Dodoma FM

Recent posts

24 October 2023, 14:13

Bonus et promotions du Casinozer casino en ligne

Blogs Dans cet article, nous allons explorer en détail les bonus et promotions offerts par le Casinozer Casino, une plate-forme de jeu en ligne renommée pour ses offres généreuses. Préparez-vous à découvrir pourquoi ce casino en ligne attire autant de…

24 October 2023, 13:38

NGO’S zatakiwa kufanya tathmini za mazingira

Kikao hicho kimefanyika hapo jana ofini kwake ambapo katibu tawala alizungumza na wadau hao. Na Mariam Kasawa.Katibu Tawala Mkoa wa Dodoma Bw. Ally Gugu ameyataka Mashirika yasiyo ya Kiserikali (NGO’s) yanayojihusisha na masuala ya Mazingira kukutana na kufanya tathmini ya…

24 October 2023, 11:58

Wakazi wa Chisamila na Manzase kuondokana na kero ya barabara

Bajeti ya ujenzi, ukarabati na matengenezo ya barabara vijijini na mijini imekuwa ikiongezeka kutoka Shilingi bilioni 272.56 mwaka 2020/21 hadi Shilingi bilioni 722 katika mwaka wa fedha 2021/22 sawa na ongezeko la asilimia 185. Na Mindi Joseph. Zaidi ya millioni…

18 October 2023, 13:47

TBS yasisitiza wadau kushiriki uandaaji wa viwango

Wizara ya Viwanda na Biashara kwa kushirikiana na Shirika la Viwango Tanzania, TBS, Shirika la Viwango Zanzibar, ZBS pamoja na Tanzania Private Sector Foundation (TPSF), imeandaa tuzo za ubora za kitaifa awamu ya nne kwa 2023 kwa wajasiriamali, wazalishaji wa…

18 October 2023, 09:48

Wakazi wa Nholi waaswa kuepuka migogoro ya ardhi

Kupitia zoezi la urasimishaji wa ardhi nchini itasaidia kutoa hati ya umiliki wa vipande vya ardhi na kupunguza changamoto za kugombania na mashamba. Na Victor  Chigwada.                                                       Wito umetolewa kwa wananchi wa kijiji cha Nholi kuepukana na migogoro ya ardhi…

18 October 2023, 09:29

FAO yaahidi kuunga mkono juhudi za Tanzania

Mkutano huo ulihudhuriwa na viongozi mbalimbali kutoka nchi wanachama, viongozi wakuu wa mashirika ya Umoja wa Mataifa. Na Mindi Joseph. Waziri Mkuu Mh. Kassim Majaliwa amesema Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo (FAO) limeahidi kuunga mkono jitihada za…

18 October 2023, 09:14

Wasichana wapaswa kutambua hedhi ni fahari

Elimu ya hedhi salama shuleni hapo imeambatana na zoezi la kugawa taulo za kike kwa wasichana hao wa shule ya msingi Nkuhungu. Na Mariam Kasawa. Wasichana balehe  wametakiwa kutambua kuwa hedhi ni fahari ya kila mwanamke hivyo wanapaswa kuifurahia na…

16 October 2023, 19:03

Michese waishukuru serikali kwa kutoa fedha za ujenzi wa shule

Kwa mujibu wa viongozi wa mitaa hiyo wanasema kuwa fedha kiasi cha shilingi milioni mia tano zimetolewa na serikali kwa ajili ya ujenzi huo. Na Khadija Ayoub. Baadhi ya wananchi katika eneo la michese jijini Dodoma wameishukuru serikali kwa kuwapatia…

16 October 2023, 18:44

Wakazi wa Handali walalamika kukosa maji safi na salama

Wakala wa Majisafi na Usafi wa Mazingira Vijijini RUWASA wapo kwenye mpango wa bajeti katika  kuhakikisha miundombinu ya maji katika kijiji cha Handali inafufuliwa. Na Mindi Joseph. Kusimama kwa Mradi wa Maji unaogharimu zaidi ya Milioni 600 katika kijiji cha…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger