Dodoma FM

Recent posts

11 October 2023, 10:46 am

Jamii yaeleza inavyojihusisha kumkomboa mtoto wa kike

Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa tarehe 19 Desemba 2011 ulipitisha Azimio na kutangaza kwamba, kila tarehe 11 Mwezi Oktoba itakuwa ni Siku ya Kimataifa ya Mtoto wa Kike Duniani kote, dhamira ikiwa ni kutambua haki za mtoto wa kike…

11 October 2023, 9:43 am

Serikali kuendelea kushirikiana na wadau binafsi kuboresha elimu

Serikali itaendelea kushirikiana kwa karibu na Taasisi binafsi katika kuboresha Mfumo wa Elimu nchini. Na Thadei Tesha. Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe. Prof. Adolf Mkenda  amesema Serikali itaendelea kushirikiana kwa karibu na Taasisi binafsi katika kuboresha Mfumo wa…

11 October 2023, 9:04 am

BMH kuanzisha upasuaji wa moyo kwa watu wazima

Katika kuadhimisha Miaka 8 ya Mafanikio Hospitali ya Benjamin Mkapa zaidi ya wananchi 100 wamepatiwa huduma ya Nyonga na kupunguza gharama na usumbufu. Na Mindi Joseph. Katika kuadhimisha miaka 8 Hospitali ya Benjamin Mkapa inatarajia kuanzisha huduma za upasuaji wa…

9 October 2023, 8:36 pm

Viongozi watakiwa kuacha kutumia nguvu za giza

Wito huo umetolewa na Askofu wa Kanisa la Pentecoste Christian International Thomas Kiula wakati wa tukio la Uzinduzi wa kanisa jipya na kumsimika Uchungaji wa kanisa hilo linalopatikana mtaa Ndachi kata ya Mnadani Dodoma Mjini. Na Seleman Kodima. Viongozi wametakiwa…

9 October 2023, 8:16 pm

Vilindoni yakabiliwa na upungufu wa matundu ya vyoo

Shule zinapaswa pamoja na mambo mengine kuwa na vyoo bora na vya kutosha kwa walimu na wanafunzi. Na Mindi Joseph. Shule ya Msingi Vilindoni inakabiliwa na uhaba wa matundu ya vyoo 15. Shule hiyo inajumla ya matundu 9 ya vyoo…

9 October 2023, 9:27 am

Vijana watakiwa kutambua umuhimu wa sekta ya kilimo

Taasisi ya kuboresha Mifumo ya Masoko ya Kilimo Tanzania AMDT Leo imewakutanisha Wadau mbalimbali kutoka sekta ya Umma, wawakilishi kutoka mashirika mbalimbali na vijana katika Mdahalo wa kuibua changamoto zinazowakabili vijana ili kupata majibu sahihi. Na Mariam Kasawa. Vijana wametakiwa…

28 September 2023, 10:40 pm

Madarasa mapya kupunguza msongamano wa wanafunzi Makulu

Ujenzi wa Madarasa Matano katika shule ya Dodoma Makulu tayari umekamilika huku ushiriki wa wananchi katika ujenzi huo ukitajwa kuwa mkubwa. Na Mindi Joseph. Shilingi milion 100 zimetumika katika ujenzi wa madarasa 5 katika shule ya msingi Dodoma Makulu na…

28 September 2023, 9:44 pm

Mlebe waiomba serikali kukarabati barabara

Ubovu wa miundombinu ya barabara umekuwa ukikwamisha shughuli za uchumi kwa wananchi kwani wanashindwa kusafiri kutoka sehemu moja kwenda nyingine. Na Mindi Joseph. Wananchi wa Kijiji cha Mlebe Wilayani Chamwino wameiomba serikali kuwakarabatia barabara inyaounganisha kijiji hicho na Mjini ili…

28 September 2023, 4:42 pm

MCT yakiri kukinzana kwa sheria ya matumizi sahihi ya mitandao

Hali hiyo imekuwa ikikinzana  na Sheria ya haki ya kupata Taarifa  ambayo inatoa wigo kwa wananchi kuwa huru kupata taarifa ambazo hazijazuiliwa kisheria. Na Seleman Kodima. Pamoja na Serikali kuhimiza Matumizi sahihi ya Mitandao ya kijamii, Baraza la Habari Tanzania…

28 September 2023, 2:47 pm

Wadau wa tasnia ya Maziwa Nchini watakiwa kupunguza bei ya maziwa

Serikali kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi imewaomba wadau wa tasnia ya maziwa nchini kupunguza bei ya maziwa ya Shs 1800 kwa nusu lita ili Mpango wa Unywaji Maziwa kwa watoto wote shuleni ufikie malengo. Kauli hiyo imetolewa jana kwenye…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger