Recent posts
9 June 2023, 08:38
Udhibiti sumukuvu kukuza mnyororo wa thamani katika biashara
Kupitia mafunzo hayo washiriki wameweza kufahamu maana ya sumukuvu na madhara yake kwa afya ya binadamu. Na Bernadetha Mwakilabi. Wadau mbalimbali wa kilimo cha karanga na mahindi katika kata ya Mtanana wilayani Kongwa wamepatiwa mafunzo juu ya udhibiti wa sumukuvu…
7 June 2023, 18:53
Wananchi Mpwayungu waishukuru serikali kwa kuboresha barabara
Katika maeneo mbalimbali ndani ya mkoa wa dodoma ukarabati wa miundombinu mbalimbali umekuwa ukifanywa ambapo imekuwa ikisaidia kwa kiasi kikubwa katika kupunguza changamoto ya usafiri . Na Victor Chigwada. Wananchi wa kata ya Mpwayungu iliyopo katika wilaya ya Chamwino mkoani…
7 June 2023, 18:18
Serikali yatenga zaidi ya milioni 725 kuzuia, kudhibiti magonjwa yasiyoambukiza
Dkt. Mollel amesema hayo, leo Juni 7, 2023 wakati akijibu swali la Mbunge wa viti maalumu Mhe. Bernabetha Kasabago Mushashu katika Bunge la kumi na mbili Mkutano wa kumi na moja kikao cha 42, Jijini Dodoma. Na Alfred Bulahya. NAIBU…
7 June 2023, 17:06
Bahi: Adha ya maji Lamaiti yafikia tamati
Mradi huo uliojengwa kwa hisani ya shirika la Water Mission ukigharimu zaidi ya milioni 800 za kitanzania, ni moja ya miradi mikubwa ya maji wilayani Bahi na umetatua changamoto za maji safi na salama kwa wananchi wa kijiji hicho cha…
7 June 2023, 16:19
UMISETA wahimizwa nidhamu
Afisa usalama wilaya ya Kongwa Bwana Mwakasendo amesisitiza kuzingatia muda na kuwa wavumilivu kuendana na ulimwengu tulionao kwani muda ni siri ya ushindi. Na Bernadetha Mwakilabi. Wanafunzi 115 wa shule za sekondari wilayani Kongwa wanaoshiriki mashindano ya umoja wa michezo…
6 June 2023, 18:46
Jamii yashauriwa kujenga tabia ya kufanya tafiti mbalimbali
Mradi wa ALiVE-Tanzania una lengo la kufanya tafiti na kupima stadi za maisha na maadili kwa vijana Nchini. Na Fred Cheti. Jamii imeshauriwa kujenga desturi ya kufanya tafiti mbalimbali katika maeneo yao na kubaini changamoto zilizopo ili kupunguza baadhi ya…
6 June 2023, 18:11
Jamii yaomba elimu utambuzi bidhaa zilizothibitishwa na TBS
Na Thadei Tesha. Baadhi ya wananchi pamoja na wafanyabiashara jijini Dodoma wameiomba serikali pamoja na Shirika la Viwango Tanzania (TBS) kuendelea kutoa elimu kwa jamii juu ya umuhimu wa kutambua bidhaa kama imethibitishwa na TBS. Dodoma Tv imefanya mahojiano na…
6 June 2023, 17:02
Wakulima wa zabibu walalamikia uhaba wa soko la uhakika
Na Mindi Joseph. Wakulima wa zao la zabibu kijiji cha Makag’wa mkoani Dodoma wamesema ukosefu wa soko la uhakika ikiwemo idadi ndogo ya viwanda vya kusindika zabibu kumechangia kurudisha nyuma maendeleo ya wakulima wa zao hilo. Wakulima hao wameeleza hayo…
6 June 2023, 16:23
Wananchi wahimizwa kufanya utalii wa ndani
Dhana ya wananchi ya kuamini utalii hufanywa na watu kutoka nje ya nchi inakwamisha sana sekta ya utalii nchini. Na Alfred Bulahya. Kuelekea siku ya maporomoko ya maji duniani, watanzania wametakiwa kuacha kuamini kuwa suala la utalii linafanywa na watu…
5 June 2023, 19:11
Dkt. Mpango ahimiza wananchi kuendelea kupiga vita matumizi mifuko ya plastiki
Juni 5 ya kila mwaka ni siku ya mazingira duniani, sikuu hii inaadhimishwa kuhusu umuhimu wa mazingira kwa maisha ya binadamu. Na Fred Cheti Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango amewataka Watanzania…