Recent posts
27 September 2023, 14:34
Serikali yaombwa kuendelea kutoa elimu juu ya kukabiliana na majanga
Wataalam wamekuwa wakishauri wafanyabiashara, wananchi kufundishwa kukabiliana na majanga ya moto ikiwemo Kuepuka makazi holela, kuhimiza miundombinu ya kisasa pamoja utekelezaji wa sheria upewe kipaumbele. Katende Kandole. Baadhi ya wakazi wa jiji la Dodoma wameiomba serikali kuendelea kutoa elimu kwa jamii…
26 September 2023, 18:00
Uhaba wa maji wahatarisha usalama wa wanafunzi Vilindoni
Na Mindi Joseph. Ukosefu wa Maji katika shule ya msingi Vilindoni imeendelea kuhatarisha usalama wa wanafunzi.Wanafunzi wa Shule hiyo wanalazimika kubeba dumu la lita tano ya maji kutoka nyumbani wengine wakifunga safari kwenda kuchota maji katika Visima.Mwenyekiti wa kamati ya…
26 September 2023, 16:45
Fahamu mbinu bora za kuwafukuza tembo wanapo ingia katika makazi ya watu
Lakini je nini wananchi wanapaswa kufanya tembo wanapopita au kuingia katika makazi yao. Na Yussuph Hassan. Ukosefu wa mbinu bora za kuwafukuza Tembo wanapo ingia katika vijiji au makazi ya watu umekuwa ukipelekea wanyama hawa kufanya uharibifu ikiwemo kuwadhuru watu…
26 September 2023, 16:15
Mfahamu mkalimani wa lugha ya alama aliyekuwa na kiu ya kujifunza
Dorcas Minaz ni moja kati ya wanawake wanaopambana katika kusaidia jamii ya wahitaji hususani viziwi na amekuwa mkalimani mahiri anayeipenda kazi yake kwa sasa. Na Yussuph Hassan. Wakati tukiendelea na simulizi ya Mkalimani Mahiri wa lugha ya alama Dorcas Minaz…
26 September 2023, 15:57
Rasimu mkakati wa kilimo ikolojia yatakiwa kuwa katika lugha rahisi
Kongamano hilo limejumuisha wadau wa kilimo na wakulima kutoka mikoa mbalimbali nchini Tanzania mkakati wa kilimo hai unatarajia kuja na majibu juu ya kilimo hai . Na David Kavindi. Imeelezwa kuwa rasimu ya mkakati wa kilimo ikolojia hai inatakiwa kufanyiwa marekebisho…
21 September 2023, 16:58
Ni kawaida tembo kurudi katika usharoba waliozoea?
Kwa asili hiyo ya Tembo pale wanapokuja katika makazi ya watu kuna mbinu mbalimbali hutumika kuwakabili, mbinu ambazo huzaa matunda mara moja. Yussuph Hassan. Fahari ya Dodoma inaendelea kukuelezea tukio la baadhi ya maeneo yaliyovamiwa na kundi la tembo Dodoma.…
21 September 2023, 16:38
Wajawazito watakiwa kufanya maandalizi mapema
Wataalamu wa Afya wanashauri kuwa mama mjamzito anatakiwa kuwa na maandalizi kabla ya kujifungua kwani kuna umuhimu wa kufanya hivyo ili kuepukana na madhara mbalimbali yanayoweza kutokea. Na Naima Chokela. Ushauri Umetolewa kwa Wajawazito kuhakikisha wanafanya maandalizi kabla ya kujifungua…
21 September 2023, 16:08
Viongozi wa vijiji kuhamasisha wananchi kutatua changamoto za elimu
Mradi huo unatekelezwa wilaya ya chamwino katika Kata nne. Na Seleman Kodima. Viongozi wa Serikali za vijiji wametakiwa kutumia njia mbadala ya kuhamasisha wananchi ili waweze kutatua changamoto zilizopo katika sekta ya elimu ikiwemo miundombinu ya elimu. Wito huo umetolewa…
21 September 2023, 15:15
Katazo la unyago laungwa mkono na baadhi ya wananchi
Inaelezwa kuwa baadhi ya tamaduni zimekuwa zikiwafundisha mabinti katika unyago mambo ambayo hayastahili. Na Khadija Ayoub. Wananchi jijini Dodoma wameonesha kuunga mkono katazo la mh. Rais Samia Suluhu Hassan kuwapelekea watoto wa kike katika unyago kwani ni kuwaonea na kuwanyima…
21 September 2023, 14:37
WAVIU watakiwa kuzingatia matumizi sahihi ya ARV
Kwa mujibu wa wataalam wa afya wanashauri kwamba ni vema wananchi kuhakikisha wanapima afya hususani maambukizi ya virusi vya ukimwi ili waweze kujitambua na kutumia dawa kwa usahihi. Na Katende Kandolo. Watu walioathirika na maambukizi ya virusi vya UKIMWI wametakiwa…