Dodoma FM

Recent posts

13 November 2023, 7:03 pm

Wananchi pigeni vita usafirishaji haramu wa binadamu

Biashara hiyo imekuwa ikisababisha athari  ikiwemo kutumikishwa kwa ujira mdogo na wengine kutolewa baadhi ya viungo bila ridhaa huku utumikishwaji wa majumbani ukitajwa kuwa moja ya mambo yanayowaathiri wasichana wengi. Na Bernad Magawa. Jamii imetakiwa kupiga vita suala la usafirishaji…

13 November 2023, 5:11 pm

DC Mpwapwa abaini upigaji pesa za watumia maji

Sera ya Maji ina inasisitiza miradi ijengwe, iendeshwe na kusimamiwa na wananchi ili ijiendeshe kwa kufanyaa matengenezo kila inapohitajika bila kutegemea ruzuku kutoka serikalini. Na seleman Kodima. Halmashauri ya wilaya ya Mpwapwa imeamua kuziunganisha jumuiya za watumia maji (CBWSO) badala…

13 November 2023, 4:31 pm

Ubakaji, ulawiti kwa watoto wakithiri Dodoma

Ripoti hiyo ni kwa mujibu wa Kituo cha One stop center kwa mwezi Septemba 2023 ambapo takwimu zimebainisha kuwa mkoa wa Dodoma matukio ya ukatili wa kijinsia kwa  watoto 130  kwa matukio ya ubakaji huku watoto 69 wakilawitiwa. Na Seleman…

13 November 2023, 4:07 pm

Wanafunzi watakiwa kutofumbia macho vitendo vya rushwa

Na Seleman Kodima. Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Alhaji Jabiri Shekimweri  amewataka wanafunzi wa Shule za Sekondari Dodoma kupinga, kuchukia na kutofumbia matendo ya rushwa. Rai hiyo ameitoa wakati akizungumza na shule 12 ambazo ziliingia fainali katika  shindano la Mdahalo…

13 November 2023, 3:13 pm

Sukari, shinikizo la damu isipotibiwa mapema husababisha matatizo zaidi

Na Yussuph Hassan. Imeelezwa kuwa endapo Magonjwa ya kisukari na shinikizo la juu ya damu yasipopatiwa matibabu mapema yanaweza kusababisha magonjwa mengine makubwa. Magonjwa hayo ni pamoja na ugonjwa wa figo ambapo Dkt. Amina Omary kutoka Hospitali ya rufaa ya…

13 November 2023, 2:47 pm

NEC kuanza uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura

Na Aisha Alim.  Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC inatarajia kuanza uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura ili kuondoa changamoto zinazoweza kujitokeza wakati wa uchaguzi.   Hayo yameelezwa na Mkurugenzi wa Uchaguzi kutoka NEC Bw. Ramadhani Kailima wakati akizungumza…

8 November 2023, 6:05 pm

Wizi waibuka soko la Machinga Complex Dodoma

Ni takribani mwaka mmoja sasa tangu kuzinduliwa  kufanya biashara kwa wamachinga ambapo awali walikuwa wakifanyia biashara katika maeneo ya katikati ya jiji la Dodoma. Na Thadei Tesha. Baadhi ya wafanyabiashara katika soko  la Machinga Complex jijini Dodoma wamelalamikia tabia ya…

8 November 2023, 3:35 pm

MEMKWA mkombozi kwa watoto Nagulo Bahi

Mpango wa Elimu ya Msingi kwa Watoto Walioikosa MEMKWA ni moja ya jitihada za kufikia malengo ya maendeleo  endelevu hasa Elimu bora. Na Mariam Kasawa. Wakazi wa mtaa wa Nagulo Bahi Kata ya Bahi wametakiwa kujitokeza kuwaandikisha watoto kwaajili ya…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger