Dodoma FM

Recent posts

22 July 2021, 8:10 am

Wazazi wametakiwa kuzingatia haki za watoto katika familia

Na; Shani Nicolous. Wito umetolewa kwa wazazi katika jamii kuzingatia haki za watoto wakati wa maamuzi mbalimbali katika familia. Akizungumza na Dodoma fm msaidizi wa kisheria kutoka Wilaya ya Chamwino Haroni Amos Malima amesema kuwa watoto wanatakiwa kushiriki mambo mbalimbali…

22 July 2021, 6:25 am

Wajasiriamali wanufaika na udhamini wa taasisi ya Pass Trust

Na;Mindi Joseph . Takribani Wajasiriamali milioni 1.7 wamenufaika na udhamini wa taasisi ya Pass Trust ambayo imelenga kupunguza umasikini nchini kwa kuwezesha upatikanaji wa mitaji kwa wakulima. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma Kaimu Mkurungezi wa Pass Trust Annah…

19 July 2021, 10:35 am

Wakazi wa kijiji cha Nholli kuanza ujenzi wa zahanati

Na; Victor Chigwada. Wakazi wa kijiji cha Nholi kata ya Mpalanga wilayani Bahi wamekabidhiwa mifuko miatatu ya saruji kwaajili ya ujenzi wa zahanati.Wakizungumza na taswira ya habari wakazi wa kijiji hicho wamemshukuru mbunge wa jimbo la Bahi mh. Kenneth Nollo…

16 July 2021, 1:12 pm

Shule zinazotoa elimu jumuishi zaiomba serikali kuboresha miundombinu

Na; Mariam Matundu. Walimu wanaofundisha shule zinazotoa elimu jumuishi katika Wilaya ya Bahi na Dodoma mjini wameiomba Serikali kuboresha miundombinu ya shule zao ili kuwezesha watoto wenye mahitaji maalumu kujifunza vizuri. Wamesema suala la uchache wa vyumba vya madarasa linasababisha…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger