Dodoma FM

Recent posts

24 January 2024, 21:29

Serikali kuanza ujenzi wa minara 758 ya mawasiliano vijijini

Kampeni hiyo inatekelezwa katika Mikoa yote 26 ya Tanzania Bara, ambapo viongozi wa mikoa husika watashirikiana na UCSAF katika utekelezaji.. Na Mariam Kasawa. Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Moses Nnauyeleo tarehe 24 Januari, 2024 amezindua…

23 January 2024, 20:44

Wazazi, walezi watakiwa kuacha kushinikiza watoto kujifelisha mitihani

Hata hivyo changamoto hiyo imekuwa ni kubwa kwa baadhi ya wazazi kuwataka watoto wao kutofanya vizuri katika mitihani yao mwisho. Na Victor ChigwadaJamii imetakiwa kuachana na dhana potofu ya kuwakatisha watoto wao masomo kwa kuwawekea shinikio la kujifelisha mitahani yao…

23 January 2024, 20:00

Aweso aitaka Duwasa kumaliza tatizo la maji UDOM

Kwa mujibu wa makamu mkuu wa chuo kikuu cha Dodoma UDOM anasema chuo hicho kinakadiriwa kuwa na wanafunzi takribani elfu 36 hivyo kuchangia ongezeko la uhitaji wa huduma ya maji katika chuo hicho. Na Thadei Tesha.Waziri wa maji mh Juma…

23 January 2024, 19:32

Wananchi watakiwa kufahamu sheria za utatuzi wa migogoro

Maonesho ya wiki ya sheria yanatarajia kuanza kesho januari 24 jijini dodoma na ufunguzi huo utafanywa na Spika wa bunge la jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Tulia Akson huku kilele chake kikiwa januari 31 na mgeni Rasmi akitarajiwa kuwa…

18 January 2024, 09:23

Wakulima wakosa elimu ya upimaji wa Udongo

Kata ya Handali ni wananchi 5 pekee ndio waliweza kukamilisha zoezi la upimaji udongo wa mashamba yao licha ya kipimo hicho kufanyika bure bila malipo katika ofisi za Wilaya ya Chamwino. Na Victor Chigwada. Imeeezwa kuwa wakulima wengi wamekosa elimu…

18 January 2024, 08:56

Yafahamu madhara ya ugonjwa wa kipindupindu

Yafahamu madhara ya ugonjwa wa Kipindupindu endapo mtu atabainika kuwa na ugonjwa huo. Na Yussuph Hassan.Tukiwa katika muendelezo wa kupata elimu juu ya ugonjwa wa kipindupindu na leo tunafahamu madhara ya ugonjwa huo endapo mtu akibainika kuwa na kipindupindu. Afisa…

18 January 2024, 08:44

Kongwa watakiwa kushiriki katika utunzaji wa mazingira

Zoezi la upandaji miti limehusisha kamati ya usalama ya Wilaya, Wakuu wa Divisheni na Vitengo, wananchi na watumishi ambapo Mhe. Mayeka alipanda mti kama ishara ya uzinduzi wa zoezi. Na Alfred Bulahya.Mkuu wa Wilaya ya Kongwa Mhe. Mayeka Simon Mayeka…

18 January 2024, 08:25

Mwanafunzi afariki kwa kugongwa na gari katika kivuko

Siku ya Jumapili Mtoto Abia akiwa na wenzake Sita Majira ya Saa tisa mchana wakiwa wanatoka kanisani aligongwa na gari wakati akijaribu kuvuka na mtoto mwingine aitwae Maria ambae yeye alifariki papo hapo. Na Fred Cheti.Hatimae Mazishi ya Mtoto Abia…

17 January 2024, 08:50

Mambo ya kuzingatia kuepuka kipindupindu

Jamii imekumbushwa kuendelea kunawa na maji tiririka pindi wanapotoka maliwato ili kujilinda na kujikinga na maradhi hayo. Na Yussuph Hassan.Ikiwa tunaendelea kuelimisha Jamii kuhusu Ugonjwa wa Kipindupindu, Jamii imesisitizwa kuhakikisha wanajenga na kutumia Vyoo bora ili kupekuna na ugonjwa wa…

17 January 2024, 08:13

Upungufu wa walimu Chididimo wadidimiza elimu ya msingi

Ninini Mchakato wa serikali juu ya changamoto ya upungufu wa walimu katika shule hii. Na Thadei Tesha.Upungufu wa walimu katika shule ya msingi Chididimo iliyopo jijini Dodoma Imetajwa kama moja ya kikwazo kinacho sababisha wananfunzi kushindwa kusoma ipasavyo. Hini shule…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger