Dodoma FM

Recent posts

2 August 2021, 1:12 pm

Wachambuzi wa sera watarajia kukutana na wadau wa kilimo

Na; Mariam Matundu. Kikundi cha wachambuzi wa sera na Wadau wa kilimo wanatarajia kukutana katika kongamano la saba la mwaka kujadili masuala mbalimbali yenye lengo la kuongeza tija katika sekta hiyo. Akizungumza na waandishi wa habari mwenyekiti wa kikundi cha…

29 July 2021, 11:25 am

Masinyeti waomba Serikali iwasaidie kujenga zahanati

Na; Alfred Bulahya. Wananchi wa kijiji cha masinyeti Wilayani Kongwa Mkoani Dodoma wameiomba Serikali kuwaunga mkono katika ujenzi wa zahanati ya kijiji ili kuwezesha kupata huduma za afya kijini hapo. Hayo yamebainishwa na wakazi wa kijiji hicho wakati wakizungumza na…

29 July 2021, 9:25 am

Homa ya ini yaelezwa kuua idadi kubwa ya watu Duniani kila mwaka.

Na;Mindi Joseph. Takribani watu 88,4000 hufariki kila mwaka kutokana na matatizo ya homa ya ini kwa mujibu wa Takwimu za shirika la afya Duniani. Kupitia taarifa ya Waziri wa afya maendeleo ya jamii jinsia wazee na watoto iliyotolewa kwa vyombo…

27 July 2021, 1:13 pm

Jamii yatakiwa kujifunza ili kuepusha matukio yanayo tokea

Na; Shani Nicolous. Kufuatia kwa matukio mbalimbali ya moto katika jamii hususani wanawake kuchoma nyumba za wananume kwa wivu wa mapenzi jamii imetakiwa kufunguka na kujifunza namna ya kuepusha matukio hayo. Akizungumza na Dodoma fm Mwanasaikolojia kutoka shirika la kisedet…

26 July 2021, 10:59 am

Mashamba ya zabibu kuto guswa katika zoezi la upimaji ardhi Dodoma

Na;Mindi Joseph. Mkuu wa wilaya ya Dodoma Mjini Mhe.Jabir Shekimweri amesema Mkoa hautagusa mashamba ya kilimo cha zabibu wakati zoezi la upimaji wa viwanja likiwa linaendelea jijini Dodoma. Akizungumza na Taswira ya habari Mh Jabir amesema Mkoa wa Dodoma wote…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger