Dodoma FM

Recent posts

15 November 2023, 17:07

RUWASA na CBWSO Kondoa kupunguza vyombo vya maji kutoka 44 hadi 10

Mkutano huo utasaidia kuboresha upatikana wa huduma ya maji wilayani humo. Na Nizar Mafita. Wakala Wa Maji Safi Na Usafi Wa Mazingigra  Vijijini  Wilaya Ya Kondoa Kwa Kushirikiana Na Ruwasa   Mkoa Wa Doddoma Pamaoja Na Vyombo Vya Watoa Huduma Ya…

15 November 2023, 15:34

Shule ya msingi Chilanjilizi yalia na uhaba wa walimu wakike

Shule zenye wanafunzi mchanganyiko ni vyema kuwa na walimu wa jinsia zote kwani Watoto wa kike shuleni  wanahitaji uangalizi ili kuwapa ujasiri na uwezo wa kueleza matatizo yanayowakuta wasichana wawapo shuleni. Na Victor Chigwada                 Wananchi wa Kata ya Ngomai wilayani…

13 November 2023, 19:03

Wananchi pigeni vita usafirishaji haramu wa binadamu

Biashara hiyo imekuwa ikisababisha athari  ikiwemo kutumikishwa kwa ujira mdogo na wengine kutolewa baadhi ya viungo bila ridhaa huku utumikishwaji wa majumbani ukitajwa kuwa moja ya mambo yanayowaathiri wasichana wengi. Na Bernad Magawa. Jamii imetakiwa kupiga vita suala la usafirishaji…

13 November 2023, 17:11

DC Mpwapwa abaini upigaji pesa za watumia maji

Sera ya Maji ina inasisitiza miradi ijengwe, iendeshwe na kusimamiwa na wananchi ili ijiendeshe kwa kufanyaa matengenezo kila inapohitajika bila kutegemea ruzuku kutoka serikalini. Na seleman Kodima. Halmashauri ya wilaya ya Mpwapwa imeamua kuziunganisha jumuiya za watumia maji (CBWSO) badala…

13 November 2023, 16:31

Ubakaji, ulawiti kwa watoto wakithiri Dodoma

Ripoti hiyo ni kwa mujibu wa Kituo cha One stop center kwa mwezi Septemba 2023 ambapo takwimu zimebainisha kuwa mkoa wa Dodoma matukio ya ukatili wa kijinsia kwa  watoto 130  kwa matukio ya ubakaji huku watoto 69 wakilawitiwa. Na Seleman…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger