Recent posts
15 November 2023, 17:07
RUWASA na CBWSO Kondoa kupunguza vyombo vya maji kutoka 44 hadi 10
Mkutano huo utasaidia kuboresha upatikana wa huduma ya maji wilayani humo. Na Nizar Mafita. Wakala Wa Maji Safi Na Usafi Wa Mazingigra Vijijini Wilaya Ya Kondoa Kwa Kushirikiana Na Ruwasa Mkoa Wa Doddoma Pamaoja Na Vyombo Vya Watoa Huduma Ya…
15 November 2023, 16:37
Ugumu wa maisha wapelekea wagonjwa kushindwa kufuata ushauri wa kitaalam
Takwimu zinaonesha kuwa duniani kote chini ya asilimia 50 ya nchi zina será za kitaifa za kufanya mazoezi ya mwili na kati ya hizo ni asilimia 40 ndio zinazofanya kazi ni muda sasa Jamii kuwa na utamaduni wa Kufanya mazoezi…
15 November 2023, 15:34
Shule ya msingi Chilanjilizi yalia na uhaba wa walimu wakike
Shule zenye wanafunzi mchanganyiko ni vyema kuwa na walimu wa jinsia zote kwani Watoto wa kike shuleni wanahitaji uangalizi ili kuwapa ujasiri na uwezo wa kueleza matatizo yanayowakuta wasichana wawapo shuleni. Na Victor Chigwada Wananchi wa Kata ya Ngomai wilayani…
14 November 2023, 18:40
Yafahamu makundi na mgawanyiko wa majukumu ya nyuki kwenye mzinga
Je Maisha ya Nyuki yapoje katika Mzinga. Na Yussuph Hassan. Nyuki wamegawanyika katika aina kuu mbili pamoja na mgawanyo wa majukumu katika kila koloni.Leo Afisa nyuki anatueleza makundi na aina ya majukumu ya nyuki kwenye makoloni yao.
14 November 2023, 17:58
Athari za mabadiliko ya tabia nchi zinavyosababisha kushuka kwa elimu ya wasicha…
Leo tunaangazia jinsi Athari za mabadiliko ya tabia nchi zinavyosababisha kushuka kwa elimu ya wasichana. Na Mariam Matundu. Mariam matundu awali alizungumza na mwanaharakati wa maswala ya mabadiliko ya tabia nchi na haki za wasichana fower malle na ameanza kumuuliza…
14 November 2023, 16:21
Ujenzi wa kituo cha Afya Mlowa barabarani kupunguza adha ya akina mama kujifungu…
Pamoja na uwepo wa Hospitali hiyo ya wilaya lakini bado wana mikakati ya kuboresha zahanati katika kijiji cha Mlodaa. Na Victor Chigwada. Wakazi wa Kata ya Mlowa Barabarani Wilayani Chamwino wamesema ujenzi wa kituo cha afya ndani ya Kata yao…
14 November 2023, 15:29
Kuondolewa kwa sheria ya kushusha mizigo Job Ndugai kwaleta neema kwa wafanyabia…
Wafanyabiashara katika soko kuu la majengo jijini Dodoma pamoja na soko la sabasaba walikuwa wakishusha mizigo yao katika soko la Job Ndugai na katika siku za hivi karibuni Jiji la dodoma liliruhusu wafanyabiashara kushusha mizigo katika masoko yao. Na Khadija…
13 November 2023, 19:03
Wananchi pigeni vita usafirishaji haramu wa binadamu
Biashara hiyo imekuwa ikisababisha athari ikiwemo kutumikishwa kwa ujira mdogo na wengine kutolewa baadhi ya viungo bila ridhaa huku utumikishwaji wa majumbani ukitajwa kuwa moja ya mambo yanayowaathiri wasichana wengi. Na Bernad Magawa. Jamii imetakiwa kupiga vita suala la usafirishaji…
13 November 2023, 17:11
DC Mpwapwa abaini upigaji pesa za watumia maji
Sera ya Maji ina inasisitiza miradi ijengwe, iendeshwe na kusimamiwa na wananchi ili ijiendeshe kwa kufanyaa matengenezo kila inapohitajika bila kutegemea ruzuku kutoka serikalini. Na seleman Kodima. Halmashauri ya wilaya ya Mpwapwa imeamua kuziunganisha jumuiya za watumia maji (CBWSO) badala…
13 November 2023, 16:31
Ubakaji, ulawiti kwa watoto wakithiri Dodoma
Ripoti hiyo ni kwa mujibu wa Kituo cha One stop center kwa mwezi Septemba 2023 ambapo takwimu zimebainisha kuwa mkoa wa Dodoma matukio ya ukatili wa kijinsia kwa watoto 130 kwa matukio ya ubakaji huku watoto 69 wakilawitiwa. Na Seleman…