Dodoma FM

Recent posts

17 August 2021, 11:19 am

Nchi za Afrika zimeshauriwa kuwa na umoja ili kuepuka machafuko

Na; Benard Filbert. Kufuatia machafuko makubwa katika nchi ya Afghanistan kati ya vikosi vya wanamgambo wa Taliban dhidi ya serikali, nchi za afrika zimeshauriwa kuwa na umoja ili kuepusha kujitokeza kwa hali kama hiyo. Hayo yameelezwa na mhadhiri na mchambuzi…

16 August 2021, 1:33 pm

Jamii yaombwa kumsaidia mtoto Feisal

Na; Mariam Matundu. Jamii imeombwa kumsaidia mtoto faisal ambae amezaliwa na uleamvu kupata bima ya afya na mahitaji mengine muhimu kwa kuwa anaishi katika mazingira magumu. Mtoto faisal anaishi na mama yake huku baba mzazi wa mtoto huyo hajulikani alipo,mwandishi…

16 August 2021, 1:21 pm

Maafisa biashara watakiwa kuzingatia utoaji bora wa huduma

Na;Mindi Joseph. Maafisa Biashara wametakiwa kuzingata Utoaji wa huduma bora ili kuchangia wafanyabiashara kurasimisha biashara zao na kuingia katika zama za ushindani wa kibiashara. Akizungumza leo jijini Dodoma katika ufunguzi wa mafunzo ya maafisa bisahara Afisa Mtendaji Mkuu BRELA Bw.…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger