Dodoma FM
Dodoma FM
4 September 2023, 3:27 pm
Na Diana Masai. Ili kuondokana na uchafuzi wa mazingira jamii imeaswa kuacha kutupa taka ovyo zikiwemo taka za plastiki ambazo haziozi. Wito huo umetolewa na Mwenyekiti wa mtaa wa kitenge kata ya Majengo Jijini Dodoma Helswida Mhagama wakati akizungumza na…
4 September 2023, 1:56 pm
Kwa kujibu wa viongozi hao wanasema kuwa mradi huu ulianza tangu mwaka 2021 ambapo lengo ni kuwasaidia wananchi wa eneo hilo kufanya shughuli ndogondogo za kilimo ikiwemo mbogamboga. Na Thadei Tesha. Wananchi katika kijiji cha Uhelela na Nagulo kata ya…
4 September 2023, 12:32 pm
Takwimu kutoka shirika la afya Duniani WHO zinaonyesha kuwa kila mwaka watu 800,000 hupoteza maisha kwa kujiua kutokana na msongo wa mawazo huku kila baada ya sekunde 40. Na Naima Wananchi wametakiwa kujenga utamaduni wa kushirikishana katika kutatua changamoto mbalimbali…
30 August 2023, 5:25 pm
DUWASA inasema tayari bajeti imekwisha tengwa kwaajili ya kuanza ikaranbati huo. Na Yussuph Hassan. Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira Dodoma DUWASA, imeweka wazi mikakati yao katika kuhakikisha inaboresha mtandao wa maji taka ambapo tayari fedha imeshategwa kwa ajili…
30 August 2023, 4:58 pm
Daktari Malaki amesema kuwa maziwa hayasaidii kusafisha mfumo wa hewa kama ambavyo baadhi ya watu wamekuwa wakiamini. Na Aisha Alim. Jamii imeshauriwa kujenga mazoea ya kunywa maziwa mara kwa mara ili kuimarisha afya zao kutokana na maziwa hayo kuwa na…
30 August 2023, 4:18 pm
Inasemekana bwawa hilo limekauka kutokana na shughuli za kibinadamu zilizokuwa zikifanyika katika eneo hilo ikiwemo shughuli za kilimo. Na Mindi Joseph. Shilingi Bilion 20.6 zinatarajiwa kutumika katika ujenzi wa Mradi wa eneo la Kupumzikia baada ya Bwawa la Swaswa lililopo…
30 August 2023, 3:12 pm
Ili kupunguza vitendo vya ajali za Mara kwa mara madereva na watumiaji wa barabara kwa ujumla wameendelea kuaswa kuzingatia sheria za usalama barabarani . Na Thadei Tesha. Ili kupunguza ajali za barabarani zinazoweza kusabababishwa na uzembe pamoja na kutokutii sheria…
29 August 2023, 5:11 pm
Hata hivyo, hii inaweza kutofautina kulingana na umri wako, jinsia na kiwango cha shughuli unayoifanya. Na Abraham Mtagwa. Imeelezwa kuwa kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa hasa uwepo wa jua kali nyakati za mchana, ni muhimu kwa wanajamii kuzingatia…
29 August 2023, 4:32 pm
Kutokana na Shirika la Afya , mtama umeweza kuwa chakula muhimu katika kupambana na changamoto ya udumavu pamoja na unyafunzi kwa watoto. Na Astedi Bambora. Upatikanaji wa zao la mtama kwa wingi katika soko kuu la majengo Jijini Dodoma kumewanufaisha…
29 August 2023, 4:16 pm
Mtaa wa Swaswa una wakazi wapatao 10,941 huku shauku ya wanafunzi na wazazi ikiwa ni kuona shule hiyo inaanza kutumika baada ya kukamilika kwa ujenzi, usajili na miundombinu mingine. Na Mindi Joseph. Zaidi ya shilingi milioni 300 zimetumika katika ujenzi…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-