Dodoma FM

Recent posts

4 December 2020, 8:07 am

Barcelona hali tete kiuchumi

Barcelona, Hispania. Rais wa mpito wa klabu ya Barcelona Carlos Tusquets ameonya kuwa hali ya kifedha kwa sasa ni mbaya na inatia wasiwasi. Kiongozi huyo aliyechukua mahala pa Josep Maria Bartomeu aliyejiuzulu mwezi Oktoba amesema klabu inapaswa ingekuwa imemuuza Messi.…

3 December 2020, 3:31 pm

Afikishwa mahakamani kwa kukutwa na dawa za kulevya

Na,Zakia Ndulute, Dodoma. Mkazi wa Mkalama ‘A’ jijini Dodoma ENOCK JOHN [24] leo amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Dodoma kwa shitaka la kukutwa na madawa ya kulevya.Akisomewa shitaka lake mbele ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Dodoma…

3 December 2020, 3:18 pm

Jamii yaaswa kuacha unyanyapaa kwa watu wenye ulemavu

Na Alfred Bulahya, Dodoma. Tume ya haki za binadamu na utawala bora (THBUB) imewataka wananchi kuachana na mila,desturi pamoja na mitazamo potofu ambayo huwafanya watu wenye ulemavu kuvunjika moyo na kujiona hawana mchango kwa jamii.Hayo yamebainishwa leo jijini Dodoma na…

3 December 2020, 2:56 pm

ANSAF:Asilimia 10 pekee ya vijana yajihusisha na kilimo nchini kati ya 65

Na,Mariam Matundu, Dodoma. Sekta ya kilimo ,viwanda na miundombinu zimetajwa kuwa na ufanisi wa kutosha katika kuondoa umasikini na njaa ukilinganisha na sekta zingine za kiuchumi hapa nchini.Kauli hiyo imetolewa na waziri mkuu mstaafu Mizengo Pinda wakati akihutubia katika mkutano…

2 December 2020, 10:51 am

Mchakato wa Mabadiliko Yanga wafikia pazuri

Dar es Salaam. Meneja wa mchakato wa mabadiliko ya mfumo wa uendeshaji wa klabu ya Yanga SC,injinia Hersi Said akiambatana na kamati ya Mabadiliko ya Yanga, leo Jumatano Desemba. 2, 2020 wamekabidhi rasimu ya awali ya mchakato wa mabadiliko kwa…

2 December 2020, 9:56 am

Wakulima washauriwa kupanda mbegu zinazokomaa mapema

Na Benard Filbert, Dodoma. Kufuatia kunyesha kwa mvua za wastani mwaka huu wakulima Mkoani Dodoma wamehimizwa kutumia mbegu zinazokomaa kwa muda mfupi hali itakayowasaidia kuepuka kupata mavuno hafifu. Wito huo umetolewa na mkuu wa idara ya kilimo kutoka Mji wa…

2 December 2020, 8:38 am

Wananchi Wilayani Kongwa wanavyoshiriki kutunza mazingira

Na Selemani Kodima Dodoma. Ushirikiano wa wananchi na Uongozi wa Kijiji cha Sejeli Wilaya ya Kongwa Mkoani Dodoma umetajwa kama njia inayoweza kukomesha uharibifu wa mazingira hususani ukataji wa Miti hovyo. Hayo yanajiri baada ya hivi karibuni Uongozi wa Kijiji…

1 December 2020, 6:54 am

Ukosefu wa elimu ya jinsia unavyochangia maambukizi ya vvu kwa vijana

Na,Mariam MatunduDodoma.Ukosefu wa elimu ya jinsia kwa vijana kuanzia ngazi ya familia inatajwa kuwa miongoni mwa sababu zinazopelekea takUwimu za maambukizi ya virusi vya ukimwi kwa vijana kuwa juu kuliko kundi lolote. Akizungumza na Taswira ya habari mtaalamu wa afya…

1 December 2020, 6:20 am

Ukarabati wa skimu za Kilimo Ruaha wafikia asilimia 60

Na,Mindi Joseph Ukarabati wa miundombinu inayopeleka maji katika skimu za kilimo cha umwagiliaji Ruaha Mbuyuni, Namagozi na Mlenge Pawaga Mkoani Iringa iliyoharibiwa na mafuriko katika msimu wa mvua zilizopita umekamilika kwa Asilimia (60%). Akizungumza katika ofisi za Tume ya Taifa…

30 November 2020, 7:22 am

Ukosefu wa sera ya unywaji pombe wachangia kuzorotesha uchumi

Kutokuwepo kwa sera madhubuti zinazohusu masuala ya unywaji pombe kupita kiasi kumechangangia kushindwa kufanyika kwa shughuli za kiuchumi kutokana na baadhi ya watumiaji wa vinywaji vikali kuendekeza unywaji kupita kiasi.Hayo yamesemwa Jijini Dodoma na Mwenyekiti wa Mtandao wa mashirika ya…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger