Dodoma FM

Recent posts

1 November 2023, 11:21 am

Jamii yatakiwa kushiriki kutokomeza rushwa ya ngono

Rushwa ya ngono inaweza kusababisha athari kubwa kwa mtu mmoja mmoja na jamii kwa ujumla. Na Aisha Alim. Jamii imetakiwa kushirikaiana katika kuhakikisha vitendo vya rushwa ya ngono makazini vinatokomezwa kwani ni miongoni mwa vitendo vya ukatili vinavyomnyima mtu haki…

1 November 2023, 10:54 am

Uhaba wa maji wahatarisha familia na ndoa za wakazi wa Zepisa

Changamoto ya maji kwa Wakazi wa Zepisa B kata ya  Hombolo Makulu imekuwepo tangu mwaka 1984 Hadi sasa 2023. Na Mindi Joseph. Wakazi wa Mtaa wa Zepisa B kata ya Hombolo Makulu Mkoani Dodoma wameomba kutatuliwa changamoto ya maji inayowakabili…

31 October 2023, 11:49 am

Wakulima Wagomea mbolea ya Ruzuku

Na Mindi Joseph. Baadhi ya wakulima wa kijiji cha Chinangali 2 Mkoani Dodoma wamegoma Kujisajili kuchukua mbolea za ruzuku zinazotolewa na Serikali kutokana na kile wanachodai zinaua Mashamba yao. Hayo yamebainika baada ya Dodoma Tv kufika eneo hilo na kuzungumza…

31 October 2023, 11:21 am

Wakulima wa mpunga Bahi wailalamikia tume ya umwagiliaji

Wakulima hao wanasema pamoja na kufuatilia kwa muda mrefu, bado tume ya umwagiliaji  haijaonyesha ushirikiano katika kutatua kero hiyo. Na.  Bernad Magawa Wakulima wa mpunga wilayani Bahi Wameilalamikia tume ya umwagiliaji kwa kushindwa kuwarekebishia miundombinu ya kilimo kwa miaka miwili…

31 October 2023, 10:49 am

Wakandarasi watakiwa kuzingatia matakwa ya jiji la Dodoma

Huu ni mpango wa Uboreshaji wa Miundombinu katika miji ya Tanzania ujulikanao kama TACTIC  unaofanywa na wakandarasi watatu. Na Fred Cheti. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe Rosemary Senyamule amewataka wakandarasi waliopewa miradi ya kujenga miundombinu ya barabara katika jiji…

30 October 2023, 2:09 pm

Bahi Sokoni waanza utaratibu wa kusoma mapato na matumizi

kupitia  mkutano huo elimu mbalimbali zilitolewa ikiwemo suala la ukatili wa kijinsia. Na. Bernad Magawa. Kijiji cha Bahi Sokoni wilayani Bahi kimeanza kutekeleza kwa vitendo agizo la Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Bahi Zaina Mlawa alilolitoa  hivi karibuni…

30 October 2023, 2:08 pm

Benvenuti a Teknogame Casino!

Indice dei Contenuti Siete pronti a scoprire un mondo di emozioni e vincite incredibili? TeknoGame Casino è il posto giusto per voi! In questo articolo, vi guideremo attraverso tutto ciò che c’è da sapere su come giocare al nostro casinò…

30 October 2023, 12:20 pm

Umbali mrefu chanzo wanafunzi kukatisha masomo Mbandee

Kupitia mradi wa BOOST umeendelea kuimarisha elimu msingi kwani takribani shilingi trilioni moja zimejenga madarasa ya shule za msingi 9,705 na kukarabati shule za msingi kongwe kwa mwaka wa fedha 2022/23. Na Mindi Joseph. Umbali mrefu wanaotembea wanafunzi wa kitongoji…

30 October 2023, 11:32 am

Wasanii watakiwa kutumia nyimbo kuelimisha jamii

Uimbaji ni moja ya sanaa pendwa ambapo wapo baadhi ya watu ambao wameweza kujiajiri kupitia sanaa hiyo pamoja na kutoa eleimu kwa jamii kukemea vitendo mbalimbali na kuburudisha. Na Thadei Tesha. Kufuatia kuhitimishwa kwa siku ya sanaa duniani wasanii wa…

25 October 2023, 2:02 pm

Ufahamu uhuru wa matumizi ya kipato

Baadhi ya jamii bado zinaamini mila na desturi kamdamizi kuwa mwanaume ni kilakitu katika familia . Na Mariam Matundu. Je uhuru wa matumizi ya kipato ninini? Je nini kinapelekea baadhi ya wanaume kuwanyima wake au wenza wao uhuru wa kutumia…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger