Recent posts
2 August 2023, 13:57
Ujenzi bweni la wasichana Mpendo wafikia hatua za mwisho
Ujenzi huo upo hatua za mwisho na mwezi huu wa nane wanafunzi wa kidato cha kwanza hadi cha nne wataanza kulitumia. Na Mindi Joseph. Ujenzi wa bweni katika shule ya sekondari Mpendo kata ya Mpendo wilayani Chemba umetajwa kutatua changamoto…
2 August 2023, 13:36
Vijana sokoni Majengo waeleza kunufaika na ubebaji mizigo
Wanasema kazi hiyo inawasaidia kujiingizia kipato chao cha kila siku na kuwasaidia kujikwamua kiuchumi. Na Aisha Shaban. Baadhi ya vijana wanaojishughulisha na shughuli ya kubeba mizigo kwa kutumia mikokoteni wameeleza namna shughuli hiyo inavyowasaidia kuendesha shughuli zao na kujikwamua kiuchumi.…
1 August 2023, 16:52
Wadau watakiwa kufahamu mwongozo wa taifa wa wajibu wa wazazi, walezi
Mwongozo huo wa Malezi Bora umetokana na utafiti uliofanywa na serikali kwa kushirikiana na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto duniani UNICEF, ambapo nguzo kuu tatu zitazingatiwa kwenye mwongozo huo za Kujali, Kulinda na Kuwasiliana na mtoto. Na…
1 August 2023, 16:17
Mwananchi Mpendo anusuru vitongoji vitatu adha ya maji
Waswahili wanasema penye nia pana njia hivyo ndivyo Leonard Daudi amesaidia kutatua changamoto kubwa ya maji katika eneo lake. Na Mindi Joseph. Mwananchi mmoja katika kijiji cha Hamia kata ya Mpendo wilayani Chemba mkoani Dodoma amejitolea kuchimba kisima cha maji na…
1 August 2023, 15:29
Uwekezaji wa bandari ni chanzo cha mapato ya nchi
Maaskofu walioapishwa ni pamoja na Askofu Simon Maloda wa Dayosisi ya Dodoma, Askofu Leoanard Matia Mbole wa Dayosisi Bahi. Na Pius Jayunga. Uwekezaji wa bandari ya Dar es Salaam umetajwa kuwa chanzo mojawapo cha ukusanyaji wa mapato ya nchi ili…
1 August 2023, 14:51
Wadau waitaka serikali kudhibiti usafirishaji wa binadamu
Asilimia 50 ya watu wanaosafirishwa wanatumikishwa kingono ilhali asilimia 38 ni utumikishwaji kwenye ajira mbalimbali. Na Fred Cheti. Wadau mbalimbali wa masuala ya kupinga usafirishaji haramu wa binadamu wameitaka serikali kuweka mikakati madhubuti ya kudhibiti usafirishaji wa binadamu hapa nchini.…
31 July 2023, 18:33
Wazazi, walezi watakiwa kutowaficha watoto wenye ulemavu
Jamii imeendelea kusisitizwa kutowaficha watoto wenye changamoto ya ulemavu wowote bali iwaweke wazi ili waweze kupatiwa mahitaji ya msingi ikiwemo elimu. Na Pius Jayunga. Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu Mhe. Ummy Nderiananga amewataka wazazi na…
31 July 2023, 18:11
Wananchi watakiwa kujitokeza kuonesha bidhaa zao maonesho ya 88
Sherehe za maonesho ya nanenane hufanyika kila mwaka ifikapo Augost 8, ambapo kauli mbinu ya mwaka huu kitaifa ni, vijana na wanawake ni msingi imara wa mifumo endelevu ya chakula, huku kauli mbiu ya kikanda ikisema kilimo ni biashara na…
31 July 2023, 17:34
NIRC kujenga mabwawa 100 nchi nzima
Hatua hiyo itafanya kuwa na mabwawa 114 ambayo yatawasaidia wakulima kuwa na Kilimo Cha uhakika. Na Seleman Kodima. Tume ya Taifa ya Umwagiliaji NIRC imewahakikishia wananchi kuwa hakuna mradi wowote umesimama kwa sababu ya fedha bali zipo hatua ambazo lazima…
31 July 2023, 16:53
Historia ya bwawa la Hombolo
Inasemekana kuwa bwawa hilo la Hombolo lina aina mbalimbali ya samaki wakiwemo dagaa, uduvi, ningu, kambale na perege. Na Yussuph Hassan. Bado tunaenedelea kuangazia historia ya bwawa la Hombolo bwawa ambalo linapatikana katika eneo la Hombolo lililopo Jijini Dodoma .…