseph.Jaji mkuu wa Tanzania Prof. Ibrahim Juma leo amefungua kongamano la siku moja la kujadili masuala ya makosa ya uharifu jijini Dodoma.…
31 January 2024, 07:59
Wakulima wapatiwa elimu ya kukabiliana na mvua nyingi
Mifugo na baadhi ya mazao hutegemea ufanisi wa wataalamu hususani inapokuja mabadiliko ya hali hewa hivyo ni vyema kufuata ushauri wataalamu wa kilimo pamoja na mifugo. Na Victor Chigwada .Wakulima na wafugaji wa kata ya Handali wilaya ya Chamwino wameendelea…
31 January 2024, 07:36
Zoezi la uzoaji taka lasuasua baadhi ya maeneo Jijini Dodoma
Ni hivi karibuni Dodoma Tv iliripoti uwepo wa mkusanyiko wa taka katika maeneo mbalimbali ikiwemo eneo la Nyerere square. Na Thadei Tesha. Kuharibika kwa magari ya kuzolea taka katika maeneo mbalimbali Jijini Dodoma imetajwa kuwa miongoni mwa sababu inayochangia baadhi…
31 January 2024, 07:05
BMH yafanikiwa kupandikiza Uroto kwa watoto 7
Itakumbukwa kuwa Serikali ya awamu ya sita iliidhinisha Shiling Bilioni 3.6 kwa kuwezesha kutolewa kwa huduma za upandikizaji wa uroto kwa Watoto wenye selimundu huku zikitengwa Shiling Bilioni 1 kwa ajili ya kutoa kwa Watoto bure. Na Yussuph Hassan.Hospital ya…
29 January 2024, 20:59
Serikali kuanza ujenzi wa chuo mahiri cha Tehama jijini Dodoma
Mradi huo unatarajia kuhusisha ujenzi wa vyuo viwili katika eneo la Nala jijini Dodoma Na mkoa wa kigoma. Na Thadei Tesha.Serikali kupitia Wizara ya habari na Teknolojia ya habari inatarajia kuanza ujenzi wa chuo mahiri cha Tehama katika eneo la…
29 January 2024, 20:00
Kipindupindu chatajwa kuwakumba wanawake zaidi nchini
Kipindupindu unatajwa kuwa ugonjwa hatari ambao huambatana na kuharisha na kutapika huku ikielezwa kuwa ni asilimia 10 tu ya wagonjwa wanaopata kipindupindu na kulazwa hospitali huku wengine wakitembea na vimelea vya ugonjwa huo. Na Mariam Matundu.Wanawake nchini Tanzania wanatajwa kuongoza…
24 January 2024, 23:55
Wafanyabiashara wa Mchele Bahi walia kukosa soko la uhakika
Mamlaka zinazohusika na suala hili zinatakiwa kuharakkisha upatikanaji wa huduma ya soko ili wakulima wa mpunga waweze kuuza mchele badala ya kuuza mpunga ambao wanaeleza kuwa faida yake ni ndogo. Na Bernad Magawa. kukosekana kwa soko la uhakika la mchele…
24 January 2024, 22:17
Wafanyabishara sabasaba wafurahia mazingira ya soko
Soko la Sabasaba ni miongoni mwa masoko makubwa yaliyopo Jijini Dodoma ambayo ni maarufu kwa uuzwaji wa bidhaa mbalimbali ikiwemo mbogamboga matunda na mavazi. Na Thadei Tesha.Wafanyabiahara wa soko la sabasaba Jijini Dodoma Wameelezea kufurahishwa na hali ya mazingira ya…