Recent posts
7 September 2023, 12:22
Madereva jijini Dodoma walia na bei ya mafuta
Serikali imetangaza bei mpya ya mafuta ambapo kwa sasa wastani wa bei kikomo kwa mkoa wa Dodoma ni shilingi 3271 kwa mafuta ya petrol, shilingi 3318 kwa mafuta ya diseli na mafuta ya taa shilingi 3002. Na Katende. Wamiliki wa…
6 September 2023, 15:06
Vilindoni shule kongwe yenye changamoto
Licha ya shule hii kuwa Kongwe lakinibado inakabiliwa na upungufu wa madawati, upungufu wa walimu na Uchakavu wa madarasa. Na Yussuph Hassan. Leo kamera ya fahari ya Fahari imegonga hodi katika kata ya Mbabala shule ya msingi Vilindoni ,shule hii…
6 September 2023, 14:27
Upungufu wa madarasa Vilindoni wasababisha mrundikano wa wanafunzi
Jumla ya madarasa 19 yanahitajika kujengwa katika shule hiyo ili kupunguza mrundikano wa wananfunzi darasani. Na Mindi Joseph. Upungufu wa madarasa katika shule ya msingi Vilindoni umesababisha mrudukano wa wananfunzi darasani. Darasa moja wanafunzi wanakadiriwa kukaa 90 hadi 100. Hapa…
6 September 2023, 13:47
Wajawazito wahimizwa kutumia dawa kinga
Kwa mujibu wa wataalam wa afya, wanasisitiza suala la akina mama kupata dawa kinga kwani zimekuwa na umuhimu kwa afya ya mama na mtoto. Na Naima Chokela. Imeelezwa kuwa upo umuhimu kwa mama mjamzito kupatiwa dawa kinga katika kipindi cha…
6 September 2023, 12:52
Watumiaji wa vyombo vya usafiri walalamika kusimamishwa muda mrefu
Kwa mujibu wa wakazi wa Jiji la Dodoma wanasema kuwa mara nyingi changamoto ya foleni Jijini hapa husababashwa na misafara ya viongozi na kuchangia kukaa muda mrefu kandokando ya barabara wakingoja misafara kupita. Na Khadija Ayoub. Watumiaji wa vyombo vya…
6 September 2023, 12:09
Wajawazito watakiwa kuzingatia chanjo ya pepopunda
Kwa mujibu wa wataalamu wa Afya wanasema kuwa iwapo mama mjamzito atazikosa chanjo hizo itachangia kupata madhara makubwa na kumuathiri mtoto aliyepo tumboni huku wakishauri kufika mapema katika vituo vya Afya pale tu Mtu atakapohisi dalili za ujauzito. Na Richald…
5 September 2023, 16:01
Wakazi wa Karume waomba kuwekewa alama za vivuko barabarani
Wananchi wanadai kukosekana kwa alama za barabarani katika eneo hilo kunapelekea baadhi ya watu kuendesha vyombo vya moto kwa kasi na kupelekea ajali za mara kwa mara. Na Asted Bambora. Imeelezwa kuwa ukosefu wa AIama za Barabarani hususani mchoro wa…
5 September 2023, 15:35
Watoto wasaidiwe kuvuka barabara ili kuepusha ajali
Kundi la watoto ni miongoni mwa makundi yanayohitaji misaada hususani pale wanapokuwa katika maeneo ya barabara ili kuepukana na ajali zinazoweza kutokea. Na Thadei Tesha. Jamii imetakiwa kushiriki katika suala la kuwasadia watoto pale wanapoelekea shuleni na maeneo mengine ya…
5 September 2023, 15:10
Jamii yatakiwa kufuata kanuni na taratibu ili kuepuka usugu wa dawa
Matumizi holela ya dawa husababisha ugumu wa kutibu magojwa kutokana na mwili kuwa na usugu wa dawa. Na David kavindi. Jamii imeaswa kufuata kanuni na taaratibu za matumizi sahihi ya dawa ili kupeuka changamoto ya usugu wa dawa hizo mwilini. …
5 September 2023, 14:40
Maji yakwamisha muitikio wa upandaji miti
Serikali pamoja na wadau mbalimbali wameendelea kuhamasisha jamii juu ya suala la upandaji wa miti ambapo kwa mujibu wa wataalam wanaeleza kuwa miti imekuwa na faida nyingi katika kutunza mazingira. Na Diana Masai. Pamoja najitihada mbalimbali za wadau wa mazingira…