Recent posts
5 September 2023, 13:57
Wanaume wahimizwa kuhudhuria kliniki na wake zao
Miongoni mwa sababu zinazotajwa kusababisha mwitikio mdogo kwa wanaume kuwasindikiza wenza wao kliniki ni pamoja na kukabiliwa na majukumu ya kila siku jambo ambalo linaweza kutatulika iwapo kila mmoja atatambua umuhimu wa kuhudhuria kliniki na mwenza wake. Na Richard Ezekiel.…
4 September 2023, 17:19
Fahamu asili ya jina Dodoma
Je ni kweli jina la Dodoma lilitokana na tembo kudidimia katika eneo la Kikuyu kilipo chuo cha mtakatifu Yohana leo hii?
4 September 2023, 16:09
Kigoma Ujiji kupima, kusajili makazi 10,000 katika mitaa 25
Mradi huu umelenga kuboresha usalama wa milki za ardhi kwa kupanga, kupima na kusajili milki za ardhi zipatazo milioni 2.5 zinazojumuisha hatimilki 1,000,000 na Leseni za Makazi 1,000,000 katika maeneo ya mijini na Hati za Hakimilki za Kimila 500,000 vijijini.…
4 September 2023, 15:27
Wananchi watakiwa kuacha kutupa taka ovyo katika mazingira yao
Na Diana Masai. Ili kuondokana na uchafuzi wa mazingira jamii imeaswa kuacha kutupa taka ovyo zikiwemo taka za plastiki ambazo haziozi. Wito huo umetolewa na Mwenyekiti wa mtaa wa kitenge kata ya Majengo Jijini Dodoma Helswida Mhagama wakati akizungumza na…
4 September 2023, 13:56
Wananchi walalamika kutolipwa fidia mradi wa bwawa Nagulo na Uhelela
Kwa kujibu wa viongozi hao wanasema kuwa mradi huu ulianza tangu mwaka 2021 ambapo lengo ni kuwasaidia wananchi wa eneo hilo kufanya shughuli ndogondogo za kilimo ikiwemo mbogamboga. Na Thadei Tesha. Wananchi katika kijiji cha Uhelela na Nagulo kata ya…
4 September 2023, 12:32
Wananchi watakiwa kutatua changamoto zinazo sababisha msongo wa mawazo
Takwimu kutoka shirika la afya Duniani WHO zinaonyesha kuwa kila mwaka watu 800,000 hupoteza maisha kwa kujiua kutokana na msongo wa mawazo huku kila baada ya sekunde 40. Na Naima Wananchi wametakiwa kujenga utamaduni wa kushirikishana katika kutatua changamoto mbalimbali…
30 August 2023, 17:25
DUWASA yaeleza mikakati yake ya kuboresha mfumo wa maji taka
DUWASA inasema tayari bajeti imekwisha tengwa kwaajili ya kuanza ikaranbati huo. Na Yussuph Hassan. Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira Dodoma DUWASA, imeweka wazi mikakati yao katika kuhakikisha inaboresha mtandao wa maji taka ambapo tayari fedha imeshategwa kwa ajili…
30 August 2023, 16:58
Jamii yatakiwa kujenga mazoea ya kutumia maziwa
Daktari Malaki amesema kuwa maziwa hayasaidii kusafisha mfumo wa hewa kama ambavyo baadhi ya watu wamekuwa wakiamini. Na Aisha Alim. Jamii imeshauriwa kujenga mazoea ya kunywa maziwa mara kwa mara ili kuimarisha afya zao kutokana na maziwa hayo kuwa na…
30 August 2023, 16:18
Bilion 20.6 zatarajiwa kujenga eneo la kupumzikia Swaswa
Inasemekana bwawa hilo limekauka kutokana na shughuli za kibinadamu zilizokuwa zikifanyika katika eneo hilo ikiwemo shughuli za kilimo. Na Mindi Joseph. Shilingi Bilion 20.6 zinatarajiwa kutumika katika ujenzi wa Mradi wa eneo la Kupumzikia baada ya Bwawa la Swaswa lililopo…
30 August 2023, 15:12
Elimu ya usalama barabarani yaendelea kutolewa kwa wananchi
Ili kupunguza vitendo vya ajali za Mara kwa mara madereva na watumiaji wa barabara kwa ujumla wameendelea kuaswa kuzingatia sheria za usalama barabarani . Na Thadei Tesha. Ili kupunguza ajali za barabarani zinazoweza kusabababishwa na uzembe pamoja na kutokutii sheria…