Dodoma FM
Dodoma FM
25 May 2023, 19:10
Ameiomba serikali kutumia nguvu kubwa ya kulinda sekta ya uchukuzi Ili iendelee kuajiri madereva. Na Fred Cheti. Wito umetolewa kwa wamiliki wa malori nchini kuhakikisha madereva wao wanapewa elimu kwa ufasaha Ili waweze kujilinda na wasipate madhara wakati wa usafirishaji…
25 May 2023, 16:37
Amewaagiza watendaji wa SUMA JKT kuhakikisha wanasimamia mitambo hiyo ili ilete tija iliyokusudiwa katika kuongeza ufanisi wa SUMA JKT. Na Alfred Bulahya. Jeshi la Kujenga Taifa kupitia SUMMA JKT, limezindua rasmi mitambo mikubwa ya kuzalisha na kusafirisha zege yenye thamani…
24 May 2023, 19:49
Pamoja na sababu hizo wafayabiahara hao wanasema kuwa ni vyema serikali kuendelea kuboresha mazingira ikiwa ni pamoja na kuruhusu mabasi kuingia ndani ya kituo hicho ili waweze kupata wateja. Na Thadei Tesha. Baadhi ya wafanyabiashara katika kituo cha mabasi cha…
24 May 2023, 19:17
Jukumu kubwa la taasisi ya uboreshaji wa mifumo na masoko ya kilimo AMDT ni kuwezesha na kuboresha mabadiliko makubwa ya kimkakati kwenye mifumo ya masoko ya sekta za kilimo. Na Mindi Joseph. Vijana na wanawake wametakiwa kubadili mitazamo na kushirikiana…
24 May 2023, 18:56
Wananchi wametakiwa kujitokeza kwa wingi ili kupata huduma kutoka kwa madaktari hao. Na Fred Cheti. Timu ya madaktari bingwa kutoka sehemu mbalimbli nchini inatarajia kuweka kambi ya siku mbili katika vituo vya afya vya Makole na Mkonze kwa ajili ya…
24 May 2023, 18:05
Peter ametoa wito kwa vijana kupambana bila kuchagua kazi ilimradi iwe halali na isiyo na madhara kiafya. Na Bernad Magawa . Vijana wasomi wilayani Bahi mkoani Dodoma wameshauriwa kuacha kuchagua kazi za kufanya badala yake wajikite katika kutengeneza ajira binafsi…
23 May 2023, 18:30
Miundombinu ya soko hilo inaelezwa kuwa mibovu na kusababisha wafanyabiashara kushindwa kufanya biashara ndani ya eneo hili. Na Thadei Tesha. Baadhi ya wananchi wa kata ya Chaduru jijini Dodoma wameiomba serikali kukamilisha kwa haraka miundombinu ya soko la Tambukareli ili…
23 May 2023, 16:56
Wazazi wametakiwa kuimarisha upendo na kuepuka kuvunja ndoa ambazo huacha watoto wakitaabika bila malezi huku wengine wakibaki kuwa watoto wa mitaani. Na Bernad Magawa. Ili kuhakikisha kuwa watoto katika familia wanalelewa na wazazi wote wawili, Wanandoa wameshauriwa kuimarisha upendo kati…
23 May 2023, 15:52
Tukio hilo la aina yake limewatafakarisha watu wengi maeneo hayo huku wengine wakidai ni msiba wa aina yake ambao umevuta hisia za watu wengi na kuweka historia kwa waombolezaji waliofika msibani hapo. Na. Bernad Magawa . Katika hali ambayo si…
23 May 2023, 15:09
Kamati hiyo iliyoundwa na Waziri Nape tarehe 24 Januari 2023 sasa itafanya kazi hadi mwezi Novembar 2023 na kuleta mapendekezo ya kushughulikia suala la uchumi kwenye vyombo vya habari. Na Mindi Joseph. Waziri wa Habari Mawasiliano na Teknolojia ya Habari…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-