Dodoma FM
Dodoma FM
19 September 2023, 5:01 pm
Hata hivyo Serikali inawataka wawekezaji wote nchini kushiriki kikamilifu katika kutatua changamoto zinazo wakabili wananchi walio karibu na mradi wa mwekezaji huyo. Na Victor Chigwada. Wananchi wa mtaa wa mpinduzi A wameiomba Serikali na wadau wa afya kuwasaidia kupatikana wa…
19 September 2023, 4:31 pm
Mkoa wa Dodoma unazalisha nusu ya mahitaji ya maji ambapo mahitaji ya maji ni lita Milion 133 kwa siku na yanayozalishwa ni lita milion 67.8 hivyo kuwa na upungufu wa lita Milioni 66.7 kwa siku. Na Mindi Joseph. Mradi wa…
19 September 2023, 3:43 pm
Ujenzi wa jengo la ofisi ya mtaa wa mathias jijini dodoma unaosimamiwa na kampuni ya urasimishaji ardhi ya wise plan unatarajiwa kukamilika mwezi wa kumi mwaka huu ikiwa ni sehemu ya kurudisha fadhila kwa jamii. Na David Kavindi. Mkuu wa…
19 September 2023, 2:46 pm
Hayo yamaebainishwa na wananchi wilayani Bahi wakati wakizungumza katika mdahalo wa wazi ulioandaliwa na kipindi cha Sakuka na kufanyika mwishoni mwa wiki iliyopita. Na Alfred Bulahya. Wananchi wilayani Bahi mkoani Dodoma wameiomba serikali na bunge kutunga sheria kali kuhusu watu…
18 September 2023, 5:43 pm
Mamlaka ya serikali mtandao inatekereza program ya kukuza bunifu katika tehama kwa wanafunzi wa Elimu ya juu kuanzia kwa miaka 5 sasa tangu mwaka 2019 hadi mwaka 2023. Na Mariam Matundu. Taasisi za Umma zimeombwa kuitumia Taasisi ya mamlaka ya…
18 September 2023, 4:52 pm
Katika tukio hilo Jumuiya ya wanawake wakiislamu Tanzania JUWAKITA wilaya ya Dodoma ililenga kuwa pamoja na Wajane 50 na Yatima 100 ikiwa ni muendelezo wa Kutenda Matendo Mema kwa Jamii . Na Seleman Kodima. Jamii imekumbushwa kuwajali,Kuwasaidia na kuwatazama zaidi…
18 September 2023, 3:34 pm
Kanisa la Pentecostal Christian International lililopo Mji Mwema Dodoma limesimika viongozi 20 katika nafasi za huduma mbalimbali. Na Yussuph Hassan. Viongozi waliosimikwa katika nafasi mbalimbali ndani ya Kanisa la Pentecostal Cristian International lililopo Mji Mwema Dodoma, wametakiwa kutoa huduma nzuri…
18 September 2023, 2:29 pm
Mara kadhaa Wizara ya Afya pamoja na taasisi mbalimbali za afya nchini zimekuwa zikitoa ushauri kwa jamii kuzingatia ulaji wa lishe bora lengo ikiwa ni kuimarisha afya na kinga ya mwili. Na Diana Massae. Jamii imetakiwa kuzingatia ulaji wa vyakula…
18 September 2023, 11:03 am
Huu ni mwendelezo wa ziara zake za kikazi Mhe. Senyamule ambapo amekagua pia Ujenzi wa Mradi wa Shule Mpya ya kata ya Manchali, Mradi wa Shule ya Sekondari ya wasichana ya Mkoa wa Dodoma na Chuo cha Veta. Na Mindi…
15 September 2023, 8:25 am
Ukaguzi wa maeneo ya kuhifadhia taka ndani ya jiji la dodoma umefanywa na mkuu wa wilaya hiyo bw. Jabir shekimweri ikiwemo maeneo ya nguhungu, changombe, miyuji pamoja na eneo la chidaji sehemu ya mwisho ya kuzika taka ngumu. Na David…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-