Dodoma FM
Dodoma FM
8 May 2023, 14:59
Je ni dalili zipi hizo ambazo ni hatari kwa mama mjamzito? Na Yussuph Hassan. Leo tunazugumzia dalili hatari kwa Mama mjamzito ambapo Dkt Abdallah Majaliwa kutoka hospitali ya rufaa ya Mkoa wa Dodoma anaeleza kuhusu dalili hizo.
8 May 2023, 13:51
Wakazi wa kijiji cha Bahi sokoni wameeleza kupokea mradi huo kwa furaha na kuiomba serikali kuendelea kupeleka miradi ya maendeleo katika kijiji hicho. Na Bernad Magawa. Wananchi wa kijiji cha Bahi Sokoni wilayani Bahi wamejitokeza kwa wingi kuchimba msingi wa…
5 May 2023, 16:38
Baadhi ya wafanyabiashara wanasema kuwa viongozi hao wamekuwa wakiahidi kupatia ufumbuzi baadhi ya changamoto hizo bila ya kutekeleza ahadi hizo. Na Thadei Tesha. Baadhi ya wafanyabiashara wa matunda na mbogamboga katika soko la maisha plus jijini Dodoma wameiomba serikali kufanya…
5 May 2023, 16:06
Le Dkt Arapha anaeleza hatua zinazopaswa kuchuliwa unapoona dalili za Usonji kwa mtoto. Picha na Yussuph Hassan. Na Yussuph Hassan. Leo tunaendelea kuzungumzia nini cha kufanya endapo mzazi au mlezi akiona dalili za mtoto mwenye usonji, tunaungana na Dkt Arapha…
5 May 2023, 15:45
Na Mindi Joseph. Katibu Tawala Mkoa wa dodoma Bw. Ally Senga ameangiza ujenzi wa Miradi ya maendeleo ya kimkakati inayotekelezwa katika Halmashauri ya Kondoa Mji kukamlika ifikapo June 15 mwaka huu. Ameyabainisha hayo baada ya kutemebelea Miradi hiyo ikiwemo shule,…
5 May 2023, 15:06
Aidha ameisihi jamii kuwaamini wanawake katika maamuzi kwani hata Dira ya Taifa ya 2025 ya JMT, Malengo ya Maendeleo Endelevu (2030) hasa lengo Na. 5 na MKUKUTA (I&II) vinataka kuwepo kwa usawa katika masuala ya uongozi ama maamuzi. Na Alfred…
5 May 2023, 14:45
Na Fred Cheti. Baraza la Usimamizi na uhifadhi wa Mazingira (NEMC) limewataka wawekezaji wote wa miradi ya maendeleo nchini kufanya tathimini ya athari kwa mazingira katika miradi yao ili kuepusha migogoro itakayotokana na uchafuzi wa mazingira. Hayo yameelezwa na Bwn.…
4 May 2023, 16:09
Dkt Arapha Aragika kutoka hospitali ya Taifa ya Afya ya akili Mirembe. Picha na Yussuph Hassan. Watoto wenye usonji pia wanazo sifa mbalimbali kama anavyo ainisha Dkt. Arapha. Na Yussuph Hassan. Leo tunaendelea kuzungumzia sifa za watoto wenye usonji, tukiungana…
4 May 2023, 14:58
Na Bernad Magawa. Katika kuhakikisha kuwa wanafunzi wa sekondari wanakuwa makini katika ujifunzaji wawapo shuleni hususa ni nyakati za mchana, wazazi wilayani Bahi wameombwa kuwezesha upatikanaji wa chakula cha mchana shuleni ili wanafunzi waweze kujifunza kwa utullivu. Akizungumza na kituo…
4 May 2023, 14:05
Aidha wamejadili namna ya kuendelea kuboresha takwimu, changamoto, Mafanikio na kutafuta ufumbuzi. Na Alfred Bulahya. Wafanyakazi wa ofisi ya Taifa Takwimu (NBS) wameaswa kuendelea kuwa waadilifu katika uzalishaji wa takwimu ili kuliletea maendeleo Taifa. Wito huo umetolewa na Naibu Waziri…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-