Recent posts
24 January 2024, 21:29
Serikali kuanza ujenzi wa minara 758 ya mawasiliano vijijini
Kampeni hiyo inatekelezwa katika Mikoa yote 26 ya Tanzania Bara, ambapo viongozi wa mikoa husika watashirikiana na UCSAF katika utekelezaji.. Na Mariam Kasawa. Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Moses Nnauyeleo tarehe 24 Januari, 2024 amezindua…
23 January 2024, 20:44
Wazazi, walezi watakiwa kuacha kushinikiza watoto kujifelisha mitihani
Hata hivyo changamoto hiyo imekuwa ni kubwa kwa baadhi ya wazazi kuwataka watoto wao kutofanya vizuri katika mitihani yao mwisho. Na Victor ChigwadaJamii imetakiwa kuachana na dhana potofu ya kuwakatisha watoto wao masomo kwa kuwawekea shinikio la kujifelisha mitahani yao…
23 January 2024, 20:00
Aweso aitaka Duwasa kumaliza tatizo la maji UDOM
Kwa mujibu wa makamu mkuu wa chuo kikuu cha Dodoma UDOM anasema chuo hicho kinakadiriwa kuwa na wanafunzi takribani elfu 36 hivyo kuchangia ongezeko la uhitaji wa huduma ya maji katika chuo hicho. Na Thadei Tesha.Waziri wa maji mh Juma…
23 January 2024, 19:32
Wananchi watakiwa kufahamu sheria za utatuzi wa migogoro
Maonesho ya wiki ya sheria yanatarajia kuanza kesho januari 24 jijini dodoma na ufunguzi huo utafanywa na Spika wa bunge la jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Tulia Akson huku kilele chake kikiwa januari 31 na mgeni Rasmi akitarajiwa kuwa…
18 January 2024, 09:23
Wakulima wakosa elimu ya upimaji wa Udongo
Kata ya Handali ni wananchi 5 pekee ndio waliweza kukamilisha zoezi la upimaji udongo wa mashamba yao licha ya kipimo hicho kufanyika bure bila malipo katika ofisi za Wilaya ya Chamwino. Na Victor Chigwada. Imeeezwa kuwa wakulima wengi wamekosa elimu…
18 January 2024, 08:56
Yafahamu madhara ya ugonjwa wa kipindupindu
Yafahamu madhara ya ugonjwa wa Kipindupindu endapo mtu atabainika kuwa na ugonjwa huo. Na Yussuph Hassan.Tukiwa katika muendelezo wa kupata elimu juu ya ugonjwa wa kipindupindu na leo tunafahamu madhara ya ugonjwa huo endapo mtu akibainika kuwa na kipindupindu. Afisa…
18 January 2024, 08:44
Kongwa watakiwa kushiriki katika utunzaji wa mazingira
Zoezi la upandaji miti limehusisha kamati ya usalama ya Wilaya, Wakuu wa Divisheni na Vitengo, wananchi na watumishi ambapo Mhe. Mayeka alipanda mti kama ishara ya uzinduzi wa zoezi. Na Alfred Bulahya.Mkuu wa Wilaya ya Kongwa Mhe. Mayeka Simon Mayeka…
18 January 2024, 08:25
Mwanafunzi afariki kwa kugongwa na gari katika kivuko
Siku ya Jumapili Mtoto Abia akiwa na wenzake Sita Majira ya Saa tisa mchana wakiwa wanatoka kanisani aligongwa na gari wakati akijaribu kuvuka na mtoto mwingine aitwae Maria ambae yeye alifariki papo hapo. Na Fred Cheti.Hatimae Mazishi ya Mtoto Abia…
17 January 2024, 08:50
Mambo ya kuzingatia kuepuka kipindupindu
Jamii imekumbushwa kuendelea kunawa na maji tiririka pindi wanapotoka maliwato ili kujilinda na kujikinga na maradhi hayo. Na Yussuph Hassan.Ikiwa tunaendelea kuelimisha Jamii kuhusu Ugonjwa wa Kipindupindu, Jamii imesisitizwa kuhakikisha wanajenga na kutumia Vyoo bora ili kupekuna na ugonjwa wa…
17 January 2024, 08:13
Upungufu wa walimu Chididimo wadidimiza elimu ya msingi
Ninini Mchakato wa serikali juu ya changamoto ya upungufu wa walimu katika shule hii. Na Thadei Tesha.Upungufu wa walimu katika shule ya msingi Chididimo iliyopo jijini Dodoma Imetajwa kama moja ya kikwazo kinacho sababisha wananfunzi kushindwa kusoma ipasavyo. Hini shule…