Recent posts
17 January 2024, 07:42
Wananchi watakiwa kuchukua tahadhari ugonjwa wa macho mekundu
Kwa Mujibu wa taarifa hiyo ya Mkurugenzi wa huduma za tiba kutoka wizara ya Afya Profesa Ruggajo Katika kipindi cha Desembe 22, 2023 hadi Januari 11, 2024 kumekuwa na ongezeko kubwa la watu wanaosumbuliwa Akitolea Mfano mkoa wa Dar Es…
15 January 2024, 21:13
Matumizi ya vyoo visivyo bora yatajwa kuchangia maambukizi ya kipindupindu
Pia inaelezwa kuwa ili mtu apate kipundupindu ni lazima awe amekula chakula au maji yaliyochafuliwa na vimelea vya ugonjwa huo . Na Yussuph Hassan.Ikiwa ni mwendelezo wa kutazama namna jamii inavyoweza kujikinga na magojwa ya mlipuko hasa kipindupindu, inaelezwa kuwa…
15 January 2024, 20:56
Familia yakumbwa na taharuki vitisho vya kuvunjiwa nyumba yao
Kesi hiyo kwa sasa ipo katika ofisi za ardhi za halmsahauri ya jiji la Dodoma ambapo Dodoma Tv Itaendelea kufatilia sakata hilo ili kujua hatma yake. Na Fred Cheti.Familia moja katika kijiji cha Vikonje Wilaya ya Dodoma Mjini Mkoani Dodoma…
15 January 2024, 20:28
Jiji la Dodoma laendeleza jitihada za kupambana na udumavu
Tafiti hizi zinafanyika kwa mujibu wa Sheria ya Takwimu sura 351 ambayo inaipa mamlaka ya Kisheria ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) kufanya tafiti mbalimbali za Kitakwimu. Na Alfred Bulahya.Imeelezwa kuwa mkoa wa Dodoma bado unakabiliwa na tatizo la udumavu…
11 January 2024, 19:58
Nini hupelekea mwanamke kujifungua watoto pacha.
Daktari Halima pamoja na wataalamu wengine wa afya wanawashauri akina mama kuwa na utaratibu wa kuhudhuria kliniki ili kuweza kujifunza mambo mbalimbali ikiwemo suala hili. Na Thadei Tesha.Kufuatia hivi karibuni Mwanamke mmoja kujifungua watoto mapacha wanne katika hospitali ya Mkoa…
11 January 2024, 19:20
TCDC yazindua kampeni ya upandaji miti kwa vyama vya ushirika
Tume hiyo inasimamia vyama vya ushirika nchini na vilivyopo hadi sasa ni 7400 na zoezi hilo litafanyika nchi nzima. Na Fred Cheti. Kampeni ya upandaji miti kwa vyama vya ushirika imezinduliwa na Tume ya Maendeleo ya Ushirika (TCDC) ili kuunga…
11 January 2024, 18:58
Washiriki 1,707 wajiandikisha kushiriki utoaji maoni
Baada ya hapo, kamati hiyo itachambua maoni hayo yaliyopokewa. Na Seleman Kodima.Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria, Joseph Mhagama amesema jumla ya washiriki 1,707 wamejiandikisha kwenye ushiriki wa utoaji maoni. Pia, taasisi za kidini,…
11 January 2024, 18:34
Mitaro inayopitisha maji yakwamisha shughuli za wakazi wa Ihumwa A
Ni miaka miwili sasa Wananchi wa Mtaa wa Ihumwa A jijini Dodoma wanalalamikia mchangamoto hiyo licha ya juhudi kubwa iliyofanywa mwaka jana na kampuni ya Ujenzi wa Reli ya Kisasa ya Yap Markez kuchimba mtaro huo. Na Victor Chigwada.Wakazi wa…
10 January 2024, 00:04
Ajira katika umri Mdogo zinavyo kwamisha ndoto za mabinti
Kama mwajiri atatoa madai kwamba hakufahamu kwamba mtu aliyemuajiri ni mtoto wakati wa kumpa ajira au kudai kupewa taarifa zisizo sahihi watakua na wajibu wa kuthibitisha kua ilikua sahihi kwa wao au mtu mwingine yeyote mwenye akili timamu kuamini kwamba…
9 January 2024, 23:38
Wananchi wahimizwa kushiriki uchaguzi wa serikali za mitaa
Uchaguzi wa viongozi mbalimbali wa serikali za mitaa unatarajia kufanyika mwaka huu huku wananchi wakiendelea kusisitizwa suala la kushiriki katika kuchagua viongozi sahihi. Na Thadei Tesha. Mkuu wa wilaya ya Dodoma mh. Jabir Shekimweri amewataka wananchi jijini Dodoma kushiriki kikamilifu…