Recent posts
9 August 2021, 1:31 pm
Kata ya Hogoro , wilayani Kongwa yakabiliwa na uhaba wa wodi za wazazi na upung…
Na ;Victor Chigwada. Wananchi wa Kata ya hogoro wanakabiliwa na changamoto ya uhaba wa wodi za wazazi pamoja na wahudumu afya na kuomba wadau kwa kushirikiana na serikali kuwaasaiidia kutatua adha hiyo. Baadhi ya wananchi hao wakizungumza na taswira ya…
9 August 2021, 1:08 pm
Serikali yaanza ukarabati wa miundombinu ya barabara katika kata ya Mtanana
Na; Benard Filbert. Diwani wa kata ya Mtanana wilaya ya Kongwa Bwana Joel Musa ameishukuru serikali kuridhia kukarabati miundombinu ya barabara hali itakayochagiza maendeleo katika kata hiyo. Amesema hayo wakati akizungumza na taswira ya habari kuhusu kuanza kutekelezwa kwa ukarabati…
9 August 2021, 12:44 pm
KILIMO HIMILIVU NGUZO YA UZALISHAJI KWA WAKULIMA
Na,Mhindi Joseph Dodoma Tanzania Tanzania ni Miongoni mwa nchi inayokabiliwa na mabadiliko ya tabianchi kwani Asilimia 1 ya pato la Taifa inatajwa kupotea kila mwaka kutokana na mabadiliko ya tabia nchi huku ikikadiriwa kuwa watu milioni 1.6 wanaoishi ukanda wa…
6 August 2021, 12:11 pm
Jamii yatakiwa kutumia teknolojia za kisasa katika mapishi nyumbani ili kuepusha…
Na; Benard Filbert. Jamii inashauriwa kutumia teknolojia za kisasa katika matumizi ya kupika nyumbani na kuepuka kuharibu mazingira kitu ambacho ni hatari katika mabadiliko ya tabia ya Nchi. Hayo yameelezwa na Marry Stanley kutokea taasisi ya Tanzania Traditional Energy Development…
6 August 2021, 11:50 am
Madiwani wa Dodoma mjini watakiwa kuyaenzi mafanikio waliyo yakuta
Na; Shani Nicolous. Wito umetolewa kwa madiwani wa kata zote za Wilaya ya Dodoma mjini kuyaenzi mafanikio waliyoyakuta katika jiji na namna yakuendeleza uchumi hasa katika zao la zabibu. Wito huo umetolewa hivi karibuni na Mkuu wa Wilaya ya Dodoma…
6 August 2021, 9:59 am
Kwa mujibu wa tafiti zilizo fanywa 2018 asilimia 31.8 ya watoto Nchini wakabiliw…
Na;Mindi Joseph . Ikiwa ni Maadhimisho ya wiki ya unyonyeshaji Maziwa ya mama Duniani asilimia 31.8 ya watoto nchini wametajwa kuwa na udumavu kwa mujibu wa utafiti wa hali ya lishe mwaka 2018. Hayo yamebainishwa leo na Mratibu wa Lishe…
4 August 2021, 12:10 pm
Wazee Nchini washauriwa kutumia fursa ya chanjo ili kuimarisha kinga dhidi ya mi…
Na; Mariam Matundu. Wazee nchini wameshauriwa kutumia fursa ya chanjo dhidi ya ugonjwa unaosababishwa na Virusi vya Korona UVIKO 19 ili kuimarisha kinga ya miili yao kipindi hiki ambacho Serikali imewapa kipaumbele. Wito huo umetolewa na Katibu Mkuu Wizara ya…
4 August 2021, 10:46 am
Jamii imetakiwa kufichua mimba za utotoni ili kumkomboa mtoto wa kike
Na;Benard Filbert. Jamii imeombwa kutokufumbia macho na badala yake kufichua vitendo vya mimba za utotoni ili kuepusha kumkosesha haki za msingi mtoto wa kike. Wito huo umetolewa na afisa maendeleo kutoka ofisi ya mkuu wa mkoa wa Dodoma Bi Onalatha…
4 August 2021, 10:14 am
Wakazi wa Dodoma watakiwa kupuuza taarifa za upotoshaji kuhusu chanjo ya uviko 1…
Na;Yussuph Hans. Wakazi Mkoani Dodoma wametakiwa kuhakikisha watumia vyema fursa ya kupata chanjo ya Uviko-19 na kupuuzia taarifa za upotoshaji kutoka katika mitandao ya kijamii na za mtaani. Wito huo umetolewa mapema leo na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mh…
4 August 2021, 9:51 am
Shule ya msingi sokoni wilayani Bahi yakabiliwa na upungufu wa matundu ya vyoo
Na; Mariam Matundu. Kukosekana kwa vyoo bora na rafiki kwa Wanafunzi wenye ulemavu katika shule ya msingi Sokoni wilayani Bahi umesababisha wanafunzi kushindwa kujisitiri pale wanapohitaji kutumia vyoo hivyo. Wanafunzi hao Wamesema wamekuwa wakipata magonjwa ya kichocho hasa kwa wanafunzi…