Dodoma FM

Recent posts

21 August 2023, 5:09 pm

Yafahamu madhara ya kuweka simu karibu na kichwa wakati wa kulala

Kwa mujibu wa chapisho la Ukurasa wa gazeti la Mwananchi la Febrauari 19,2021 linasema kuwa, Madaktari bingwa wa Ubongo na Mishipa ya fahamu na wale wa Magonjwa ya Saratani wanaonya kuwa kulala karibu na simu kuna madhara kiafya na kunaweza…

21 August 2023, 4:04 pm

Masoko ya nje chanzo tikiti maji kuadimika nchini

Tunda la tikiti ni moja kati ya matunda muhimu sana katika afya ya mwanadamu kutokana na madini yaliyo ndani yake kama vile Calcium na vitamin A. Na Neema Shirima. Baadhi ya wafanyabiashara wa tunda la tikiti maji katika soko kuu …

17 August 2023, 4:19 pm

Bei ya maharage yazidi kupaa sokoni

Kwa mujibu wa takwimu zilizotolewa hivi karibuni kutoka Ofisi ya Taifa ya Takwimu ilibainisha bei ya mazao ya chakula ikiwemo maharage imepungua kutoka asilimia 33.5 hadi asilimia 28.3 kwa mwaka ulioshia mwezi Julai 2023 ikilinganishwa na mwaka ulioshia mwezi Juni…

17 August 2023, 3:40 pm

Nani anapaswa kumlipa dalali kati ya mpangaji na mwenye nyumba?

Biashara ya udalali inekuwa ikifanywa na baadhi ya watu kwa lengo la kujipatia kipato na kuendesha maisha yao. Na Aisha Alim. Utaratibu wa upatikanaji wa nyumba za biashara na nyumba za kuishi kupitia madalali umekuwa ukihusisha gharama za ulipwaji wa…

17 August 2023, 2:02 pm

Mazao 13 nchini yatajwa kutumia mfumo wa stakabadhi ghalani

Na Mindi Joseph. Jumla ya mazao 13 nchini yametajwa kutumia mfumo wa stakabadhi ghalani ikiwa ni hatua kubwa kutoka mazao machache ndani ya miaka 3 iliyopita. Hii ni kufuatia uhamasishaji wa matumizi ya mfumo huu kwa wananchi. Kaimu Mkurugenzi Mtendaji…

16 August 2023, 7:00 pm

Vijana Nchini watakiwa kuwa na uthubutu

kwa mujibu wa vijana haoa wanasema kuwa kupitia mjadala huo uliofanyika katika ukumbi wa kambarage uliopo katika jengo la  hazina Jijini dodoma umetoa funzo juu ya masuala mbalimbali ikiwemo masula ya uongozi na Demokrasia nchini. Na Thadei Tesha. Vijana nchini…

16 August 2023, 5:09 pm

Umaskini watajwa kuchangia lishe duni

Lishe ni muhimu kwa afya ya Watoto na Watu wazima ambapo ulaji duni kwa Watoto unaweza kusababisha mashambulizi ya maradhi kama vile utapiamlo na udumavu wa mwili. Na Yussuph Hassan. Ukata wa Maisha pamoja na Elimu duni kwa baadhi ya…

16 August 2023, 2:52 pm

Muhimbili mbioni kuanza kutoa huduma za upandikizaji mimba

Amesema kuwa wataanza  na kliniki za kawaida kisha hatua za upandikizaji zitafutwa kwa kushirikiana na wataalamu elekezi kutoka nje ya nchi ili kufanyikisha huduma za upandikizaji mimba ambao wataelendelea kuwajengea uwezo wataalam wa Hospitalini. Na WAF, Dodoma. Hospitali ya Taifa…

16 August 2023, 1:53 pm

Usawa kijinsia sio kukandamiza kundi fulani

Kikao kazi hicho cha siku moja, kinapokea taarifa za utekelezaji wa sekta na wadau kuhusu usawa wa kijinsia kwa kipindi Januari hadi Juni, 2023. Na WMJJWM,  Dodoma Katibu Mkuu, Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt…

15 August 2023, 5:44 pm

Wafanyabiashara Sabasaba walalamika kusumbuliwa

Ikumbukwe kuwa kituo cha daladala katika soko hilo kilihamishiwa katika soko la Machinga complex lililopo Bahi road Jijini Dodoma. Wafanyabishara katika eneo la sabasaba wamelalamika kusumbuliwa na baadhi ya watu wanao dai kupewa eneo hilo kwaajili ya kuuzia nguo za…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger