Dodoma FM

Recent posts

9 August 2021, 1:08 pm

Serikali yaanza ukarabati wa miundombinu ya barabara katika kata ya Mtanana

Na; Benard Filbert. Diwani wa kata ya Mtanana wilaya ya Kongwa Bwana Joel Musa ameishukuru serikali kuridhia kukarabati miundombinu ya barabara hali itakayochagiza maendeleo katika kata hiyo. Amesema hayo wakati akizungumza na taswira ya habari kuhusu kuanza kutekelezwa kwa ukarabati…

9 August 2021, 12:44 pm

KILIMO HIMILIVU NGUZO YA UZALISHAJI KWA WAKULIMA

Na,Mhindi Joseph Dodoma Tanzania Tanzania ni Miongoni mwa nchi inayokabiliwa na mabadiliko ya tabianchi kwani Asilimia 1 ya pato la Taifa inatajwa kupotea kila mwaka kutokana na mabadiliko ya tabia nchi huku ikikadiriwa kuwa watu milioni 1.6 wanaoishi ukanda wa…

6 August 2021, 11:50 am

Madiwani wa Dodoma mjini watakiwa kuyaenzi mafanikio waliyo yakuta

Na; Shani Nicolous. Wito umetolewa kwa madiwani wa kata zote za Wilaya ya Dodoma mjini kuyaenzi mafanikio waliyoyakuta katika jiji na namna yakuendeleza uchumi hasa katika zao la zabibu. Wito huo umetolewa hivi karibuni na Mkuu wa Wilaya ya Dodoma…

4 August 2021, 9:51 am

Shule ya msingi sokoni wilayani Bahi yakabiliwa na upungufu wa matundu ya vyoo

Na; Mariam Matundu. Kukosekana kwa vyoo bora na rafiki kwa Wanafunzi wenye ulemavu katika shule ya msingi Sokoni wilayani Bahi umesababisha wanafunzi kushindwa kujisitiri pale wanapohitaji kutumia vyoo hivyo. Wanafunzi hao Wamesema wamekuwa wakipata magonjwa ya kichocho hasa kwa wanafunzi…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger