Recent posts
14 June 2023, 13:14
Bahi: Wakandarasi watakiwa kukamilisha, kukabidhi miradi ya maendeleo Juni 15
SSP Idd Abdala amesema Serikali imetoa fedha nyingi kwa ajili ya kuboresha miundombinu ya elimu, hivyo ni vema miradi yote ikakamilika kwa wakati. Na Bernad Magawa. Serikali wilayani Bahi mkoani Dodoma imewaagiza mafundi wote wanaojenga miradi ya maendeleo miundombinu ya…
14 June 2023, 12:10
Viongozi kanisa katoliki waaswa kudumisha amani, baraka
Viongozi wamekumbushwa kuwa na mshikamo ili kuepusha migongano mbalimbali isiyokuwa ya lazima. Na Bernad Magawa. Viongozi wa kanisa jimbo kuu katoliki Dodoma wameaswa kuwa wasikilizaji wazuri wa shida za wale wanaowaongoza huku wakikumbushwa kufanya utafiti wa kina kabla wa kutolea…
13 June 2023, 14:39
Tume ya haki za binadamu yabaini maeneo yanayoongoza utumikishaji watoto
Maadhimisho ya siku ya kupinga ajira kwa watoto hufanyika june 12 kila mwaka na mwaka huu maadhimisho hayo yamekwenda sambamba na kaulimbiu isemayo haki ya jamii kwa wote. Kukomesha ajira ya watoto. Na Pius Jayunga. Tume ya haki za binadamu…
13 June 2023, 13:55
Elimu ya TEHAMA yachochea idadi ya wasichana nyanja ya teknolojia
Na Mindi Joseph. Wanafunzi wa kike wamesema uwepo wa elimu ya TEHAMA inayotolewa na wadau imechochea kuongeza idadi ya wasichana kwenye nyanja ya teknolojia. Taswira ya habari imezungumza na baadhi ya wanafunzi wa shule ya Mnadani sekondari wamesema elimu hiyo…
13 June 2023, 13:11
Ndaki ya sayansi UDOM yaanza programu huduma kwa jamii masomo ya sayansi
Wana mpango wa kuweka ushirikiano na jiji la Dodoma idara ya elimu ili kufkia shule nyingi zaidi . Na Mariam Matundu. Ndaki ya sayansi asilia na hisabati kutoka chuo kikuu cha Dodoma (UDOM) wameanza programu ya huduma kwa jamii katika…
13 June 2023, 12:39
Serikali yataka mapendekezo sheria ya sauti zinazozidi katika nyumba za ibada
Kongamano hilo lina lengo la kujadili na kuwajengea uelewa viongozi wa madhehebu ya dini nchini juu ya kufahama athari zinazoweza kutokana na kelele na mitetemo katika nyumba za ibada ili wakawe mabalozi kwa waumini wao. Na Fred Cheti. Serikali imewataka…
9 June 2023, 15:22
Utiaji saini makabidhiano mradi wa maji kutoka RUWASA kwenda DUWASA
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya Kongwa Mheshimiwa White Zuberi amesema kuwa Serikali inawajali na kuwathamini wananchi wake ndio maana inapambana kuzitatua changamoto za Maji. Na Bernadetha Mwakilabi. Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya Kongwa Dkt. Omary Nkullo amesema kuwa ni…
9 June 2023, 13:12
Msanii wa kizazi kipya kuwasaidia mabinti walioshindwa kutimiza ndoto zao
Na Lonard Mwacha. Msanii wa kizazi kipya kutoka Dodoma Suleiya Abdi ameweka wazi dhamira yake ya kuwasaidia mabinti walioshindwa kutimiza ndoto zao kutokana na mimba za utotoni ili waweze kujikwamua kiuchumi.
9 June 2023, 12:44
Huduma ya maji nchini sasa 88% mijini, 77% vijijini
Aidha ametoa wito kwa jamii kuzingitia sheria na kulinda miundombinu ya maji ili kuunga mkono jitihada za upatikanaji wa huduma ya maji nchini. Na Alfred Bulahya. Imeelezwa kuwa hali ya upatikanaji wa huduma ya maji nchini imeendelea kuimarika na kufikia…
9 June 2023, 12:00
Kikundi cha vijana Mundemu kunufaika na kilimo cha nyanya
Kikundi hicho kimepokea mkopo wa shilingi milioni nane kutoka halmashauri ya wilaya ya Bahi. Na Bernad Magawa. Kikundi cha kilimo tija cha vijana kijiji cha Mundemu kata ya Mundemu wilayani Bahi kinatarajia kunufaika na kilimo cha nyanya kupitia kilimo cha…