Dodoma FM
Dodoma FM
2 May 2023, 12:21
Mafunzo hayo yamekuwa yakiratibiwa na shirika la kuhudumia viwanda vidogo sido mkoa wa Dodoma. Na Alfred Bulahya. Imeelezwa kuwa asilimia 80 ya wanachama wa Taasisi ya wanawake na Uchumi wa Viwanda wilaya ya Dodoma Mjini WAUVI wameanza kufanya uzalishaji wa…
1 May 2023, 16:53
Katika mwaka 2019/2020 uzalishaji wa alizeti nchini umefikia tani 649,437 ikilinganishwa na tani 561,297 kwa mwaka 2018/2019. Na Mindi Joseph. Wakati Mkoa wa Dodoma ukitegemewa zaidi katika uzalishaji wa mafuta ya alizeti wakulima wamesema mwaka huu uzalishaji wao ni hafifu.…
1 May 2023, 16:28
Amewaomba viongozi hao kusaidia kutoa elimu ili wazazi wachangie chakula cha mchana kwa watoto jambo ambalo litasaidia kuinua kiwango cha elimu shuleni hapo. Na Bernad Magawa. Uongozi wa Shule ya sekondari bahi umetoa shukrani kwa Raisi wa Jamhuri ya Muungano…
1 May 2023, 15:45
Akisoma taarifa meneja wa Ranchi ya Kongwa bwana Elisa Binamungu amesema shilingi bilioni 4.65 zilitengwa Kwa mwaka wa fedha 2022/2023 kuboresha ranchi hiyo ikiwa ni pamoja na kutengeneza Barabara, kuondoa vichaka hekari 8000 kwaajili ya kustawisha mifugo. NA Bernadetha Mwakilabi.…
1 May 2023, 14:49
Mrindoko amesema kutakuwa na SWITCHING STATION eneo la mbande itakayosaidia upatikanaji wa umeme pale inapotokea tatizo eneo Moja lisilete ukosefu wa umeme eneo lingine. Na Bernadetha Mwakilabi. Waheshimiwa madiwani ambao ni wawakikishi wa wananchi wameomba huduma ya umeme kwenye vitongoji…
1 May 2023, 13:08
Mbolea inayo zalishwa katika kiwanda hiki cha Intracom kinachopatikana katika kata ya Nala jijini Dodoma inatengenezwa kwa samadi za wanyama na haizeesha ardhi. Na Fred Cheti Mkuu wa wilaya ya Dodoma Mh. Jabair Shekimweri amewataka wakazi wa Dodoma na watanzania…
28 April 2023, 16:52
Amesema kutoa mahitaji kwa wagonjwa ni moja ya njia sahihi ya kurudisha fadhila kwa jamii kwa kufanya matendo ya huruma. Na Thadei Tesha. Wafanyabiashara katika soko kuu Majengo jijini Dodoma wanatarajia kutembelea na kutoa mchango wa vyakula kwa wagonjwa katika…
28 April 2023, 15:11
Mkuu wa wialaya amewaomba madiwani kuwahimiza wananchi kuhusu suala la uhifadhi wa chakula hususani katika kipindi hiki Cha mavuno Kwani wengi wao wamekuwa wakiuza mazao Kwa kasi badala ya kuhifadhi kwaajili ya msimu ujao. Insert 2 sec 00:34 NA Bernadetha…
28 April 2023, 14:00
Maadhimisho hayo yalianza kwa kutoa elimu ya malezi kwa wanafunzi wa shule ya sekondari Bahi ambapo wanafunzi walisisitizwa kuhusu nidhamu na bidii katika masomo. Na Bernad Magawa. Jumuiya ya Wazazi ya Chama cha Mapinduzi wilaya ya Bahi imetoa tamko la…
28 April 2023, 12:23
Afisa Elimu katika kata hiyo ameahidi kuhakikisha ufaulu unapanda zaidi. Na Bernad Magawa. Afisa elimu Msingi wilaya ya Bahi Boniface Wilson ametoa motisha ya kilo 25 za sukari kwa kila shule kwenye kata ya Bahi yenye jumla ya shule tano…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-