Recent posts
21 December 2023, 16:23
Mila, desturi zachangia kumnyima mwanamke haki ya kumiliki mali
Mila na desturi zimetajwa kuchangia kumnyima mwanamke haki ya kumiliki mali hali inayomrudisha nyuma kimaendeleo na kuchochea vitendo vya ukatili wa kijinsia . Na Mariam Matundu.Mariam Matundu amezungumza na mwanasheria kutoka Chama Chama Wanasheria Wanawake TAWLA Neema Ahmed ana anaanza…
20 December 2023, 16:43
Mrundikano wa taka soko la samaki Bonanza wahatarisha afya za wananchi
kwa mujibu wa wafanyabiashara wa soko hili wanadai ni muda mrefu tangu kuanza ujenzi wa soko hili na iwapo litakamilika linatarajiwa kupunguza athari mbalimbali wanazopitia wafanyabiashara hao. Na Thadei TeshaWafanyabiashara wa soko la Bonanza Jijini Dodoma wameulalamikia uongozi wa Jiji…
20 December 2023, 15:16
Chinuguli waomba kuongezewa Nguzo za umeme
Licha ya shughuli za ufungwaji wa nyaya za umeme kuendelea katika kijiji hicho lakini huduma haionekani kuwa rafiki kwa wananchi. Na Victor Chigwada . Wananchi wa Kata ya Chinuguli Wilaya ya Chamwino wameiomba Serikali kuwaongzea idadi ya nguzo za…
20 December 2023, 14:31
Jiji la Dodoma kutoa milioni 20 katika kituo jumuishi
Kongamano hilo la wadau wa Elimu jumuishi katika Mkoa wa Dodoma limewakutanisha watu mbalimbali wakiwemo maafisa elimu kata ,wazazi ,viongozi wa dini pamoja na wafadhili wa baadhi ya Miradi katika vituo jumuishi vilivyopo jijini hapa huku kauli mbiu katika kongamano…
20 December 2023, 13:46
Waganga wa wilaya watakiwa kutumia vema magari ya yaliyo tolewa na serikali
Ikumbukwe Dodoma ina jumla ya Vituo vya afya 545 ambapo hospitali ni 16,Vituo vya afya 63,zahanati 438 na kliniki maalum 26 . Na Mariam Kasawa. Waganga wakuu wa wilaya wametakiwa kutumia Vyema magari yaliyotolewa na Serikali kwa ajili ya kwenda…
19 December 2023, 06:41
Wafanyabiashara wakiri biashara kuwa ngumu msimu huu wa sikukuu
Watu wanashauriwa kufanya maandalizi mapema ya mahitaji kwa ajili ya kipindi cha sikuku ili kuepuka uwepo wa changamoto mbalimbali ikiwemo bidhaa kupanda bei. Na Aisha Alim. Wafanyabiashara wa nguo pamoja na mapambo ya christmas katika eneo la one way Jijini…
18 December 2023, 21:43
Magonjwa yasiyoambukiza huchangia asilimia 33 ya vifo nchini-WHO
Tanzania ni miongoni mwa nchi ambazo wananchi huathirika zaidi na magonjwa yasiyoambukiza. Na Fred Cheti. Kwa mujibu wa takwimu kutoka Shirika la Afya Duniani (WHO) zinaeleza kuwa magonjwa yasiyoambukiza yanachangia takribani asilimia 33 ya vifo vyote nchini huku takwimu hizo…
18 December 2023, 21:20
Bodaboda ni kundi lenye uhitaji mkubwa wa damu
Elimu ya usalama barabarani kwa Bodaboda bado inaendelea jijini Dodoma huku ikigusa mambo mbalimbali ikiwemo uchangiaji damu, huduma ya kwanza na jamii na tayari elimu hii imekwisha wafikia bodaboda takribani 180. Na Mariam Kasawa. Vijana wametakiwa kutambua kuwa usalama barabarani…
15 December 2023, 07:40
Programu ya makuzi, malezi na maendeleo ya awali ya mtoto yatakiwa kusimamiwa bi…
Mafanikio ya utekelezaji wa programu hiyo kwa takribani miaka 2 tangu uzinduliwe mwaka 2021 hayakuletwa na Serikali pekee. Na Mariam Kasawa.Watekelezaji wa programu Jumuishi ya Taifa ya Malezi,Makuzi na Maendeleo ya Awali ya Mtoto wametakiwa kwenda kusimamia ipasavyo mipango waliyojiwekea…
13 December 2023, 20:59
Wafanyabiashara Sabasaba washukuru kuboreshewa miundombinu ya soko
Soko la sabasaba ni miongoni mwa masoko makubwa na maarufu katika jiji la dodoma ambapo kwa mujibu wa baadhi ya wakaz wa jiji la dodoma wanasema kuwa soko hili linasifika kwa kuuzwa bidhaa za mbogamboga na matunda kwa bei rahii…