

14 December 2020, 2:56 pm
Na,Mindi Joseph, Dodoma. Utabiri wa hali ya hewa nchini umetajwa kuwasaidia wakulima katika kukabiliana na mabadiliko ya Tabianchi yanayojitokeza katika msimu wa Kilimo.Wakizungumza na Taswira ya habari baadhi ya wakulima katika kata ya Hombolo jijini Dodoma wamesema kuwa utabiri huo…
14 December 2020, 2:40 pm
Na Thadey Tesha, Dodoma. Wadau wa kilimo nchini wameshauriwa kuwa na mazoea ya kuwatembelea wakulima mara kwa mara kwa lengo la kuwapa elimu ili kuongeza kasi ya uzalishaji wa chakula nchini.Hayo yamesemwa na afisa kilimo wa Mkoa wa Dodoma Bw.Benard…
14 December 2020, 10:43 am
Younde, Cameroon. Cameroon sasa wako tayari kuwa mwenyeji wa CHAN 2020 baada ya Kamati ya Utendaji ya CAF kuidhinisha miundombinu yake kutoka kwa ukaguzi wa mwisho ulioongozwa na Baf Anthony Baffoe, Naibu Katibu Mkuu anayehusika na mpira wa miguu na…
14 December 2020, 9:52 am
Dar Es Salaam. Kamisheni ya ngumi za kulipwa Tanzania TPBRC imeandaa mapambano kabambe ya ngumi ya kuanza mwaka. Mapambano hayo yanatarajiwa kufanyika siku ya Valentine Februari 14,2021 katika ukumbi wa Viwanja vya Sabasaba jijini Dar Es Salaam. Mratibu wa mapambano…
12 December 2020, 10:56 am
Jeddah, Saudi Arabia. Klabu ya Al-Ittihad imethibitisha kuwa mshambuliaji wake raia wa Uganda Emmanuel Okwi ataukosa mchezo wa leo wa kwanza wa Ligi Kuu nchini Misri dhidi ya Pyramids Fc kutokana na kukutwa na maambukizi ya virusi vya Corona vinavyosababisha…
12 December 2020, 10:42 am
Johanesburg, Afrika Kusini. Kocha Mkuu wa Timu ya taifa ya Zambia Milutin Sredojevic ‘Micho’ amekana mashtaka ya unyanyasaji wa kijinsia nchini Afrika Kusini. Kocha huyo mkongwe barani Afrika, mwenye umri wa miaka 51 alipandishwa katika Mahakama huko New Brighton jana…
10 December 2020, 2:51 pm
Na Zakia Ndulute, Dodoma. Mkazi wa Dabalo Wilaya ya Chamwino Bw.Msafiri Samson (38) na Samwel Msafiri (33) leo wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Dodoma kwa shitaka la kujeruhi kitendo ambacho ni kosa kisheria.Wakisomewa shitaka lao mbele…
10 December 2020, 2:33 pm
Na,Mindi Joseph, Dodoma. Imeelezwa kuwa gharama kubwa za upatikanaji wa mbegu za zao la mihogo Mkoani Dodoma imechangia baadhi ya wakulima kukata tamaa kulima zao hilo.Wakizungumza na Taswira ya habari baadhi ya wakulima kutoka Hombolo Bwawani Mkoani Dodoma wamebainisha kuwa…
10 December 2020, 9:26 am
Kocha mkuu wa klabu Bingwa Tanzania Bara Simba SC Sven Vandenbroeck amefurahishwa na jinsi kikosi chake kilivyocheza dhidi ya Polisi Tanzania kwenye mchezo wa Ligi Kuu jana usiku (Desemba 09), Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es salaam.Kwenye mchezo huo uliokua…
8 December 2020, 3:14 pm
Na Pius Jayunga. Rais wa Zanzibar na mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dr.Hussen Ali Mwinyi amemwapisha makamu wa kwanza wa Rais Mh.Maalimu Seif Sharif Hamad na kuwataka viongozi wa vyama vya siasa pamoja na wananchi kuunguna pamoja kuyaendeleza maridhiano.Rais. Dr.…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-