Dodoma FM

Recent posts

26 July 2021, 10:59 am

Mashamba ya zabibu kuto guswa katika zoezi la upimaji ardhi Dodoma

Na;Mindi Joseph. Mkuu wa wilaya ya Dodoma Mjini Mhe.Jabir Shekimweri amesema Mkoa hautagusa mashamba ya kilimo cha zabibu wakati zoezi la upimaji wa viwanja likiwa linaendelea jijini Dodoma. Akizungumza na Taswira ya habari Mh Jabir amesema Mkoa wa Dodoma wote…

23 July 2021, 12:58 pm

Wanasayansi watakiwa kuunganisha nguvu na serikali ili kuwakomboa wakulima

Na;Mindi Joseph. Waziri Mkuu mstaafu wa Tanzania Mh. Mizengo Pinda amesema wanasanyansi wanatakiwa kuunganisha nguvu na serikali ili kusaidia kuwakomboa wakulima nchini. Akizungumza katika ufunguzi wa wiki ya pass Trust Jijini Dodoma Mh Mizengo pinda amesema kilimo ni sanyasi hivyo…

23 July 2021, 12:41 pm

Wakazi wa Matongoro wakabiliwa na uhaba wa wahudumu wa afya

Na; Victor Chigwada. Wananchi wa Kata ya Matongoro Wilaya ya Kongwa wanakabiliwa na uhaba wa watumishi katika huduma ya afya pamoja na nyumba za watumishi hao. Wakizungumza na taswira ya habari baadhi ya wananchi hao wamesena wanakabiliwa na uhaba wa…

23 July 2021, 12:26 pm

Wazazi wametakiwa kuwapataia watoto muda wa kujisomea

Na ; Benard Filbert. Wazazi wametakiwa kuwapunguzia majukumu ya kifamilia watoto wao ambao wapo madarasa ya mitihani ili waweze kujisomea. Hayo yameelezwa na diwani wa kata ya Chemba bw. Gadri Lukumai wakati akizungumza na taswira ya habari ambapo amesema kuwa…

22 July 2021, 3:35 pm

RUWASA yatatua kero ya maji Masinyeti iliyo dumu kwa miaka ishirini

Na; Benard Filbert. Wakala wa maji vijijini RUWASA katika wilaya ya Kongwa wamefanikiwa kuchimba kisima cha maji katika kijiji cha masinyeti ambacho kitasaidia kuondoa changamoto ambazo wakazi hao walikuwa wakikutana nazo ikiwepo kutembea umbali mrefu kufuata maji. Hayo yameelezwa na…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger