Dodoma FM

Recent posts

23 July 2021, 12:41 pm

Wakazi wa Matongoro wakabiliwa na uhaba wa wahudumu wa afya

Na; Victor Chigwada. Wananchi wa Kata ya Matongoro Wilaya ya Kongwa wanakabiliwa na uhaba wa watumishi katika huduma ya afya pamoja na nyumba za watumishi hao. Wakizungumza na taswira ya habari baadhi ya wananchi hao wamesena wanakabiliwa na uhaba wa…

23 July 2021, 12:26 pm

Wazazi wametakiwa kuwapataia watoto muda wa kujisomea

Na ; Benard Filbert. Wazazi wametakiwa kuwapunguzia majukumu ya kifamilia watoto wao ambao wapo madarasa ya mitihani ili waweze kujisomea. Hayo yameelezwa na diwani wa kata ya Chemba bw. Gadri Lukumai wakati akizungumza na taswira ya habari ambapo amesema kuwa…

22 July 2021, 3:35 pm

RUWASA yatatua kero ya maji Masinyeti iliyo dumu kwa miaka ishirini

Na; Benard Filbert. Wakala wa maji vijijini RUWASA katika wilaya ya Kongwa wamefanikiwa kuchimba kisima cha maji katika kijiji cha masinyeti ambacho kitasaidia kuondoa changamoto ambazo wakazi hao walikuwa wakikutana nazo ikiwepo kutembea umbali mrefu kufuata maji. Hayo yameelezwa na…

22 July 2021, 8:10 am

Wazazi wametakiwa kuzingatia haki za watoto katika familia

Na; Shani Nicolous. Wito umetolewa kwa wazazi katika jamii kuzingatia haki za watoto wakati wa maamuzi mbalimbali katika familia. Akizungumza na Dodoma fm msaidizi wa kisheria kutoka Wilaya ya Chamwino Haroni Amos Malima amesema kuwa watoto wanatakiwa kushiriki mambo mbalimbali…

22 July 2021, 6:25 am

Wajasiriamali wanufaika na udhamini wa taasisi ya Pass Trust

Na;Mindi Joseph . Takribani Wajasiriamali milioni 1.7 wamenufaika na udhamini wa taasisi ya Pass Trust ambayo imelenga kupunguza umasikini nchini kwa kuwezesha upatikanaji wa mitaji kwa wakulima. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma Kaimu Mkurungezi wa Pass Trust Annah…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger